Kwa kawaida serikali huwa haijali watumishi wake na familia zao watakula je sikukuu kama xmass,pasaka na Idd.Nani mtumishi ambae hadi leo amepewa mshahara aseme tupongeze halmashauri/idara husika.Nawasilisha..
Kwa kawaida serikali huwa haijali watumishi wake na familia zao watakula je sikukuu kama xmass,pasaka na Idd.Nani mtumishi ambae hadi leo amepewa mshahara aseme tupongeze halmashauri/idara husika.Nawasilisha..
Tumbushane, tarehe hasa ya kulipwa mtumishi mshahara wake kisheria ni ipi? Kwetu mpaka tarehe 40 poa tu. Kwa uzi huu nahisi harufu ya kuonewa na madhara ya kuchelewa kulipwa nayaona kwa mbaali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.