Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
Kama serikali ,wafanya biashara,na wafanyaka kazi kutoka sehemu tofauti mliweza kuonyesha hisia na upendo juu ya msiba wa ndugu yetu aliyetutoka Mar.Steven C.Kanumba (R.I.P).Sasa nawaomba kwapamoja tuonyeshe kwa mchango wa hali na mali kwa msanii ndugu yetu anayeumwa ndugu Juma Kilowoko{Sajuki}. GET WELL SOON SAJUKI. Naomba kuwasilisha