GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,466
- 108,621
Kila akihojiwa tu na Waandishi wa Habari lazima utamsikia akitamka maneno ya ' Mboo ' au ' Boo ' huku mara kwa mara akitamka neno la ' Meee... Meee ' tena Kidharau kabisa hali ambayo inaonyesha kuwa anavidhalilisha Viungo vyetu vya Uzazi Sisi Wanaume ( namaanisha Mikuyenge yetu iliyotukuka ) huku akiwanyanya sana Mbuzi wetu kwa kuwaita mara kwa mara utadhani kuna Kitu wamemkosea.
Aonywe upesi / haraka tafadhali.
Nawasilisha.
Aonywe upesi / haraka tafadhali.
Nawasilisha.