msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
Unajua kazi za DC au unaongetu mkuu.Hapa tunadanganyana tu! Kwa ujumla hizi ni siasa za visasi na kukomoana, hakuna cha Kodi wala Mazingira hapa!
Hivi tangu lini DC akafuatilia ulipaji kodi na utunzaji wa mazingira?
Kuna TRA na NEMC ndio wahusika katika madneo hayo mawili. Sasa huyu DC kichwa maji anaingiliaje maswala hayo?
Lakini pia hata kama ni kweli kuwa Mbowe ana tatizo hilo la kutolipa kodi,vipi kuhusu Viongozi wa CCM wenye biashara zao wanalipa kweli?
Namshauri Mbowe na CHADEMA wafanye utafiti kwenye biashara za vigogo wa CCM kama kina Rais mstahafu Mkapa na mkewe, Rostam Aziz, Riz Kikwete, Antony Diallo na wengineo kama kweli hawadaiwi?