Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
Habari za wakati huu ndugu zangu wa hapa JF.
Juzi nilienda kununua bidhaa ya gharama kidogo kama shillings laki tatu na nusu kwenye duka moja pale kariakoo. Nilipewa bidhaa yangu, nikaikagua vizuri na kuhakikisa ipo sawa na hakuna dosari yoyote kisha nikafanya malipo ya pesa stahiki hiyo 350,000/=
Baada ya malipo hayo nikadai receipts ya mashine (EFD) wakadai kuwa kwa sasa hawawezi kutoa kwa maana mashine ni mbovu. Kwa kweli nilisikitika sana kwa maana ofisi ninayofanyia kazi haikubali receipts ya kuandikwa kwa mkono kwa maana wanaogopa auditors wa TRA.
Proposed Solution: Serikali kupitia TRA wanaweza kuwezesha utoaji wa risiti kupitia mobile sms, pale ambapo mfanyabiashara anadai kuwa machine haifanyi kazi, aka mbovu, ama network inasumbua.
Mfano baadha ya mimi kulipia laki tatu na nusu, muuzaji anaweza kupiga number *150*kiasi alichopokea*number ya mnunuzi*PIN# kisha anapiga.
Kama kwa TANESCO imeweza kwenye LUKU kwa nini TRA washindwe katika VAT, pale ambapo wafanya biashara wanasingizia eti mashine ni mbovu ama network inasumbua.
Najua kuna some technical procedures and protocols to be followed, ila hili linawezekana saaana tena saaanaa.
Naomba tujadili hili kwa kina na sio kutukanana wala kukejeliana.
Ninawasilisha hoja.
Thanks.
Juzi nilienda kununua bidhaa ya gharama kidogo kama shillings laki tatu na nusu kwenye duka moja pale kariakoo. Nilipewa bidhaa yangu, nikaikagua vizuri na kuhakikisa ipo sawa na hakuna dosari yoyote kisha nikafanya malipo ya pesa stahiki hiyo 350,000/=
Baada ya malipo hayo nikadai receipts ya mashine (EFD) wakadai kuwa kwa sasa hawawezi kutoa kwa maana mashine ni mbovu. Kwa kweli nilisikitika sana kwa maana ofisi ninayofanyia kazi haikubali receipts ya kuandikwa kwa mkono kwa maana wanaogopa auditors wa TRA.
Proposed Solution: Serikali kupitia TRA wanaweza kuwezesha utoaji wa risiti kupitia mobile sms, pale ambapo mfanyabiashara anadai kuwa machine haifanyi kazi, aka mbovu, ama network inasumbua.
Mfano baadha ya mimi kulipia laki tatu na nusu, muuzaji anaweza kupiga number *150*kiasi alichopokea*number ya mnunuzi*PIN# kisha anapiga.
Kama kwa TANESCO imeweza kwenye LUKU kwa nini TRA washindwe katika VAT, pale ambapo wafanya biashara wanasingizia eti mashine ni mbovu ama network inasumbua.
Najua kuna some technical procedures and protocols to be followed, ila hili linawezekana saaana tena saaanaa.
Naomba tujadili hili kwa kina na sio kutukanana wala kukejeliana.
Ninawasilisha hoja.
Thanks.