Fulema Nangwa
Member
- Jul 27, 2017
- 79
- 46
Hospitali ya Mkapa Dodoma Rushwa imekuwa kawaida kabisa mgonjwa hawezi kupata huduma yaaina yoyote bila ya kutoa chochote. Tumempeleka mgonjwa sasa ana wiki matokeo ya vipimo hayajatoka na bado mgonjwa hajapewa huduma yoyote zaidi ya kupewa dawa za kuondoa maumivu.
Daktari anapita analeta maneno ukiuliza unaambiwa subiri utatibiwa , hivi kweli na mgonjwa umelipia huduma na kitanda ,wegonjwa ambao wapo hapo hospitali wanasema kuwa bila chochote hupati huduma hata kama umelipia maabara ili upewe majibu lazima utoe chochote. Nadhani wanafanya hivi kwa kuwa hospitali ipo nje ya mji .
Daktari anapita analeta maneno ukiuliza unaambiwa subiri utatibiwa , hivi kweli na mgonjwa umelipia huduma na kitanda ,wegonjwa ambao wapo hapo hospitali wanasema kuwa bila chochote hupati huduma hata kama umelipia maabara ili upewe majibu lazima utoe chochote. Nadhani wanafanya hivi kwa kuwa hospitali ipo nje ya mji .