Serikali na TAKUKURU imulikeni NBC Premier League, Pesa za GSM kwa Marefa ili Kuibeba Yanga SC zinaharibu Soka letu

Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
Na bado, makolo fc mwaka huu maji mtaita Mma!!pumbaf!!mkipewa penalt nyie sawa ila akipewa yanga inakua nongwa!!na mm nasema na bado marefa hapo hapo shikilieni mpk wahame ligi!!!!Refa kakosea kama binadamu ila akikosea kwenu ni sawa ila akikosea kwa Yanga ni kosaa!!!tulieni makolo dawa iwaingie!kwa taarifa yako ligi ya bongo, MAKOLO FC na YANGA zinabebwa sana tuu!!so hakuna kipya na ndo maana kama taifa hatufiki mbali kisoka
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
Z
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.

Mkuu ukiwataja Yanga tuu unawaonea Kaka...
Hapo GSM inapitia tuu wako wakuu...Nasema WAKUU nyuma yake Kaka ambao wameshaapa kuchukua ubingwa kwa hali na mali kaka
 
Nashukuru leo nilibahatika Kukaa Ukumbi Mmoja waliokuwa baadhi ya Wakufunzi wa Waamuzi nchini, Kiongozi Mmoja wa TFF na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC Magomeni Mapipa ambapo Wote kwa pamoja walionekana Kuchukizwa na Penati ya Kiuonevu dhidi ya Namungo FC na ya Kuipendelea ( Kuibeba ) Yanga SC iliyotolewa na Mwamuzi ( Referee ) Zuzu na Katili kuwahi kutokea nchini Tanzania ikielekea Kusheherekea miaka yake 60 ya Uhuru.

Wala huhitaji Akili Kubwa sana kuweza kujua ya kwamba Mwamuzi ( Referee ) wa leo kama walivyo wengine wanaochezesha Ligi Kuu ya NBC wapo katika 'payroll' ya Kampuni ya GSM ambayo pia ndiyo Wadhamini Wakuu wa Klabu ya Yanga.

Serikali ya Tanzania ( kupitia Wizara husika ya Sanaa, Utamaduni na Michezo ) pamoja na TAKUKURU endeleeni tu Kukalia Kimya huu Upuuzi na Uhuni unaofanywa na hawa GSM katika Ligi Kuu ya NBC ila ipo Siku isiyo na Jina kwa Uchezeshaji huu wa Kimaagizo na Upendeleo kuna Waamuzi ( Referees ) Viungo vyao vya Mwili vitakuwa vimeshatenganishwa na wamekuwa Historia hapa duniani.

Popote pale tu laana impate Mwamuzi.
Chizi karogwa tena.

giphy (1).gif
 
Back
Top Bottom