Serikali na NIDA angalieni hii changamoto tunahitaji kupata huduma

Intended

Member
Sep 24, 2018
64
88
Habari ndugu, nasikitika kutokana na mambo yanayoendelea kutokea katika utoaji Wa huduma mbalimbali nchini Siku za hivi karibuni ili kupata huduma mbalimbali imekuwa inahitajika use na kitambulisho cha uraia,kitambulisho cha mpiga kura leseni au pass ya kusafilia wakati zoezi la utoaji Wa kitambulisho vya uraia linaenda taratibu sana na linachukua mda mrefu mfano nimejiandikisha mwaka Jana mwezi Wa saba mpaka Leo nimefatilia naambiwa bado hawaja kiprint na niwatu wengi bado hawajapata hivyo vitambulisho ingekuwa vizuri serikali itambue hili na ikiwezekana iongeze kasi ya utoaji kitambulisho ivyo kwa watu waliokwisha jiandikisha ili tuweze kupata huduma tunapohitaji
 
Write your reply... Tunaisoma??
Wanaisoma??
Wayaaa
Wayaaaa
Tunasomana kifo cha mende chaliii
 
Sijawahi kuona utaratibu wa hovyo kama huu

Cjui haya majitu yaliyopewa mamlaka ya kushughulikia hivi vitambulisho yanatumia nn kufikiri
 
Habari ndugu, nasikitika kutokana na mambo yanayoendelea kutokea katika utoaji Wa huduma mbalimbali nchini Siku za hivi karibuni ili kupata huduma mbalimbali imekuwa inahitajika use na kitambulisho cha uraia,kitambulisho cha mpiga kura leseni au pass ya kusafilia wakati zoezi la utoaji Wa kitambulisho vya uraia linaenda taratibu sana na linachukua mda mrefu mfano nimejiandikisha mwaka Jana mwezi Wa saba mpaka Leo nimefatilia naambiwa bado hawaja kiprint na niwatu wengi bado hawajapata hivyo vitambulisho ingekuwa vizuri serikali itambue hili na ikiwezekana iongeze kasi ya utoaji kitambulisho ivyo kwa watu waliokwisha jiandikisha ili tuweze kupata huduma tunapohitaji
Changu ni tokea mwezi wa nne mpaka leo.
 
Back
Top Bottom