Wakuu kauli ya makinda ya leo kuwa serikali na nchi kwa ujumla inapitia katika kipindi cha mpito binafsi naiona kama ina utata kidogo maana inaelekea wanafanya kila jitihada kuzuia mabadiliko lakini wameshindwa.
Kimsingi kauli hii inaashiria mambo kadhaa ambayo naona inaleta mashaka kidogo hasa ukizingatia kuwa hawa jamaa wanaweka mikakati kila siku ya kumaliza mabadiliko nchini.
Tafakari.
Kibaja
Kimsingi kauli hii inaashiria mambo kadhaa ambayo naona inaleta mashaka kidogo hasa ukizingatia kuwa hawa jamaa wanaweka mikakati kila siku ya kumaliza mabadiliko nchini.
Tafakari.
Kibaja