Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 8,940
- 6,855
Hapa ndipo ninapoishiwa nguvu. Kweli tumeji-convince matatizo ya Air Total Confusion yalianza na SAA? Shirika lilikuwa haliuziki ndiyo maana tukaaungikia SAA. Yeyote aliyewahi kusafiri na hilo shirika kabla ya SAA atashangaa ni hali nzuri gani aliyokuwa akiizungumzia Nyanganyi! Hili shirika lilikuwa mahututi tayari, SAA walilisindikiza tu kaburini na kutuachia kazi ya kulifukia!