Serikali na Hatima ya ATCL

Ona sasa, ashasahau hata jana kasema nini, anazunguka tuu, kiongozi gani huyu.

Pamoja na matatizo yote ya ATCL, bado sielewi ni vigezo gani vilitumika kumpa David Matakka jukumu la kuendesha ATCL. Hana rekodi nzuri ya kazi huyu. Alisimamishwa kazi PPF kwa kashfa ya kuhujumu shirika. Yeye pamoja na huyu/hawa waliompa Mattaka uongozi wa ATCL lazima wawajibishwe.


wakati mwengine huwa nawaza bwana ishengoma (imma) alikuwa
company secretary wa ppf pamoja na mattaka. sasa sijui kuna "link"
yoyote hapo inayoweza kutueleza sababu ya mheshimiwa huyu kupewa
atcl. ni mawazo tuu sina chochote cha zaidi ninachokifahamu kuhusi hili
 
Twamlaumu Kipanga, Mwewe Ala Kuku. Let us go back to basics:


The Presidential Parastatal Sector Reform Commission (PSRC), acting on behalf of the Government of the United Republic of Tanzania, today signed three agreements with South African Airways for the divestiture of Air Tanzania Corporation (ATC). The two agreements are the share sale and purchase agreement and the shareholders agreement.

PSRC’s Executive Chairman, Mr. John C. Rubambe, signed on behalf of the Tanzania Government while the President and Chief Executive Officer of South African Airways, Mr. Andre Viljoen, signed on behalf of his Airline at a ceremony which took place at the Holiday Inn in Dar es Salaam.

After the agreements were signed, SAA was presented with a share certificate for 49% of the shares in ATCL and SAA has transferred USD 20 million, USD 10 million being the value of the shares and USD10 million for the Capital and Training Account to be held by ATCL at the Citi Bank in Dar es Salaam.
In accordance with the agreement, SAA as a strategic partner takes over management control and will contribute financial, technical and managerial resources to enable ATCL to achieve its full market potential.
The Government’s restructuring and privatisation strategy for ATC is to transfer the core operating assets of ATC to a newly formed company, Air Tanzania Company Limited (ATCL) and sell 49% of its shares to a strategic partner. Assets and liabilities not passed over to ATCL will be transferred from ATC to Air Tanzania Holding Corporation (ATHCO).

SAA as the strategic partner will create Dar es Salaam as its East African hub as part of its strategy to form a “Golden Triangle” between Southern, Eastern and Western Africa. According to its business plan SAA will bring technical, commercial and managerial expertise into ATCL operations. It will also provide extensive training and transfer of skills to ATCL staff, including pilots and air crews. Air Tanzania Corporation had a total of 493 employees out of whom 243 have been retrenched and 250 have moved to ATCL.

SAA intends to replace ATC’s current fleet with Boeing 737-800s; 737-200s and wide bodied 767-300s. The route structure will expand to cover regional routes including Entebbe, Kinshasa, Lusaka and Harare. Routes to the Middle East will also be introduced as well as to West Africa. International routes to London and Bombay are also planned. SAA will also consider expanding the domestic route services.

The Government believes that the national carrier will greatly benefit from SAA’s planned activities and consequently the nation will enjoy much better air transport services, more routes, a more reliable service and greater frequency of flights.


Hesabu ya haraka inonyesha kuwa thamani ya asset zote za ATC ilikuwa ni $20.4 m tu. Hivyo SAA waligawiwa 49% kwa $10m tu; nyingine $10 zilikuwa ni capital injection.

Kwa dukuduku tu, bado siamini kuwa assets zote za ATC wakati huo kweli zilikuwa $20m tu: yaani ndege zile na lile jengo la ATC house thamani yake yote ilikuwa $20m tu?. Yaani nusu ya thamani ya ndege ya Mkapa iliyonunuliwa kwa $40m; yaani BASI TU

Sasa basi ziko wapi hizo Boeing 737-800s; 737-200s and wide bodied 767-300s zilizoahidiwa kutoka SAA?

Ziko wapi route mpya zilizoahidiwa? Hata ile route rahisi ya Dar-Nairobi imeshindikana.

Yaani hawa jamaa waliouza ATC hawakuwa na akili kabisa kuanalyze long term plans za SAA kama zinafit kwenye lengo la Tanzania, na kama wangeweza kweli kutekeleza waliyokuwa wakiahidi; yaani BASI TU

Upumbavu zaidi ni pale hawa jamaa walipoamua “kuigawa” ATC kwa SAA bila ushindani wowote; yaani BASI TU, ujinga kweli kweli
 
Ikiwa wa Swiss waliweza kuiachia SwissAir ifilisiwe na kupotea kwa nini sisi tunang'ang'ania mzigo huu? Kwani lazima tuwe na shirika la ndege la taifa? Linatusaidia nini? Mapesa tunayomwaga kujaribu kulinusuru tungewekeza kwenye kuboresha infrastructure nyingine kama barabara na reli. Najua shirika la reli na lenyewe liko icu (Mwekezaji afukuzwe mapema iwezekanavyo) lakini hii isituzuie kuwekeza kwenye kuboresha njia za reli. Ina potential kuliko huko angani. Any Time Cancel iachiwe ife. Ni wachache watakaoililia.
 
Hata ukimpata genius wa namna gani ukampa kazi ya kuliongoza shirika la ATCL hawezi kufanya tofauti na alivyofanya Mattaka!!Serikali yenyewe haitimizi wajibu wake kama share holder; kama kweli yanayosemwa kuwa toka ndoa na SAA ife hakuna hata senti iliyopewa kampuni toka serikalini!! You cannot run a commercial Airline business like a DALA DALA, you have to capitalize the enterprise adequately if you have to survive in this business; which is not the case with ATCL!!
 
Mkuu bulesi
pole sana kwa kujitahidi kutetea uozo ,,ila wakati umefika watu kusema tumeshindwa ....ni kweli kampuni aiwezi kujiendesha kibiashara bila kuwa na mtaji....na nimeoona umetoa swala la s.african airways..mi nimetoka miezi miwili baada ya makaburu kuingia pale..najua,tatizo la kutokuwa na pesa za kurun si kweli maana katika sheria ya tcaa..kampuni aiwezi kupewa kibali wala licence ya kibiashara kubeba abiria kama hawana mtaji wa kutosha,by saying so means atcl ilifanikiwa kukidhi moja ya masharti ya kibali cha kuruka nayo kuwa na uwezo wa kuruka....tatizo kubwa lilopo pale na katika uongozi mwingi wa nchi yetu ni uadilifu.. Viongozi wengi wamekuwa pale kutunisha matumbo yao na kusema liwalo na liwe...c is stup****
angalia leo hii kampuni imeshindwa kuendelea tatizo ni kushindwa kuwasilisha docs husika kwa mamlaka ya anga (tcaa)...na hakuna ambae atachukuliwa hatua wala kuwaajibishwa kwa hili .kutokana na uzembe uliofanyika....matumizi ya ile kampuni ni makubwa mkuu hata kama wewe leo hii uko hapo atcl waambie ndugu zetu wapunguze matumizi..hii ndio imepelekea kufikisha hapa ilipo....unakumbuka ndugu yetu pundamilia aliweka msaafu wake hapa na kusema kilichofanyika miezi 4 baada ya wah kuingia???
 
ATCL planes' lease about to expire
CHARLES KIZIGHA
Daily News; Thursday,October 16, 2008 @21:00


DOMESTIC schedules of Air Tanzania Company Limited (ATCL) are likely to be seriously disrupted next week when the airline’s two leased Boeing 737 aircraft go abroad for mandatory intensive maintenance.

Sources told the ‘Daily News’ yesterday that the planes were going for the mandatory ‘check C’ because leasing contracts of one of them expire in December and the other in January. The leasing contracts demand that the plane should undergo a return check C which takes between four and eight weeks at a maintenance base selected by the owner of the aircraft.

This means, the schedules of ATCL would remain unstable for several months until current plans to retain the leased Boeing whose contract expire in January succeed and joins the skeleton fleet after the check C.

If ATCL’s efforts to retain the plane whose contract expires in January for one year succeed, it will then go for an ordinary ‘check C’ which is less intensive than the ‘return check C’, meaning that costs would be less.

“Costs of ‘return check C’ and ordinary ‘check C’ range between 800,000 US dollars (920m/-) and 1.5 m US dollars (1.7bn/-) depending on a number of factors including corrosion and this applies on the former check,” sources said.

The sources said that the national flag carrier would be left with two short range Dash 8 aircrafts for domestic routes and a leased Air Bus for regional flights when the two Boeing 737 leave.

The Boeing 737 which lost one of its two engines after sucking an object when it was preparing to take off at Mwanza Airport early last month was still grounded.

A few weeks ago, ATCL experienced similar disruptions when three of its planes developed technical problems and they were therefore grounded for a couple of days.
 
Hii niliiona March,JF ni watabiri???
nafikiri watu waliisoma na kuweka kwenye makabrasha nakumbuka ilipelekea kijana mmoja niliekuwa namfahamu pale mjini mchapakzi kufukuzwa wakati alieileta ameweka wazi alikuwa atcl na sasa yuko nje ya nchi baada ya kukaa pale miaka 20 ACCOUNTS....EMBU TUJIKUMBUSHE!!.

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ni David Mataka.:

Yeye aliteuliwa na Rais JK baada ya rais aliyemtangulia kumtimua kwa ufisadi. JK alimuonea huruma DM baada ya kukaa ubaoni kwa muda na pia kushindwa kinyang'anyiro cha ubunge kwa tiketi ya chama tawala. Wananchi wa jimbo lake na wa chama chake hawakumpa kura kwa kuwa alikwisha onekana mbele ya rais BM kuwa ni fisadi wa hali ya juu japo yeye rais BM alikuwa anawakumbatia mafisadi kama Balali.


Mkuu huyu wa kampuni ameanzisha uongozi wa dharura(Management by crisis) ambapo kila asubuhi wakurugenzi na mameneja wateule katika ufisadi hukaa vikao vya kuangamiza kampuni. Amepata Benz ya kisasa katika mgao wa magari yaliyotolewa na wauzaji baada ya kununua magari ya kampuni huko Dubai kwa bei ya juu. Magari hayo ni ya mwaka 1998 japo bei yake ni karibu na mara mbili ya yale yanayouzwa na makampuni mengine ya Dubai. Yeye huwa anasuka jambo halafu anamwachia George, Eliasaph au William walichochee katika kikao cha hao viongozi.

2. Mark Manji :

yeye ni mtu wa Musoma japo jina lake la kihindi. Huyu ni mshauri wa mkurugenzi mkuu. Alikuwa mkurugenzi wa idara ya operations wakati wa makaburu japo idara hii huwa inaongozwa na marubani. Alipewa cheo hiki na makaburu ili kuwaweka marubani katika himaya ya makundi. Makaburu walipoondoka aliomba kuacha kazi kwa hiari na akastaafu akaomba kuendelea na kazi tena kama mshauri wa mkurugenzi mkuu. Kwa kuwa alikuwa na mapenzi na makaburu na kwa kuwa ameshapata mafao yake, hana huruma na kampuni kwa sasa badala yake yeye ni kichocheo na hujifanya analijua shirika. Anatumia utoto wa mjini kufanya kazi kwani hana shahada hata moja japo amepewa nafasi nyeti.



3. Eliasaph Mathew :
aliajiriwa na makaburu kama meneja wa fedha kwa maana hiyo ni mtu wa makaburu. Baada ya mkurugenzi wa fedha aliyekuwa kaburu kuondoka amekaimu nafasi hiyo hadi leo. Huyu ndie kinara wa kupindisha taratibu za matumizi ya fedha na ununuzi. Ni mfuasi namba moja wa DM kwani kwa sasa pesa za kampuni hutolewa kiholela kulipia gharama kwa ufisadi. Mfano kabla ya kufunga mwaka 2007 shillingi millioni mia mbili hamsini zilichotwa kulipa gharama za kutoa magari nane yaliyokuwa katika yadi ya kuweka mgari iliyo ya watu binafsi. Haishi hapo huchota dola elfu tatu taslimu toka kwa mtunza fedha kila mwezi na kumpa huyu mwenye yadi ya kuhifadhi magari. Huidhinisha malipo kwa ankara tu bila kujali taratibu nyingine. Ndiye aliyejumuika katika jopo lililokwenda Dubai kuchagua magari ya kampuni na kuyanunua kwa bei mbaya bila kufuata taratibu za ununuzi. Magari haya ni ya 1998 japo ATCL ni mali ya serikali,hilo halikutiliwa maanani. Yeye amepata zawadi ya VX Landcruiser ya kisasa kama mgao katika hayo manunuzi na sasa ameweka pembeni Vitara yake. Hutumiwa katika mikakati ya kuwaondoa watu wa zamani na wenye sifa kwa kuwazulia kesi na shutuma za matumizi mabaya ya pesa kitu ambacho si kweli.
Waliyoonja joto hilo ni pamoja na Hassani ambaye aliamua kuacha kazi, Hamisi na Mndeme ambao wamesimamishwa kwa suala la bwana Mohamed Makaratasi ambaye ni rafiki wa George Mazula.

george mazula:
yeye eti ndiye rubani kiongozi na mshauri wa DM. Huyu aliwahi kuachishwa kazi wakati mwenyekiti wa bodi alikuwa ni Abasi Sykes. George aliwahi kuunguza injini mbili za Fokker kwa mpigo pale Tanga. Amewahi kuangusha ndege aina ya Fokker hapa Dar es salaam. Amewahi kuua mtu pale uwanja mpya wa JK Nyerere kwa kukatwa na pangaboi baada ya yeye kuzembea kuzima injini. George ni kiungo wa mikakati yote ya ufisadi na kuondolewa watu katika nafasi zao. Alikuwa mfadhili wa DM wakati akiwa ubaoni. Ni rubani mwenye makeke na mikosi mingi. Katika dili ya Dubai yeye amepata Volvo na kujidai amekopa.

5. Amin Mziray:
huyu ni katibu wa kampuni. Yeye ni chapombe. Alipewa gari ya kampuni na makaburu na kulipindua kwa ulevi. Anayo shahada ya sheria lakini haitumii kwa maslahi ya kampuni. Kampuni imeshindwa kesi nyingi kwa kutokuwa makini huyu mwanasheria. Yumo katika hili jopo la ufisadi wa kampuni. Katika mgao wa magari ya Dubai yeye amepata VX Landcruiser la nguvu. Hayupo tayari kutetea hoja mbovu zinazotolewa ndani ya vikao vya hili jopo la ufisadi.

6. William Haji, :

anakaimu nafasi ya mkaguzi mahesabu wa ndani. Aliajiriwa wakati wa makaburu kama mkaguzi wa mahesabu wa ndani chini ya bwana Yakubu. Baada ya muda bwana YAkubu aliwekwa pembeni na huyu bwana kukaimu nafasi yake. Kwa sasa yeye ndiye anayekagua malipo (Pre-audit) hivyo yumo ndani ya mtandao wa ulaji. Ndiye anayetumiwa kutengeneza taarifa za kuzua kesi na uonevu kwa wafanyakazi wa chini. Huchukua nafasi ya afisa usalama wa kampuni ili kupindisha ukweli na hatimaye kuwadhalilisha ama kuwatimua wafanyakazi wasiyo na hatia. Ni hatari sana kwani yupo karibu na DM na Eliasaph katika kila mpango.

7. Sadiki Muze, :
Yeye ni mkurugenzi wa idara ya operations kwa sasa. Amepewa nafasi hiyo yeye kwani ndiye aliyekuwa mfadhili mkuu wa DM wakati akiwa ubaoni. Pia ni mshirika wa DM katika vinywaji na mwanachama wa kijiwe kimoja na George. Ni Sadiki na George pekee waliyopewa vyeo na kuenguliwa wengine baada ya DM kuchukuwa uongozi ATCL na ni chapombe. Sadiki na George wamelipwa fadhila.

8. Heho Mbiru ni Mkenya,:

aliajiriwa kwa nguvu enzi za makaburu kama mkurugenzi wa masoko. Aliajiriwa kwa nguvu na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya ATCL wakati huo Ali Mufuruki kwa kisingizio kuwa hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa kushika nafasi hiyo. Ni mzalendo wa Kenya kweli kweli kwani kazi zinazoweza kufanyika hapa (kama Graphics) huzipeleka kwenye kampuni yake. Anayo mapenzi na makaburu hivyo kuleta mabadiliko tunayotaka yeye ni kikwazo na ndiyo maana ni rahisi kutumiwa katika hujuma. Kumbuka tunaushindani na Kenya Airways huyu atatumaliza.

9. Ajay Gopinath raia wa India.:
Aliajiriwa kwa nguvu wakati wa makaburu na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi Ali Mufuruki. Ajay aliwahi kufukuzwa nchini lakini kwa sababu zake Ali alifanya juu chini na kumrudisha kama mkurugenzi wa mauzo. Anatumiwa katika upatikanaji wa fedha na kutumika vibaya. Hana sauti ndani ya utawala huu kwani ni mgeni.

ALPHONCE MKINGA:
ni meneja utumishi. Alistaafu na kuchukua mafao yake baada ya makaburu kutimka. Anafanya kazi kwa mkataba na kuzuia ajira kwa waliomaliza vyuo.
Ameidumaza idara ya utumishi kwa kutoweka muundo wa utumishi na taratibu mbalimbali za ajira. Matokeo yake mkurugenzi mkuu huleta watu wake japo wapo waliofanya usaili. Mfano ni ajira ya mhudumu katika ofisi ya mkurugenzi mkuu,ajira ya afisa majengo na mali ambaye ni jamaa yake. Huyu bwana Peter Gosh anachukua nafasi ya bwana Hassan Kikoko alieandamwa na huu mtandao wa ufisadi na hatimaye kuamua kustaafu mapema. Yupo dereva aliajiriwa kwa hila japo wapo waliofanya usaili na hadi sasa hawajapata ajira. Bwana Mkinga hana sauti kwani yupo kulinda maslahi yake baada ya kupata ajira ya pili.

11. Fidelis Tarimo :
ni mkurugenzi wa uhandisi. Historia yake ni ufisadi mtupu. Aliwahi kusimamishwa kazi na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi wakati huo Mzee Abasi Sykes. Tarimo alikwenda kusimamia matengenezo makubwa ya Boeing ya ATC wakati huo (major check) nchini Ireland. Hakuwa anafuatilia gharama halisi za matengenezo na kujali maslahi yake hivyo kusababisha gharama kupanda kwa shilingi bilioni moja na nusu toka ghrama halisi na kulitia shirika hasara na kusimamishwa kazi. Alipata nafasi wakati wa makaburu kwani hakuwa mtetezi wa wazalendo. Kwa sasa wafanyakazi wa idara yake hawamtaki na wameandika barua ya kumkataa na wizara inajua hilo. Ni bingwa wa kuuza ndege za kampuni kwa bei ya kutupwa badala ya ile ya makubaliano ya awali. Ana ukabila na hadi sasa ana jamaa yake anasimamia ujaji wa ndege ya kukodi kwa muda mrefu yuko nje ya nchi. Ni fisadi wa kutupwa kwa ajili ya kutaka pesa za kuendeleza biashara zake.

12." Rajabu Itambo"
ni meneja Galileo Tanzania kampuni tanzu ya ATCL. Rajabu alipewa kazi ya ushauri katika kitengo cha Galileo na aliyekuwa meneja wakati huo Maalim Ali. Kaburu mmoja aliyekuwa mkurugenzi wa biashara Mike Bond aliamua kumuondoa Maalim Ali katika nafasi hiyo na kumuweka Rajabu kwa maslahi yake kwani walitaka kuuza Galileo kabla ya kuondoka jambo ambalo hawakufanikiwa. Mpaka sasa Rajabu ana uhasidi na wafanyakazi wa zamani kwani anataka awe mkuu wa kitengo cha ITC (Information and Technology Communication) Ni mmoja wa vibaraka wa DM.


Hadi tunakwenda mitamboni ATCL haina bajeti na hili linatokana na Eliasaph kutayarisha bajeti hiyo kwa usiri mkubwa akiweka vipengele hewa ambavyo bodi ina wasiwasi navyo hivyo kuikataa kila wakati. Bajeti huwa inatengenezwa na kitengo maalum katika idara ya fedha lakini safari hii imekuwa na usiri mkubwa. Ilibidi iwekwe hadharani kwa wafanyakazi kupitia workers council ndiyo iifikie bodi jambo ambalo halikufanyika.


Kama tulivyoeleza awali matumizi mabaya ya pesa yanapeleka kampuni kusikoeleweka. Pesa huchotwa kama za mtu binafsi bila kujali taratibu za kihasibu. Viongozi hawa kwa vikundi huenda safari kila wakati kuliko viongozi wote waliopita. Posho wanayolipana ni kubwa mno kwa kila siku hivyo hata safari za watendaji wa chini huenda wao.


Mwenyekiti wa bodi Mustapha Nyang'anyi aliliambia Sunday Citizen tarehe 12 januari 2008 kuwa uzembe wa menejimenti ya ATCL kutoingia mkataba na kampuni iliyokuwa ikodishe ndege kwa ajili ya mahujaji ndiyo chanzo cha sakata zima la hasara katika usafirishaji wa mahujaji. Ukweli ni kuwa menejimenti haikutaka kushirikisha wafanyakazi wa kawaida kuratibu safari hii kama ilvyokuwa miaka iliyopita. Hii ni kwasababu walitaka iwe siri yao kwa kutafuta ndege ya bei poa kuliko hiyo iliyopatikana kitu ambacho hakikuzaa matunda na hatimaye kusema ATCL haiwezi kusafirisha mahujaji.



Mbona kabla ya makaburu iliwezekana. Hapa pana ufisadi sio uzembe tuu. Wapo wazoefu wa kazi ndani ya kampuni lakini wamekodi mtu wa nje Mtambalike rafiki yake DM kwenda kusimamia kurejea mahujaji. Tunasema hii ni hujuma na kuwadharau watendaji wa ndani.
Magari ya kampuni yamenunuliwa kwa bei kubwa bila kufuata taratibu na viongozi wanne kupata magari kutokana na gharama hiyo kubwa na bila kufuata utaratibu wa ununuzi. Hivi sasa kampuni ina madeni mengi kutokana na ufisadi.
Wafanyakazi wasiotakiwa hasa wale wa zamani hutafutiwa sababu za kuwaondoa ili ajira wapewe watu wa DM. Mifano hai tumetaja hapo juu na mingine mingi tunayo kama ule wa Said Ibrahimu kufanyiwa visa na Mark Manji hadi kuamua kustaafu ili yeye Manji aongeze muda alipoamua kustaafu kwa kisingizio kuwa hakuna wa kuchukua nafasi yake.
 
Hii niliiona March,JF ni watabiri???
nafikiri watu waliisoma na kuweka kwenye makabrasha nakumbuka ilipelekea kijana mmoja niliekuwa namfahamu pale mjini mchapakzi kufukuzwa wakati alieileta ameweka wazi alikuwa atcl na sasa yuko nje ya nchi baada ya kukaa pale miaka 20 ACCOUNTS....EMBU TUJIKUMBUSHE!!.

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ni David Mataka.:

Yeye aliteuliwa na Rais JK baada ya rais aliyemtangulia kumtimua kwa ufisadi. JK alimuonea huruma DM baada ya kukaa ubaoni kwa muda na pia kushindwa kinyang'anyiro cha ubunge kwa tiketi ya chama tawala. Wananchi wa jimbo lake na wa chama chake hawakumpa kura kwa kuwa alikwisha onekana mbele ya rais BM kuwa ni fisadi wa hali ya juu japo yeye rais BM alikuwa anawakumbatia mafisadi kama Balali.


Mkuu huyu wa kampuni ameanzisha uongozi wa dharura(Management by crisis) ambapo kila asubuhi wakurugenzi na mameneja wateule katika ufisadi hukaa vikao vya kuangamiza kampuni. Amepata Benz ya kisasa katika mgao wa magari yaliyotolewa na wauzaji baada ya kununua magari ya kampuni huko Dubai kwa bei ya juu. Magari hayo ni ya mwaka 1998 japo bei yake ni karibu na mara mbili ya yale yanayouzwa na makampuni mengine ya Dubai. Yeye huwa anasuka jambo halafu anamwachia George, Eliasaph au William walichochee katika kikao cha hao viongozi.

2. Mark Manji :

yeye ni mtu wa Musoma japo jina lake la kihindi. Huyu ni mshauri wa mkurugenzi mkuu. Alikuwa mkurugenzi wa idara ya operations wakati wa makaburu japo idara hii huwa inaongozwa na marubani. Alipewa cheo hiki na makaburu ili kuwaweka marubani katika himaya ya makundi. Makaburu walipoondoka aliomba kuacha kazi kwa hiari na akastaafu akaomba kuendelea na kazi tena kama mshauri wa mkurugenzi mkuu. Kwa kuwa alikuwa na mapenzi na makaburu na kwa kuwa ameshapata mafao yake, hana huruma na kampuni kwa sasa badala yake yeye ni kichocheo na hujifanya analijua shirika. Anatumia utoto wa mjini kufanya kazi kwani hana shahada hata moja japo amepewa nafasi nyeti.



3. Eliasaph Mathew :
aliajiriwa na makaburu kama meneja wa fedha kwa maana hiyo ni mtu wa makaburu. Baada ya mkurugenzi wa fedha aliyekuwa kaburu kuondoka amekaimu nafasi hiyo hadi leo. Huyu ndie kinara wa kupindisha taratibu za matumizi ya fedha na ununuzi. Ni mfuasi namba moja wa DM kwani kwa sasa pesa za kampuni hutolewa kiholela kulipia gharama kwa ufisadi. Mfano kabla ya kufunga mwaka 2007 shillingi millioni mia mbili hamsini zilichotwa kulipa gharama za kutoa magari nane yaliyokuwa katika yadi ya kuweka mgari iliyo ya watu binafsi. Haishi hapo huchota dola elfu tatu taslimu toka kwa mtunza fedha kila mwezi na kumpa huyu mwenye yadi ya kuhifadhi magari. Huidhinisha malipo kwa ankara tu bila kujali taratibu nyingine. Ndiye aliyejumuika katika jopo lililokwenda Dubai kuchagua magari ya kampuni na kuyanunua kwa bei mbaya bila kufuata taratibu za ununuzi. Magari haya ni ya 1998 japo ATCL ni mali ya serikali,hilo halikutiliwa maanani. Yeye amepata zawadi ya VX Landcruiser ya kisasa kama mgao katika hayo manunuzi na sasa ameweka pembeni Vitara yake. Hutumiwa katika mikakati ya kuwaondoa watu wa zamani na wenye sifa kwa kuwazulia kesi na shutuma za matumizi mabaya ya pesa kitu ambacho si kweli.
Waliyoonja joto hilo ni pamoja na Hassani ambaye aliamua kuacha kazi, Hamisi na Mndeme ambao wamesimamishwa kwa suala la bwana Mohamed Makaratasi ambaye ni rafiki wa George Mazula.

george mazula:
yeye eti ndiye rubani kiongozi na mshauri wa DM. Huyu aliwahi kuachishwa kazi wakati mwenyekiti wa bodi alikuwa ni Abasi Sykes. George aliwahi kuunguza injini mbili za Fokker kwa mpigo pale Tanga. Amewahi kuangusha ndege aina ya Fokker hapa Dar es salaam. Amewahi kuua mtu pale uwanja mpya wa JK Nyerere kwa kukatwa na pangaboi baada ya yeye kuzembea kuzima injini. George ni kiungo wa mikakati yote ya ufisadi na kuondolewa watu katika nafasi zao. Alikuwa mfadhili wa DM wakati akiwa ubaoni. Ni rubani mwenye makeke na mikosi mingi. Katika dili ya Dubai yeye amepata Volvo na kujidai amekopa.

5. Amin Mziray:
huyu ni katibu wa kampuni. Yeye ni chapombe. Alipewa gari ya kampuni na makaburu na kulipindua kwa ulevi. Anayo shahada ya sheria lakini haitumii kwa maslahi ya kampuni. Kampuni imeshindwa kesi nyingi kwa kutokuwa makini huyu mwanasheria. Yumo katika hili jopo la ufisadi wa kampuni. Katika mgao wa magari ya Dubai yeye amepata VX Landcruiser la nguvu. Hayupo tayari kutetea hoja mbovu zinazotolewa ndani ya vikao vya hili jopo la ufisadi.

6. William Haji, :

anakaimu nafasi ya mkaguzi mahesabu wa ndani. Aliajiriwa wakati wa makaburu kama mkaguzi wa mahesabu wa ndani chini ya bwana Yakubu. Baada ya muda bwana YAkubu aliwekwa pembeni na huyu bwana kukaimu nafasi yake. Kwa sasa yeye ndiye anayekagua malipo (Pre-audit) hivyo yumo ndani ya mtandao wa ulaji. Ndiye anayetumiwa kutengeneza taarifa za kuzua kesi na uonevu kwa wafanyakazi wa chini. Huchukua nafasi ya afisa usalama wa kampuni ili kupindisha ukweli na hatimaye kuwadhalilisha ama kuwatimua wafanyakazi wasiyo na hatia. Ni hatari sana kwani yupo karibu na DM na Eliasaph katika kila mpango.

7. Sadiki Muze, :
Yeye ni mkurugenzi wa idara ya operations kwa sasa. Amepewa nafasi hiyo yeye kwani ndiye aliyekuwa mfadhili mkuu wa DM wakati akiwa ubaoni. Pia ni mshirika wa DM katika vinywaji na mwanachama wa kijiwe kimoja na George. Ni Sadiki na George pekee waliyopewa vyeo na kuenguliwa wengine baada ya DM kuchukuwa uongozi ATCL na ni chapombe. Sadiki na George wamelipwa fadhila.

8. Heho Mbiru ni Mkenya,:

aliajiriwa kwa nguvu enzi za makaburu kama mkurugenzi wa masoko. Aliajiriwa kwa nguvu na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya ATCL wakati huo Ali Mufuruki kwa kisingizio kuwa hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa kushika nafasi hiyo. Ni mzalendo wa Kenya kweli kweli kwani kazi zinazoweza kufanyika hapa (kama Graphics) huzipeleka kwenye kampuni yake. Anayo mapenzi na makaburu hivyo kuleta mabadiliko tunayotaka yeye ni kikwazo na ndiyo maana ni rahisi kutumiwa katika hujuma. Kumbuka tunaushindani na Kenya Airways huyu atatumaliza.

9. Ajay Gopinath raia wa India.:
Aliajiriwa kwa nguvu wakati wa makaburu na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi Ali Mufuruki. Ajay aliwahi kufukuzwa nchini lakini kwa sababu zake Ali alifanya juu chini na kumrudisha kama mkurugenzi wa mauzo. Anatumiwa katika upatikanaji wa fedha na kutumika vibaya. Hana sauti ndani ya utawala huu kwani ni mgeni.

ALPHONCE MKINGA:
ni meneja utumishi. Alistaafu na kuchukua mafao yake baada ya makaburu kutimka. Anafanya kazi kwa mkataba na kuzuia ajira kwa waliomaliza vyuo.
Ameidumaza idara ya utumishi kwa kutoweka muundo wa utumishi na taratibu mbalimbali za ajira. Matokeo yake mkurugenzi mkuu huleta watu wake japo wapo waliofanya usaili. Mfano ni ajira ya mhudumu katika ofisi ya mkurugenzi mkuu,ajira ya afisa majengo na mali ambaye ni jamaa yake. Huyu bwana Peter Gosh anachukua nafasi ya bwana Hassan Kikoko alieandamwa na huu mtandao wa ufisadi na hatimaye kuamua kustaafu mapema. Yupo dereva aliajiriwa kwa hila japo wapo waliofanya usaili na hadi sasa hawajapata ajira. Bwana Mkinga hana sauti kwani yupo kulinda maslahi yake baada ya kupata ajira ya pili.

11. Fidelis Tarimo :
ni mkurugenzi wa uhandisi. Historia yake ni ufisadi mtupu. Aliwahi kusimamishwa kazi na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi wakati huo Mzee Abasi Sykes. Tarimo alikwenda kusimamia matengenezo makubwa ya Boeing ya ATC wakati huo (major check) nchini Ireland. Hakuwa anafuatilia gharama halisi za matengenezo na kujali maslahi yake hivyo kusababisha gharama kupanda kwa shilingi bilioni moja na nusu toka ghrama halisi na kulitia shirika hasara na kusimamishwa kazi. Alipata nafasi wakati wa makaburu kwani hakuwa mtetezi wa wazalendo. Kwa sasa wafanyakazi wa idara yake hawamtaki na wameandika barua ya kumkataa na wizara inajua hilo. Ni bingwa wa kuuza ndege za kampuni kwa bei ya kutupwa badala ya ile ya makubaliano ya awali. Ana ukabila na hadi sasa ana jamaa yake anasimamia ujaji wa ndege ya kukodi kwa muda mrefu yuko nje ya nchi. Ni fisadi wa kutupwa kwa ajili ya kutaka pesa za kuendeleza biashara zake.

12." Rajabu Itambo"
ni meneja Galileo Tanzania kampuni tanzu ya ATCL. Rajabu alipewa kazi ya ushauri katika kitengo cha Galileo na aliyekuwa meneja wakati huo Maalim Ali. Kaburu mmoja aliyekuwa mkurugenzi wa biashara Mike Bond aliamua kumuondoa Maalim Ali katika nafasi hiyo na kumuweka Rajabu kwa maslahi yake kwani walitaka kuuza Galileo kabla ya kuondoka jambo ambalo hawakufanikiwa. Mpaka sasa Rajabu ana uhasidi na wafanyakazi wa zamani kwani anataka awe mkuu wa kitengo cha ITC (Information and Technology Communication) Ni mmoja wa vibaraka wa DM.


Hadi tunakwenda mitamboni ATCL haina bajeti na hili linatokana na Eliasaph kutayarisha bajeti hiyo kwa usiri mkubwa akiweka vipengele hewa ambavyo bodi ina wasiwasi navyo hivyo kuikataa kila wakati. Bajeti huwa inatengenezwa na kitengo maalum katika idara ya fedha lakini safari hii imekuwa na usiri mkubwa. Ilibidi iwekwe hadharani kwa wafanyakazi kupitia workers council ndiyo iifikie bodi jambo ambalo halikufanyika.


Kama tulivyoeleza awali matumizi mabaya ya pesa yanapeleka kampuni kusikoeleweka. Pesa huchotwa kama za mtu binafsi bila kujali taratibu za kihasibu. Viongozi hawa kwa vikundi huenda safari kila wakati kuliko viongozi wote waliopita. Posho wanayolipana ni kubwa mno kwa kila siku hivyo hata safari za watendaji wa chini huenda wao.


Mwenyekiti wa bodi Mustapha Nyang’anyi aliliambia Sunday Citizen tarehe 12 januari 2008 kuwa uzembe wa menejimenti ya ATCL kutoingia mkataba na kampuni iliyokuwa ikodishe ndege kwa ajili ya mahujaji ndiyo chanzo cha sakata zima la hasara katika usafirishaji wa mahujaji. Ukweli ni kuwa menejimenti haikutaka kushirikisha wafanyakazi wa kawaida kuratibu safari hii kama ilvyokuwa miaka iliyopita. Hii ni kwasababu walitaka iwe siri yao kwa kutafuta ndege ya bei poa kuliko hiyo iliyopatikana kitu ambacho hakikuzaa matunda na hatimaye kusema ATCL haiwezi kusafirisha mahujaji.



Mbona kabla ya makaburu iliwezekana. Hapa pana ufisadi sio uzembe tuu. Wapo wazoefu wa kazi ndani ya kampuni lakini wamekodi mtu wa nje Mtambalike rafiki yake DM kwenda kusimamia kurejea mahujaji. Tunasema hii ni hujuma na kuwadharau watendaji wa ndani.
Magari ya kampuni yamenunuliwa kwa bei kubwa bila kufuata taratibu na viongozi wanne kupata magari kutokana na gharama hiyo kubwa na bila kufuata utaratibu wa ununuzi. Hivi sasa kampuni ina madeni mengi kutokana na ufisadi.
Wafanyakazi wasiotakiwa hasa wale wa zamani hutafutiwa sababu za kuwaondoa ili ajira wapewe watu wa DM. Mifano hai tumetaja hapo juu na mingine mingi tunayo kama ule wa Said Ibrahimu kufanyiwa visa na Mark Manji hadi kuamua kustaafu ili yeye Manji aongeze muda alipoamua kustaafu kwa kisingizio kuwa hakuna wa kuchukua nafasi yake.
 
Hii niliiona March,JF ni watabiri???
nafikiri watu waliisoma na kuweka kwenye makabrasha nakumbuka ilipelekea kijana mmoja niliekuwa namfahamu pale mjini mchapakzi kufukuzwa wakati alieileta ameweka wazi alikuwa atcl na sasa yuko nje ya nchi baada ya kukaa pale miaka 20 ACCOUNTS....EMBU TUJIKUMBUSHE!!.

Mkurugenzi mkuu wa kampuni ni David Mataka.:

Yeye aliteuliwa na Rais JK baada ya rais aliyemtangulia kumtimua kwa ufisadi. JK alimuonea huruma DM baada ya kukaa ubaoni kwa muda na pia kushindwa kinyang'anyiro cha ubunge kwa tiketi ya chama tawala. Wananchi wa jimbo lake na wa chama chake hawakumpa kura kwa kuwa alikwisha onekana mbele ya rais BM kuwa ni fisadi wa hali ya juu japo yeye rais BM alikuwa anawakumbatia mafisadi kama Balali.


Mkuu huyu wa kampuni ameanzisha uongozi wa dharura(Management by crisis) ambapo kila asubuhi wakurugenzi na mameneja wateule katika ufisadi hukaa vikao vya kuangamiza kampuni. Amepata Benz ya kisasa katika mgao wa magari yaliyotolewa na wauzaji baada ya kununua magari ya kampuni huko Dubai kwa bei ya juu. Magari hayo ni ya mwaka 1998 japo bei yake ni karibu na mara mbili ya yale yanayouzwa na makampuni mengine ya Dubai. Yeye huwa anasuka jambo halafu anamwachia George, Eliasaph au William walichochee katika kikao cha hao viongozi.

2. Mark Manji :

yeye ni mtu wa Musoma japo jina lake la kihindi. Huyu ni mshauri wa mkurugenzi mkuu. Alikuwa mkurugenzi wa idara ya operations wakati wa makaburu japo idara hii huwa inaongozwa na marubani. Alipewa cheo hiki na makaburu ili kuwaweka marubani katika himaya ya makundi. Makaburu walipoondoka aliomba kuacha kazi kwa hiari na akastaafu akaomba kuendelea na kazi tena kama mshauri wa mkurugenzi mkuu. Kwa kuwa alikuwa na mapenzi na makaburu na kwa kuwa ameshapata mafao yake, hana huruma na kampuni kwa sasa badala yake yeye ni kichocheo na hujifanya analijua shirika. Anatumia utoto wa mjini kufanya kazi kwani hana shahada hata moja japo amepewa nafasi nyeti.



3. Eliasaph Mathew :
aliajiriwa na makaburu kama meneja wa fedha kwa maana hiyo ni mtu wa makaburu. Baada ya mkurugenzi wa fedha aliyekuwa kaburu kuondoka amekaimu nafasi hiyo hadi leo. Huyu ndie kinara wa kupindisha taratibu za matumizi ya fedha na ununuzi. Ni mfuasi namba moja wa DM kwani kwa sasa pesa za kampuni hutolewa kiholela kulipia gharama kwa ufisadi. Mfano kabla ya kufunga mwaka 2007 shillingi millioni mia mbili hamsini zilichotwa kulipa gharama za kutoa magari nane yaliyokuwa katika yadi ya kuweka mgari iliyo ya watu binafsi. Haishi hapo huchota dola elfu tatu taslimu toka kwa mtunza fedha kila mwezi na kumpa huyu mwenye yadi ya kuhifadhi magari. Huidhinisha malipo kwa ankara tu bila kujali taratibu nyingine. Ndiye aliyejumuika katika jopo lililokwenda Dubai kuchagua magari ya kampuni na kuyanunua kwa bei mbaya bila kufuata taratibu za ununuzi. Magari haya ni ya 1998 japo ATCL ni mali ya serikali,hilo halikutiliwa maanani. Yeye amepata zawadi ya VX Landcruiser ya kisasa kama mgao katika hayo manunuzi na sasa ameweka pembeni Vitara yake. Hutumiwa katika mikakati ya kuwaondoa watu wa zamani na wenye sifa kwa kuwazulia kesi na shutuma za matumizi mabaya ya pesa kitu ambacho si kweli.
Waliyoonja joto hilo ni pamoja na Hassani ambaye aliamua kuacha kazi, Hamisi na Mndeme ambao wamesimamishwa kwa suala la bwana Mohamed Makaratasi ambaye ni rafiki wa George Mazula.

george mazula:
yeye eti ndiye rubani kiongozi na mshauri wa DM. Huyu aliwahi kuachishwa kazi wakati mwenyekiti wa bodi alikuwa ni Abasi Sykes. George aliwahi kuunguza injini mbili za Fokker kwa mpigo pale Tanga. Amewahi kuangusha ndege aina ya Fokker hapa Dar es salaam. Amewahi kuua mtu pale uwanja mpya wa JK Nyerere kwa kukatwa na pangaboi baada ya yeye kuzembea kuzima injini. George ni kiungo wa mikakati yote ya ufisadi na kuondolewa watu katika nafasi zao. Alikuwa mfadhili wa DM wakati akiwa ubaoni. Ni rubani mwenye makeke na mikosi mingi. Katika dili ya Dubai yeye amepata Volvo na kujidai amekopa.

5. Amin Mziray:
huyu ni katibu wa kampuni. Yeye ni chapombe. Alipewa gari ya kampuni na makaburu na kulipindua kwa ulevi. Anayo shahada ya sheria lakini haitumii kwa maslahi ya kampuni. Kampuni imeshindwa kesi nyingi kwa kutokuwa makini huyu mwanasheria. Yumo katika hili jopo la ufisadi wa kampuni. Katika mgao wa magari ya Dubai yeye amepata VX Landcruiser la nguvu. Hayupo tayari kutetea hoja mbovu zinazotolewa ndani ya vikao vya hili jopo la ufisadi.

6. William Haji, :

anakaimu nafasi ya mkaguzi mahesabu wa ndani. Aliajiriwa wakati wa makaburu kama mkaguzi wa mahesabu wa ndani chini ya bwana Yakubu. Baada ya muda bwana YAkubu aliwekwa pembeni na huyu bwana kukaimu nafasi yake. Kwa sasa yeye ndiye anayekagua malipo (Pre-audit) hivyo yumo ndani ya mtandao wa ulaji. Ndiye anayetumiwa kutengeneza taarifa za kuzua kesi na uonevu kwa wafanyakazi wa chini. Huchukua nafasi ya afisa usalama wa kampuni ili kupindisha ukweli na hatimaye kuwadhalilisha ama kuwatimua wafanyakazi wasiyo na hatia. Ni hatari sana kwani yupo karibu na DM na Eliasaph katika kila mpango.

7. Sadiki Muze, :
Yeye ni mkurugenzi wa idara ya operations kwa sasa. Amepewa nafasi hiyo yeye kwani ndiye aliyekuwa mfadhili mkuu wa DM wakati akiwa ubaoni. Pia ni mshirika wa DM katika vinywaji na mwanachama wa kijiwe kimoja na George. Ni Sadiki na George pekee waliyopewa vyeo na kuenguliwa wengine baada ya DM kuchukuwa uongozi ATCL na ni chapombe. Sadiki na George wamelipwa fadhila.

8. Heho Mbiru ni Mkenya,:

aliajiriwa kwa nguvu enzi za makaburu kama mkurugenzi wa masoko. Aliajiriwa kwa nguvu na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi ya ATCL wakati huo Ali Mufuruki kwa kisingizio kuwa hakuna Mtanzania mwenye uwezo wa kushika nafasi hiyo. Ni mzalendo wa Kenya kweli kweli kwani kazi zinazoweza kufanyika hapa (kama Graphics) huzipeleka kwenye kampuni yake. Anayo mapenzi na makaburu hivyo kuleta mabadiliko tunayotaka yeye ni kikwazo na ndiyo maana ni rahisi kutumiwa katika hujuma. Kumbuka tunaushindani na Kenya Airways huyu atatumaliza.

9. Ajay Gopinath raia wa India.:
Aliajiriwa kwa nguvu wakati wa makaburu na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi Ali Mufuruki. Ajay aliwahi kufukuzwa nchini lakini kwa sababu zake Ali alifanya juu chini na kumrudisha kama mkurugenzi wa mauzo. Anatumiwa katika upatikanaji wa fedha na kutumika vibaya. Hana sauti ndani ya utawala huu kwani ni mgeni.

ALPHONCE MKINGA:
ni meneja utumishi. Alistaafu na kuchukua mafao yake baada ya makaburu kutimka. Anafanya kazi kwa mkataba na kuzuia ajira kwa waliomaliza vyuo.
Ameidumaza idara ya utumishi kwa kutoweka muundo wa utumishi na taratibu mbalimbali za ajira. Matokeo yake mkurugenzi mkuu huleta watu wake japo wapo waliofanya usaili. Mfano ni ajira ya mhudumu katika ofisi ya mkurugenzi mkuu,ajira ya afisa majengo na mali ambaye ni jamaa yake. Huyu bwana Peter Gosh anachukua nafasi ya bwana Hassan Kikoko alieandamwa na huu mtandao wa ufisadi na hatimaye kuamua kustaafu mapema. Yupo dereva aliajiriwa kwa hila japo wapo waliofanya usaili na hadi sasa hawajapata ajira. Bwana Mkinga hana sauti kwani yupo kulinda maslahi yake baada ya kupata ajira ya pili.

11. Fidelis Tarimo :
ni mkurugenzi wa uhandisi. Historia yake ni ufisadi mtupu. Aliwahi kusimamishwa kazi na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi wakati huo Mzee Abasi Sykes. Tarimo alikwenda kusimamia matengenezo makubwa ya Boeing ya ATC wakati huo (major check) nchini Ireland. Hakuwa anafuatilia gharama halisi za matengenezo na kujali maslahi yake hivyo kusababisha gharama kupanda kwa shilingi bilioni moja na nusu toka ghrama halisi na kulitia shirika hasara na kusimamishwa kazi. Alipata nafasi wakati wa makaburu kwani hakuwa mtetezi wa wazalendo. Kwa sasa wafanyakazi wa idara yake hawamtaki na wameandika barua ya kumkataa na wizara inajua hilo. Ni bingwa wa kuuza ndege za kampuni kwa bei ya kutupwa badala ya ile ya makubaliano ya awali. Ana ukabila na hadi sasa ana jamaa yake anasimamia ujaji wa ndege ya kukodi kwa muda mrefu yuko nje ya nchi. Ni fisadi wa kutupwa kwa ajili ya kutaka pesa za kuendeleza biashara zake.

12." Rajabu Itambo"
ni meneja Galileo Tanzania kampuni tanzu ya ATCL. Rajabu alipewa kazi ya ushauri katika kitengo cha Galileo na aliyekuwa meneja wakati huo Maalim Ali. Kaburu mmoja aliyekuwa mkurugenzi wa biashara Mike Bond aliamua kumuondoa Maalim Ali katika nafasi hiyo na kumuweka Rajabu kwa maslahi yake kwani walitaka kuuza Galileo kabla ya kuondoka jambo ambalo hawakufanikiwa. Mpaka sasa Rajabu ana uhasidi na wafanyakazi wa zamani kwani anataka awe mkuu wa kitengo cha ITC (Information and Technology Communication) Ni mmoja wa vibaraka wa DM.


Hadi tunakwenda mitamboni ATCL haina bajeti na hili linatokana na Eliasaph kutayarisha bajeti hiyo kwa usiri mkubwa akiweka vipengele hewa ambavyo bodi ina wasiwasi navyo hivyo kuikataa kila wakati. Bajeti huwa inatengenezwa na kitengo maalum katika idara ya fedha lakini safari hii imekuwa na usiri mkubwa. Ilibidi iwekwe hadharani kwa wafanyakazi kupitia workers council ndiyo iifikie bodi jambo ambalo halikufanyika.


Kama tulivyoeleza awali matumizi mabaya ya pesa yanapeleka kampuni kusikoeleweka. Pesa huchotwa kama za mtu binafsi bila kujali taratibu za kihasibu. Viongozi hawa kwa vikundi huenda safari kila wakati kuliko viongozi wote waliopita. Posho wanayolipana ni kubwa mno kwa kila siku hivyo hata safari za watendaji wa chini huenda wao.


Mwenyekiti wa bodi Mustapha Nyang’anyi aliliambia Sunday Citizen tarehe 12 januari 2008 kuwa uzembe wa menejimenti ya ATCL kutoingia mkataba na kampuni iliyokuwa ikodishe ndege kwa ajili ya mahujaji ndiyo chanzo cha sakata zima la hasara katika usafirishaji wa mahujaji. Ukweli ni kuwa menejimenti haikutaka kushirikisha wafanyakazi wa kawaida kuratibu safari hii kama ilvyokuwa miaka iliyopita. Hii ni kwasababu walitaka iwe siri yao kwa kutafuta ndege ya bei poa kuliko hiyo iliyopatikana kitu ambacho hakikuzaa matunda na hatimaye kusema ATCL haiwezi kusafirisha mahujaji.



Mbona kabla ya makaburu iliwezekana. Hapa pana ufisadi sio uzembe tuu. Wapo wazoefu wa kazi ndani ya kampuni lakini wamekodi mtu wa nje Mtambalike rafiki yake DM kwenda kusimamia kurejea mahujaji. Tunasema hii ni hujuma na kuwadharau watendaji wa ndani.
Magari ya kampuni yamenunuliwa kwa bei kubwa bila kufuata taratibu na viongozi wanne kupata magari kutokana na gharama hiyo kubwa na bila kufuata utaratibu wa ununuzi. Hivi sasa kampuni ina madeni mengi kutokana na ufisadi.
Wafanyakazi wasiotakiwa hasa wale wa zamani hutafutiwa sababu za kuwaondoa ili ajira wapewe watu wa DM. Mifano hai tumetaja hapo juu na mingine mingi tunayo kama ule wa Said Ibrahimu kufanyiwa visa na Mark Manji hadi kuamua kustaafu ili yeye Manji aongeze muda alipoamua kustaafu kwa kisingizio kuwa hakuna wa kuchukua nafasi yake.
 
Mkuu bulesi
kwa syle ya kula kiasi hicho na wakati hata mwaka walikuwa hawajafikisha basi hata hizo pesa za mafuta zilizowezesha ndege kuruka toka wakati huo ilikuwa ni maajabu kupatikana......na nafikiri walijua hili na kwa taarifa yako tu

stay tume 7days
 
9. Ajay Gopinath raia wa India.:Aliajiriwa kwa nguvu wakati wa makaburu na aliyekuwa mwenyekiti wa bodi Ali Mufuruki. Ajay aliwahi kufukuzwa nchini lakini kwa sababu zake Ali alifanya juu chini na kumrudisha kama mkurugenzi wa mauzo. Anatumiwa katika upatikanaji wa fedha na kutumika vibaya. Hana sauti ndani ya utawala huu kwani ni mgeni.HUYU PONJORO NASIKIA KAKIMBIA MAPEMA BAADAYA KUSIKIA WAHUSIKA WOTE WALIOPITISHA MIKATABA FEKI KUSHITAKIWA NA TAKUKURU.....KAZI KWELI KWELISIJUI KAMA ANAENDELEA!!WENYE INFO TUMWAGIEN JAMANI
 
Precision kuziba pengo la ATCL
Andrew Msechu
SHIRIKA la Ndege la Precision Air, limetangaza mkakati wa kuziba pengo lililoachwa na Shirika la Ndege la Air Tanzania (ATCL) kwa kuongeza safari zake za mikoani na kupunguza nauli kwa asilimia 15.

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika hilo, Alfonse Kioko alisema jana kuwa kuanzia Desemba 15, mwaka huu Precision itaongeza safari zake za anga kukidhi mahitaji ya wasafiri wanaozidi kuongezeka katika kipindi hiki cha kuelekea sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.

“Tunaona ipo haja ya kuweka mazingira mazuri zaidi ya kuwahudumia na kukidhi mahitaji ya wateja wetu. Pamoja na kuongeza safari na kupunguza bei, bado tunaendeela kuangalia mahitaji yao mengine.

“Wateja wetu wa mwanzo watakuwa katika nafasi nzuri zaidi kwa kuwa tunapeleka ndege yetu mpya aina ya ATR 72-500 iliyoingia nchini hivi karibuni,” alisema Kioko. Akizungumzia utaratibu wa safari zao kwa sasa, Mkuu wa Kitengo cha Mipango na Mtandao cha shirika hilo, Patrick Ndekana, alisema kwa sasa wameongeza idadi ya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi na kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza, na kwamba ndege zake zitaruka kuanzia saa 11:00 alfajiri hadi saa 1:00 usiku.

“Kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi tumeongeza kutoka safari tatu hadi nne kwa siku na kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza tutakwua na safari tatu kwa siku kuanzia Jumamosi (leo) na za Kanda ya Kaskazini zitaendelea kuwa tano kama awali,” alisema Ndekana.

Aliongeza kuwa ongezeko hilo litatoa fursa kwa wasafiri kufanya shughukli zao na kusafiri bila bughudha katika kipindi hicho ambacho, baada ya kuyumba kwa shirika la ndege la Air Tanzania ambalo limetangaza kufuta safari zake.

ATCL limefuta safari zake kwa muda wa siku 10, baada ya kunyang’anywa cheti cha kuruka hewani na shirika la Kimataifa la Usafiri wa Anga (ICAO) tangu Desemba 08, mwaka huu. Hata hivyo, Ndekana alisema kuwa kutokana na ongezeko hilo la safari, kutakuwa na uwezekani wa kupata viti 210 kwa abiri wanaokwenda na kutoka Mwanza kurudi Dar es Salaam kwa kuwa watapeleka ndege mpya yenye uwezo wa kubeba abiria 70 kwa safari moja, ambayo itafanya safari tatu kwa siku.

Wakati huo huo Boniface Meena anaripoti kuwa wakati Shirika la Ndege nchini (ATCL) juzi likieleza kuwa limeshawasilisha nyaraka zote za taratibu kwa Mamlaka ya Anga (TCAA) kwaajili ya marekebisho.

TCAA imeeleza kuwa hadi jana ATCL ilikuwa imewasilisha nusu ya nyaraka hizo.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Margareth Munyagi, nyaraka hizo zilizotumwa tayari zimeshapitiwa na TCAA na kama ATCL ikifanya haraka katika uwasilishaji wa nyaraka zilizobaki ndani ya wiki mbili watakuwa wameshakamilisha mapitio yote.

Taarifa hiyo imeeleza kuwa, TCAA inakubaliana na jinsi Menejimenti ya ATCL inavyojituma katika kuhakikisha wanakwenda sawa na mahitaji ya yake ili waweze kurudishiwa cheti cha kuruka angani tena. Munyagi katika taarifa yake ameeleza kuwa kutokana na ATCL kutokuwa na kibali cha kuruka angani, kampuni ya Precision Air iko tayari kutoa huduma za safari za Mwanza itakapohitajika.

Ameeleza kuwa Precision wataongeza katika ratiba yao safari za Mtwara ili kuwaokoa abiria ambao walikuwa wasafiri kwa kutumia ndege za ATCL na wale ambao tayari walikuwa wamekata tiketi za safari. Alieleza kuwa kwa safari za Tabora na Kigoma Precision iatanya safari kama ilivyo katika ratiba zake hivyo abiria waliokuwa watumie ATC wataweza kutumia ndege hiyo.

Juzi ATCL ilikiri kuwa licha ya kukaguliwa na kitengo cha ukaguzi cha Chama cha Kimataifa cha Usafiri wa Anga (IOSA) tangu Desemba mwaka jana, lilishindwa kukidhi utashi wa viwango vipya vya usafiri huo na kusababisha linyang'anywe cheti cha kuendesha shughuli zake na Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA).

Kutokana na kunyang'anywa cheti hicho kinachoitwa AOC (Air Operations Certificate), shirika hilo lilisema kuwa, litakuwa likikosa karibu Sh300 milioni kwa wiki katika kipindi ambacho litakuwa halifanyi safari za anga kusubiri TCAA kufanyia kazi nyaraka zilizowasilishwa na ATCL Desemba 10 mwaka huu.

ATCL imezuiwa kufanya safari za anga baada ya TCAA kuinyang'anya cheti cha usafiri huo tangu Desemba 8, baada ya ICAO

kukagua shughuli za TCAA Novemba mwaka huu na kubaini nyaraka za ATCL hazikuwa zikiendana hata na sheria za TCAA za mwaka 2006 na hivyo kushauri linyanyang'anywe cheti hicho kwa muda usiojulikana.

Ukaguzi huo wa ICAO umekuja baada ya IOSA kufanya ukaguzi mwingine Desemba mwaka 2007 na kubaini jumla ya dosari 482 ambazo hazikufanyiwa kazi na ATCL hadi ukaguzi mwingine ulipofanyika mwezi uliopita.

"Novemba mwaka 2008, ICAO ilikuja nchini kukagua jinsi TCAA inavyofanya shughuli zilizo chini yake za kuangalia mashirika ya ndege yanayofanya kazi nchini," alisema Mkurugenzi Mkuu wa ATCL, David Mattaka katika mkutano wake na waandishi wa habari juzi. "Katika kufanya hivyo, (ICAO) walibaini kuwa zile nyaraka za kiutaratibu ambazo zilikuwa TCAA, hazikulingana na sheria za TCAA za mwaka 2006.

Nyaraka hizo ndio zile ambazo zilikuwa zikiandikwa upya ili ziendane na sheria mpya," aliongeza Mattaka. " Naye Claud Mshana anaripoti kwamba mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema kufungiwa kwa ndege za ATCL kufanya safari zake kunatokana na serikali kukosa mikakati madhubuti ya kulijenga na kuliendesha shirika hilo.


Profesa Lipumba alisema makosa zaidi ya 400 yaliyogunduliwa hadi kusimamishwa kwa ATCL kufanya safari za TCAA, ni matokeo ya ubabaishaji wa serikali katika mambo ambayo alisema ni ya muhimu kwa nchi.

Akizungumza na Mwananchi jana Profesa Lipumba alisema, ni vema serikali ikajifunza utendaji kazi wa shirika la Precision Air ambalo linaubia na Shirika la Kenya Airways kwani limekuwa na huduma bora na za uhakika.

“Ni vema hata sasa nguvu zikaelekezwa kwa Precision Air kwani ATCL haiwezi kufufuka tena” alisema na kuongeza kuwa kama ni kuwa na mbia wa kuendesha shirika hilo basi anatakiwa asiwe mbabaishaji ili kuepusha hasara zisizo za lazima.

Kwa mujibu Profesa Lipumba, ni aibu kwa shirika nyeti kama hilo kufungiwa. ATCL imekuwa ikisuasua katika sekta ya usafiri wa anga tangu ubia wake na Shirika la Ndege la Afrika Kusini kuvunjika.
 
2008-12-12 07:26:00

Govt in yet another move to rescue ATCL

By Mnaku Mbani and Mkinga Mkinga
THE CITIZEN

The Government revealed yesterday yet another plan to rescue the national carrier, Air Tanzania Company Limited (ATCL), which is on the verge of collapse.

The minister for Infrastructure Development, Dr Shukuru Kawambwa, said plans were underway to fast track an emergency rescue plan to place the airline in the hands of a strategic investor, who would take over all its operations.

Meanwhile, managing director David Mattaka told a press conference in Dar es Salaam that the fate of the airline, whose planes have been suspended from flying over safety concerns, will be known in 10 days� time. He said management was doing everything possible to get back into business.

On his part, Dr Kawambwa told reporters that the Government was looking into the possibility of placing ATCL under the control of the company, which will also carry out the multi-billion shilling expansion of Dar�s Julius Nyerere International Airport.

And in remarks that revealed the depth of problems bedevilling the national carrier, the minister said he had approved of the suspension on Monday of ATCL's operations by the Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).

He said: "The Government has no problem with the ban as TCAA is exercising its obligations as required by International Civil Aviation Organisation (ICAO)."

Both Dr Kawambwa and Mr Mattaka, who spoke on different occasions, conceded that the airline was in a shambles.

The minister did not reveal the name of the company to be picked to take over the ATCL and also implement the airport expansion project.

However, this increases the number of potential investors in the airline. There have been reports that the Government is negotiating with a Chinese firm, Sonangol, which has indicated its willingness to invest in the airline.

However, some aviation industry sources have expressed concern over the firm's experience and ability to run a national airline.

The award of the tender for the airport expansion has also not been finalised, and thus the companies in contention for the $75 million project are not known.

But Dr Kawambwa, speaking shortly after laying the foundation stone for the proposed TCAA headquarters building in Dar es Salaam, said the Government has started fresh negotiations with a prospective private investor, who had agreed in principle to also take over the operations of the ailing airline.

He said it was too early to reveal the identity of the prospective investor and the details on the negotiations.

"Let's wait a little bit� this is not a secret. At the right time we will tell you everything that you need to know," he told the prying reporters.

He added: "What I can assure you now is that the Government is negotiating with a prospective investor, who has shown willingness to take over operations of ATCL and invest in the airport expansion."

Dr Kawambwa said the Government would ensure that only investors capable of reviving the once prestigious company are picked.

"We want to have an investor who will be able to bring ATCL back to life and offer quality and competitive services,"he said.

The minister said the Government had resolved to fast track negotiations with the new investor.

At a separate press conference, Mr Mattaka confirmed that ATCL had failed to meet the new ICAO standards, prompting the TCAA to suspend its operations. However, he added, the airline hoped to fulfil the requirements and resume operations soon.

The Chief Executive Officer said that all the planes were airworthy though they could not operate now due to the ban imposed by the TCAA, which cited ICAO benchmarks.

He said that last November, ICAO audited TCAA on how the agency is overseeing the operations of airlines, and found out that their procedural documents did not tally with the 2006 regulations.

"They are the same documents, which were rewritten and we were supposed to comply with the benchmarks. When TCCA came to check our operations, they established that the Air Worthiness Certificate (AOC) granted to us was supposed to expire next Monday (December 15)," Mr Mattaka said.

The TCAA thus decided to withdraw the AOC until the airline completes the required documentation, he said.

Mr Mattaka said the national airline would incur a loss of Sh300 million daily as a result of the ban. However, he said the TCAA was not to blame for the predicament.

A recent ICAO report on ATCL indicated that more than 500 faults had been detected, which could jeopardise safety and security standards required of all airlines. The TCAA also confirmed that ATCL had failed to meet the international safety standards since December 8, and it was given a benchmark to comply with.

ATCL has not found its footing since the collapse in early 2006, of its merger with South Africa Airways.

Its recent operations have been characterised by abrupt flight cancellations and disputes with fuel creditors, some of whom have stopped supplying the airline.

South Africa Airways has also sued ATCL to recover a reported severance debt of more than Sh5 billion.

The Government, which had been expected to fund an intensive recapitalisation of the national airline, has not done so. It did not set aside a promised Sh10 billion for the first phase of the plan in the 2008/09 Budget.
 
Let the thing die!!!
The Airline Industry is very competitive, Governments in general and the Tanzanian Government in particular are very inefficient it is very unlikely that it can ever compete in this industry, its just going to be a constant drain on taxpayer money.
 
Date::12/13/2008
Balozi Nyang'anyi asema yupo tayari kujiuzulu ATCL
Na Leon Bahati
Mwananchi

MWENYEKITI wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL), Balozi Mustafa Nyang'anyi amesema kuwa yupo tayari kujiuzulu iwapo itathibitika kuwa, bodi yake ndiyo chanzo cha ndege zake kuzuiwa kuruka.

Alisema hayo jana alipokuwa akizungumza na Mwananchi Jumapili kufuatia wafanyakazi wapatao 200 wa ATCL kuazimia kwenye mkutano wao jijini Dar es Salaam juzi kuwa, wataishinikiza bodi na menejimenti kujiuzulu kwa kuwa walishindwa kukabiliana na dosari ndani ya shirika hadi kulazimishwa kusimamisha huduma za safari.

Hasira za wafanyakazi hao zilitokana na hatua iliyochukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Anga (TCAA) ya kuzuia shirika hilo kwa siku kadhaa baada ya kugundua dosari 482 ambazo ni kinyume na kanuni za Umoja wa Mashirika ya Ndege ya Kimataifa (IATA).

"Kama bodi ndio tatizo, hata leo niko tayari kujiuzulu," alisema Balozi Nyang'anyi ambaye aliwahi kuwa waziri katika serikali ya Awamu ya Pili katika wizara ambayo wakati huo ilikuwa inajulikana kama Mawasiliano na Uchukuzi mwaka 1985 hadi 1989.

Vilevile alisema kuwa, yupo tayari kujiuzulu iwapo watajitokeza watu ambao wakichukua mamlaka ya bodi wataweza kuiendesha ATCL bila matatizo yoyote katika mazingira ambayo shirika lipo kwa sasa.

Alipotakiwa kueleza kiini cha matatizo ya ATCL, Balozi Nyang'anyi alisema kuwa ni uwezo mdogo wa fedha unaoikabili serikali ambao umekwamisha mipango ya kulisuka upya shirika hilo baada ya kuvunja ndoa na shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) mwaka jana.

Alifafanua kuwa baada ya kuvunja ndoa hiyo, shirika hilo lilikuwa na deni la Sh19 bilioni na serikali ikaahidi kuwa itabeba jukumu la kulilipa na hadi hii leo bado halijalipwa.

Kwa mujibu wa Nyang'anyi ahadi hiyo ilitolewa na serikali kupitia Wizara ya Miundombinu Machi 2007 na pia iliahidi kulisaidia shirika hilo mtaji wa kuanzia kutokana na hali mbaya ya kifedha iliyokuwepo baada ya kuachana na SAA.

Katika kutekeleza hilo, alisema serikali iliiagiza bodi kufanya kikao haraka ili kufanya tahmini ya kufufua shirika na kulirejeshea hadhi yake, jambo ambalo walilifanya na kabla ya kufika mwisho wa Aprili 2007, wakawa wamewasilisha mchanganuo ulioonyesha ATC itafufuliwa kwa dola za Marekani 60 milioni sawa na Sh76.2 bilioni, kwa ajili ya kukodisha ndege.

Alifafanua kuwa hadi leo serikali haijalipa deni kama ilivyoahidi na wala haijatekeleza maombi ya fedha hizo kulingana na mchanganuo waliowapeleka na mara kadhaa wamewakumbusha lakini wameambulia patupu.

"Mpaka sasa deni waliloahidi kulipa bado. Mtaji wa dola 60 milioni bado. Sasa katika mazingira kama hayo, unadhani shirika litajiendesha vipi," alihoji Balozi Nyang'anyi akielezea kuwa suala hilo walishalifanyia kikao na mawaziri wa Fedha na Uchumi na wa Miundombinu ikashindikana.

Baadaye, alisema walimwendea Waziri Mkuu ambaye aliagiza wakutane na Katibu Mkuu Kiongozi, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Uchumi pamoja na Katibu Mkuu Miundombinu, lakini vile vile ikashindikana.

Alipotakiwa kueleza hali ya ATCL wakati wanaipokea kutoka kwa SAA na hali halisi ilivyo ndani ya ATC kwa sasa, Balozi Nyang'anyi alisema yeye amekuwa karibu na shirika hilo kwa muda mrefu na kwamba miaka ya 1980, lilikuwa ni shirika imara lakini walipolipokea kutoka kwa SAA lilikuwa katika hali mbaya.

"Wakati nikiwa namaliza kipindi changu cha uwaziri wa Mawasiliano na Uchukuzi mwaka 1989 nililiacha likiwa linamiliki ndege 13, lakini tulipolipokea Machi 2007 tulilikuta bila ndege hata moja," alifafanua.

Alibainisha kuwa kwa sasa limeshindwa kununua ndege zake lenyewe kutokana na kutokuwa na fedha na badala yake linajiendesha kwa kukodisha.

Kwa sasa alisema kuwa ATC ina ndege tatu za kukodi, ambazo ili ziweze kuruka mara moja kwa siku inabidi watumie Sh84 milioni wakati fedha za nauli za abiria zinakuwa hazijapatikana kwa kuwa makusanyo hayo hukamilika baada ya wiki mbili kutoka kwa mawakala wanaouza tiketi.

Ucheleweshaji huo, aliuelezea kama moja ya matatizo katika kuendesha shirika hilo lenye mtaji mdogo na lisiloweza kukopeshwa na benki kutokana na kuwa na deni kubwa la fedha.

Kwa sababu hiyo, alisema kuwa hasira za wafanyakazi hao zinatokana na hofu juu ya ajira zao kutokana na shirika kujiendesha katika mazingira magumu, hivyo akawataka wawe na subira kwa sababu mambo yatakuwa mazuri katika siku chache zijazo.

Alisema kuwa bodi inatarajia kukutana wiki ijayo, ambapo pamoja na mambo mengine itaainisha mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na msimamo wao kuhusu hali ilivyo sasa ndani ya shirika.
 
Jana/juzi press imeripoti Mattaka kasema hivi kuhusu kufungiwa kwa ATC:

Quote:

Na Mwandishi Wetu
Mwananchi

“Taarifa hizo ni za uzushi, na hivi sasa niko kwenye kikao na watu wengine na si TCAA,” alisema Mataka.


Leo wanaripoti:


Quote:

na Mwandishi Wetu
Tanzania Daima

“Kwa hiyo walibaini kuwa cheti kilichotolewa kwa ATC na ambacho muda wake ulikuwa umalizike Desemba 15, 2008, hakikuwa kimefuata taratibu. TCAA kwa hiyo iliamua kuiondolea ATC cheti hicho hadi hapo itakapokamilisha taratibu za kuwa na vielelezo vinavyokidhi masharti ya TCAA,” ...alisema Mattaka

“Tunajutia usumbufu wowote uliojitokeza kwa wateja wetu na tunawaomba watuvumilie wakati tukiendelea kulishughulikia suala hili,” alisema.

Hakuna hata pressman mmoja aliuyemuuliza Mattaka "sasa juzi ulikuwa unakanusha kanusha nini ?"

Au, alichokikanusha juzi sicho walichotuambia kakanusha. Yani hawakumuelewa.



""""""""""""UKIFUNGIWA BAHASHA USUOIJUA KUNA NINI UKAPEWA UNAWEZA KUULIZA""""""""""""""?????????????????
 

Na Leon Bahati
Mwananchi

"Kama bodi ndio tatizo, hata leo niko tayari kujiuzulu," alisema Balozi Nyang'anyi ...

Vilevile alisema kuwa, yupo tayari kujiuzulu iwapo watajitokeza watu ambao wakichukua mamlaka ya bodi wataweza kuiendesha ATCL bila matatizo yoyote katika mazingira ambayo shirika lipo kwa sasa.

Sasa wengine watawezaje kujitokeza kuendesha bodi na kum prove incompetent kama yeye bado hajajiuzulu kuendesha bodi?

Aidha ni Balozi Nyang'anyi haeleweki, au ni crummy journalist hajaelewa kilichosemwa. Between alichotamka Nyang'anyi na alichoongeza mwandishi kwamba Nyang'anyi kasema kuna utupu fulani hapo.

Alipotakiwa kueleza kiini cha matatizo ya ATCL, Balozi Nyang'anyi alisema kuwa ni uwezo mdogo wa fedha unaoikabili serikali ambao umekwamisha mipango ya kulisuka upya shirika hilo baada ya kuvunja ndoa na shirika la Ndege la Afrika Kusini (SAA) mwaka jana.

Nyang'anyi anai excuse serikali kwamba haina hela...

Alifafanua...shirika hilo lilikuwa na deni la Sh19 bilioni na serikali ikaahidi kuwa itabeba jukumu la kulilipa na hadi hii leo bado halijalipwa.

...Alifafanua kuwa hadi leo serikali haijalipa deni kama ilivyoahidi na wala haijatekeleza maombi ya fedha hizo kulingana na mchanganuo waliowapeleka na mara kadhaa wamewakumbusha lakini wameambulia patupu.

"Mpaka sasa deni waliloahidi kulipa bado. Mtaji wa dola 60 milioni bado. Sasa katika mazingira kama hayo, unadhani shirika litajiendesha vipi,"

Lakini hapo hapo anailaumu serikali, anauma na kupuliza.

Alipotakiwa kueleza hali ya ATCL wakati wanaipokea kutoka kwa SAA na hali halisi ilivyo ndani ya ATC kwa sasa, Balozi Nyang'anyi alisema yeye amekuwa karibu na shirika hilo kwa muda mrefu na kwamba miaka ya 1980, lilikuwa ni shirika imara lakini walipolipokea kutoka kwa SAA lilikuwa katika hali mbaya.

"Wakati nikiwa namaliza kipindi changu cha uwaziri wa Mawasiliano na Uchukuzi mwaka 1989 nililiacha likiwa linamiliki ndege 13, lakini tulipolipokea Machi 2007 tulilikuta bila ndege hata moja," alifafanua.

Well, what happened ? Nani aliwajibika kwa hili ? What went wrong with the marriage with the South Africans ? Wasauzi kila siku wanatuingiza mikenge na mergers and acquisitions zinazoishia kutemana na sisi kula hasara. Mara sijui TTCL, mara THA, mara NBC ikauzwa kwa bei ya bure. Na TRA tukauzuia wahindi gani sijui huko wame bungle kampuni vibaya mno. Nani anawajibika kwa haya ? Sasa hivi ATC wanataka kuwauzia Wachina wasio na jina, sijui tumejifunza nini kutokana na mikenge ya wasauzi. Halafu mchakato wa kuibinafsisha ATC kwa wachina sasa hivi ni siri. Baadae tutaanza kukamatana mashati kuhusu taratibu za ubinafsishaji.

Kwa sasa alisema kuwa ATC ina ndege tatu za kukodi, ambazo ili ziweze kuruka mara moja kwa siku inabidi watumie Sh84 milioni wakati fedha za nauli za abiria zinakuwa hazijapatikana kwa kuwa makusanyo hayo hukamilika baada ya wiki mbili kutoka kwa mawakala wanaouza tiketi.

Ucheleweshaji huo, aliuelezea kama moja ya matatizo katika kuendesha shirika hilo lenye mtaji mdogo na lisiloweza kukopeshwa na benki kutokana na kuwa na deni kubwa la fedha.

Okay, hizo milioni 84/siku ambazo huwa wanazilipa in advance of receiving ticket payments huwa wanazipata wapi ? Maana credit yao tunajua ni mbovu hawapati mikopo, sawa, lakini somehow wamekuwa wakimudu kulipia million 84/siku halafu baada ya wiki mbili wanapata chao kutoka kwa wakala wa ticket. Sasa tatizo liko wapi hapo? I mean, there is no such thing as kucheleweshewa hela yako kama kila baada ya wiki mbili unapata chako. Au mimi ndio sielewi?

Kwa sababu hiyo, alisema kuwa hasira za wafanyakazi hao zinatokana na hofu juu ya ajira zao kutokana na shirika kujiendesha katika mazingira magumu, hivyo akawataka wawe na subira kwa sababu mambo yatakuwa mazuri katika siku chache zijazo.

Mambo yatakuwa mazuri kwa sababu nini kitatokea ????? Watapata hizo pesa kutoka serikalini ? Wataanza kuwa insolvent how ?

Maelezo yake tu yanatosha kukuonyesha Nyang'anyi nae ni pathetically incompetent.
 
Is a politician as ussual!!!!kama atoach siasa zake za mitaani za kila siku hilo shirika hata sioni litaishia wapi!!!!!tatizo moja amezidi kuweka uswahiba kila sehemu esp sehemu za milo..kama mnakumbuka yeye ndie alieforce matatizo ya mahujaji!!alipoambiwa haiwezekani akasema inawezekana akala dili na yule muhindi ......mwisho alipoona hali ngumu akaipa mikwara management!!!mimi ntasema na ntaendelea kusema kama
serikali inatakiwa iamue moja kama wanaiataji kuendeleza kampuni ile waondoe ule uchafu palendani!!!kuanzia bodi mpaka management...nje ya hapo ata sisi tukija tanzania tutaogopa kupanda hizo ndege kwa kweli!!!!

nyanganyi go away!!!!mattaka leave the house
 
Mambo yatakuwa mazuri muda si mrefu how??????
toka mwaka 47....

kifanisi inabidi uelezee kivipi kama unalalamika huna hela na ndio sababu
je unaenda kupata hela ama???tatizo moja ndugu zanguni hasa nyie waandishi wa habari nakumbuka hata mzee wangu alishwahi kuwaambia hili pindi nikiwa tanzania mkiitwa sehemu na wakubwa mnawaza bahasha tu kunanini basi...na matokeo yake ndio kama hayo mnaaelezwa bila kuchekecha kichwa kuuliza maswali ukipewa nbahasha unajiuliza huyu ngomb'e anamaliza saa ngapi!!!muwe makini esp katika maswala ya utaifa..
 
Back
Top Bottom