Serikali na CCM acheni kumpa Tundu Lissu umaarufu wa bure!

ndio unagundua kama ni Upumbavu wa serikali ya awamu ya tano leo? umechelewa.
Shida yenu nyie kila kitu ni kupinga. Yaani hamna zuri.Ikitokea mtu aliyekuwa anaunga kitu flani akaja kupinga jambo lingine,hamuangaiki na kuangalia nini anapinga na nini alikua anaunga mkono.Yote ni kuponda tu.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Serikali na CCM wamekuwa reactive badala ya kuwa proactive ambapo matokeo yake wanafanya makosa mengi ya msingi hasa mahusiano ya umma. .
Kwanza hongera kwa kukaa chini na kutafakari kabla ya kuandika. umefikiri kwa kweli lazima nikubali, hongera kwa "kufikiri". lakini basi kwa kutoa mawazo yangu katika fikira zako, hii habari ya serikali kuwa "Proactive" , inatokana na hali halisi tuliyonayo katika awamu hii ya Magufuli. Kuna taasisi rasmi ambazo huwa zina majukumu ya kuandaa serikali iseme nini na ifanye nini kwa wakati gani. Lakini katika awamu hii taasisi hizi zimekuwa zikufunikwa kwa matakwa ya Rais mwenyewe, akiagiza zifanye hata kinyume na taratibu. Hili unaweza kuliona katika yale ambayo Serikali ilifanya au kuzuia yasifanywe wakati wa hatua za mwanzo kabisa za "Tukio" la Lissu.Kutokuwepo walinzi kama ilivyo kawaida, kuondolewa kamera za CCTV, polisi kuchukua muda mrefu kuwasili eneo la tukio, mzozo wote kuhusu gharama za matibabu, na serikali kubadili msimamo angani. mwanzo ilisema inataka familia ndiyo iwasiliane na serikali/bunge, na ikafanyika hivyo, lakini serikali ikabadili msimamo, probably kwa "amri kutoka juu", wakagomea matibabu. mazingira hayo yanaiweka serikali katika wakati mgumu hasa pale Tundu Lissu anapopata fursa ya kuyaeleza tena katika vyombo vya kimataifa. hiyo ndiyo asili ya kutapatapa inayojionesha


Serikali na viongozi wa juu wa CCM kukimbizana na Lissu kwenye vyombo vya habari ili kujibu hoja zake ni ujinga wa kiwango cha juu kwa sababu kufanya hivyo ni kujiweka wazi kwenye maswali ambayo hanaya majibu ya kisiasa bali kiuchunguzi. Kimantiki taasisi ya kiuchunguzi wa makosa ya jinai haiwezi kutoa majibu ya uchunguzi kama uchunguzi haujakamilika lakini pia hata yakitolewa huwa yanatolewa kitaalam na kwa uangalifu mkubwa sana bila kujali mwathirika/waathirika wanafikra zipi. .
Hoja hii ingekuwa na mantiki kama tukio la Lissu lingekuwa ni "ajali ya kawaida". inaonekana ama kulikuwa na mkakati maalum, au serikali ilifurahia "ajali" hiyo kwa ule msemo maarufu "adui yako muombee njaa". katika hatua za mwanzo kabisa serikali ilijichanganya na kufanya makosa mengi ambayo yanazidi kuiweka pabaya serikali. kwa mfano kwa hayo tu niliyosema hapo juu, serikali ilitakiwa mapema kabisa itoe ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusu kutokuwepo walinzi, ama wakanushe kwamba walinzi walikuwepo muda wote, au waeleze sababu za walinzi hao kutokuwepo. Pia ni nani alichukua kamera za CCTV? ni polisi ili kusaidia uchunguzi? yaani kama ilivyokuwa kwenye sakata la "MO", tulikuwa tunapewa taarifa mbalimbali, japo nazo zilikuwa na ukakasi, lakini angalau kwa suala lile akina Mambosasa tuliwaona na kuwasikia. Lakini siyo katika suala la Lissu. unapohoji "reaction" ya serikali, inabidi utambue pia kwamba inawezekana serikali ina damu mikononi mwake na ndio maana inaweweseka


Lissu akiwa anahojiwa na waandishi wa habari bila kuwepo maafisa wa serikali ni faida kwa serikali na CCM kuliko ofisa wa serikali na CCM kuwepo pia katika mahojiano hayo. Mahojiano yake katika kipindi cha HARDtalk bila uwepo wa ofisa wa serikali yaliinufaisha zaidi serikali kuliko muhojiwa. Hata pale alipotoa shutuma, mtangazaji alimwambia aache kutoa shutuma ambazo anaowatuhumu hawapo ili wazijibu. .
Hayo ni matumaini ya mjinga. HardTalk iliimiza sana serikali, sema tu ile style yao ya kuuliza maswali ndiyo inawapa matumaini feki watu wa CCM. mlishaambiwa kwamba kama angeenda pale mtu wa CCM, ingeonekana kama vile Sackur ni KADA WA CHADEMA, kwa jinsi ambavyo Sackur angekuwa anamshambulia kwa kutumia madai ya upinzani.

Lakini watazamaji kwenye ile kipindi walianza na ile opening line kwamba hapa tunaongea na "a living miracle", mtu aliyepigwa risasi 38, 16 zikaingia mwilni (sackur alisema 20, Lissu akamsahihisha kwa unyenyekevu kabisa), hayo ndiyo watazamaji ambao siyo watanzania au wasiojua vizuri hiyo ishu, wanayoanza nayo na kuyaweka kichwani. mengine wanayajua kama ulivyosema, kwamba hizi serikali za kiafrika ni za kikandamizaji.


Hii ina maana kuwa serikali inapoteza muda kujitetea kwenye suala la Tundu Lissu na demokrasia kwa sababu watawala wa Ulaya na Marekani wanajua kama ni kweli au uwongo.

Serikali lazima waelewe kuwa anachokitaka Tundu Lissu ni reaction ambayo ni reactive kutoka serikalini ili aendeleze marumbano na mijadala kwenye vyombo vya habari ya ndani na nje..
Ni kweli watawala wa ulaya na Marekani wanajua mengi, lakini hayapo kwenye PUBLIC DOMAIN. Ni kazi ya mtanzania kuueleza ulimwengu yanayoendelea Tanzania. Hapo kuna uzito mkubwa sana. wanayoyajua watawala ni kwa ajili ya shughuli zao wenyewe, lakini kama ni pressure ya kutoka walipa kodi wa ulaya na marekani inabidi itokane na kauli kama hizi za Tundu Lissu. Kwa hiyo kauli hizo ni muhimu sana.


Ninakumbuka kwa mara yangu ya kwanza kusafiri katika nchi za Ulaya nilipewa ushauri kuwa ukimuona mtu anakuchokoza au kukuchochea unachotakiwa ni kutoonyesha hisia au kujibu. Kutoonyesha hisia au kujibu kutamfanya akose sababu ya kuendelea kukuchochea au kukuchokoza lakini kikubwa zaidi ataona anachofanya ni ujinga na kuachana na uchochezi au uchokozi.
Usifanye mambo kwa kukariri au kukaririshwa. Kila jambo linahitaji uamuzi sahihi na mbinu sahihi kwa wakati huo. Katika tuhuma ambazo ni SERIOUS, ukikaa kimya watu watachukulia kwamba umekosa cha kujitetea, na utakuwa umempa uwanja huyo anayekutuhumu kuendelea kuwajaza watu maneno ya kuunda mwelekeo. hata mahakamani usipokwenda au usipojitetea, maamuzi yanaweza kufanywa bila ya wewe kuwepo. Lakini katika hili la Lissu, serikali inababaika kwa sababu tayari ilishalikoroga tokea mwanzo. iko kwenye dilemma. chochote itakachofanya kina madhara. kukaa kimya ni madhara. kujibu ni madhara pia. na mbaya zaidi tumeshuhudia aina ya majibu ambayo kwa kweli yanazidi kumpaisha Lissu. vitisho vya kuvuliwa ubunge, kunyang'anywa mshahara, na kabla ya hapo kunyimwa matibabu, vyote hivyo vinarudi tena kumpaisha Lissu.


Serikali ikikaa kimya hata wale wanaomuhoji Lissu watachoka kwa sababu kutakuwa hakuna reaction kutoka serikalini. Kukosa reaction kutoka serikalini ina maana hata mahojiano yanakuwa hayahitajiki (redundant). Serikali lazima waelewe dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction lakini kikubwa zaidi uendeshaji wa serikali ni sawa na mbio za masafa marefu(marathon). Kuna wapiga kelele wataibuka na baadaye watapotea.
Kumhoji Lissu ni hatua ya kwanza, serikali ijibu au isijibu. Lakini kama serikali inajibu kwa hoja nzito, na kuna ushahidi mzito, inawezekana kumnyamazisha Lissu. Lakini kama mambo ndio kama hivi yalivyo, serikali ijibu au isipojibu, hatua zinazofuata zitaendelea. Darubini zitaelekezwa Tanzania. Bahati nzuri kuna bado vituko vingi tu vya serikali ya Magufuli, na Lissu hata akirudi, ataendelea na utaratibu wake wa kuikosoa vikali serikali hii kwa vituko vyake vipya ambavyo LAZIMA VIJE. Umeshasema kwamba wanaweza kumkamata Lissu uwanja wa ndege. hapo wajue tu kwamba wataendelea kuongeza CV ya Lissu na kuharakaisha taratibu za Lissu KUPEWA NISHANI YA NOBEL, hapo tutakuwa tumeingia katika A NEW THRESHOLD. Ndio maana nakuambia kukaa kimya siyo dawa na hizo ndoto zako kwamba "wanaomhoji lissu watachoka", ni kweli ndoto za mchana.


Watu wenye fikra pana wanaomfahamu Lissu hawashangai na kile anachokisema bali wanachoshangaa ni jinsi ambavyo viongozi wa juu wa CCM na serikali wanavyojibishana naye kwenye vyombo vya habari.

Kwa mtu mwenye fikra pana na anamfahamu vizuri Lissu atajua hupenda sana kujionyesha mbele ya watu/hadhara (limelight) lakini pia hufurahia sana (relish) kama kuna reaction bila kujali kama ni nzuri au mbaya. Waingereza huita Attention seeking behaviour. Lissu anachokitafuta kwa CCM na serikali ni kukimbizana au kujibishana naye kwenye media akiwa ndiye focal point.
Hao unaosema wenye fikra pana ni akina nani? Ni Benjamin William Mkapa, ambaye alipoanza sera zake mbovu kuhusu Madini na mikataba mibovu, akina Tundu Lissu, wakati huo akiwa Mwanasheria mahiri wa Mazingira, walipomtahadharisha, akawajibu kwamba "NI WAVIVU WA KUFIKIRI"?

Kujionesha kwa Lissu ni kule kutetea ndugu za watu waliofukiwa kwenye migodi ya Bulyanhulu, wakati MAKAMPUNI YA MADINI YA KIBEBERU YAKISHIRIKIANA NA SERIKALI YA CCM yalikuwa yanafunika ukweli huu?
Kujionesha kwa Lissu ni kule kuwatetea wachimbaji wadogo na wananchi kwa ujumla waliobambikizwa kesi kwa kupinga njama za MAKAMPUNI HAYO YA KIBEBERU???? kiasi cha Mh. Bashe kumpongeza bungeni kwa kutetea wapiga kura wake, bure bila kuwatoza fedha?

Kujionesha kwa Lissu ni kujitokeza hadharani kumkosoa kwa nguvu rais John Magufuli na sera zake, akiwa ni mtanzania pekee aliyejivika jukumu hilo, baada ya wengi wetu kunywea? Magufuli Rais mbabe, dikteta, anayenyamazisha kila sekta: amelifunga mdomo bunge, na anaweza kuwatishia wawakilisha wa wananchi kwamba NITAANZA NA SHANGAZI ZENU. wanaomjadili katika makundi ya WHATSAPP wanashughulikiwa, hapa kuna Tundu Lissu anayemshambulia hadharani mbabe huyu, huku ndiyo kujionesha kwake?

Kujionesha kwa Lissu ni kuueleza ulimwengu yale yaliyompata? madhila aliyotendewa na serikali yake?


Mpaka sasa malengo yake kwa kiwango kikubwa yamefanikiwa kutokana na ujinga wa viongozi wa juu wa serikali na CCM ambao wengi wao hawajui ukubwa na umuhimu wa vyeo vyao. Eti Katibu Mkuu wa chama tawala CCM anajibishana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu? This is beyond stupidity.
Hongera sana kwa kulitambua hilo, hapo nakubaliana na wewe kabisa. lakini kumbuka kwamba mpaka hawa jamaa wanajitoa kupambana na huyu shujaa wa taifa, ni dalili kwamba mzee mzima Magufuli anatoa kamasi ulimi nje


Lissu anatakiwa arumbane na wanachama wa kawaida wa CCM na sio viongozi wa juu wa chama. Majibu ya hoja za Lissu kuhusu shambulio lazima yajibiwe na taasisi rasmi za uchunguzi na sio kila kiongozi wa serikali.

Hawa viongozi wa CCM na serikali hawakujifunza makosa waliyoyafanya kwa Mange Kimambi baada ya kumkuza na kupata followers wengi kutokana na kujibishana naye. Makosa yaleyale wanayarudia kwa Tundu Lissu.

AaaAhhh Tundu Lissu siyo mwanachama wa kawaida, ni mbunge, ni Chief Whip wa Opposition, ni Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, ni Rais mstaafu wa TLS. Pengine kwa kumbeza hivyo ndio matokeo yake ni haya tunayoshuhudia.

Katika dhana ile ile ya Attention seeking behaviour, Ninajua pia Lissu atapenda sana akirudi nchini akamatwe akiwa uwanja wa ndege ili kutimiza Newton's third law of motion ambapo matokeo yake yatakuwa kumpa umaarufu wa bure lakini kikubwa zaidi hata waliokuwa hawaamini aliyokuwa anayasema nwataamini niya kweli. Ninawaomba sana serikali wasimkamate siku akiingia nchini bali wamuache tu. No force, no rection.
Kama ulikuwepo vile!!! Ila Tundu Lissu hapendi kukamatwa kamatwa, alishasema mwenyewe, LAKINI HAOGOPI KUKAMATWA. Hii ndiyo hasa, ukipenda, NGUVU YA LISSU. HANA WOGA WOWOTE DHIDI YA MABAVU YA SERIKALI HII YA KIDIKTETA NA KANDAMIZI.

Ninakumbuka mwaka 1995 wakati Augustino Mrema akiwa mpinzani maarufu nchini, kila alipobebwa waliombeba walipigwa mabomu na vitendo hivyo vilizidi kumfanya maarufu mpaka Mwalimu Nyerere alipotumia busara na kuwambia polisi, “Kwa kuwa wanaotaka kumbeba Mrema wapo, waacheni wambebe. Wambebe hata kama watakuwa wanapokezana kama machela (jeneza), waacheni.” Polisi walipotii agizo la Baba wa Taifa, la kuacha kuwapiga mabomu, Mrema naye kama shani hakubebwa tena. Mwl. Nyerere alitumia dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction.

Tuliona pia huko Kenya, baada ya wapinzani kuamua kumuapisha Raila Odinga kuongoza Kenya baada kutangaza kwamba hamtambui Uhuru Kenyatta kama kiongozi aliyechaguliwa kwa njia halali, polisi waliwaacha wafanye hivyo na matokeo yake kitendo hicho kikaonekana nicha kijinga.

Huko Venezuela tumeona kiongozi wa upinzani akifanya kama alivyofanya Raila Odinga lakini dhumuni lake lilikuwa ni kutaka polisi wawazuie ili mapigano yatokee ambayo yangekuwa ni sababu ya Marekani kuingia kimabavu katika nchi hiyo kwa kisingizio cha kuzuia mauwaji. Serikali ya Rais Madulo ikajua janja yao na ikamuacha Juan Guaidó ajiapishe bila kumuingilia kwa kutumia nguvu ya polisi/jeshi. No force, no reaction. Uamuzi wa polisi/jeshi kumuacha ajiapishe kumeua malengo ya Marekani ya kuingiza majeshi Venezuela.[/QUOTE]
Mbona unakwenda mbali huko? JK huyu hapa kwetu, tena akiwa Rais na mwenyekiti wa CCM, alikishauri chama chake, katika mkutano mkuu wa CCM, akasema hivi: CCM ACHENI KUWAJIBU WAPINZANI KWA KUTUMIA POLISI. JIBUNI MASHAMBULIZI YAO KISIASA". na haya aliyarudia kwa Rais Kagame, kwamba aongee na wapinzani wake. Hata baada ya kustaafu alitoa wito kwa viongozi wa Afrika kutochukulia wapinzani kwamba ni maadui. hili lilimkera sana Magufuli kama alivyokereka shosti wake Kagame. Lakini hiyo ndiyo HEKIMA. Kikwete alifaulu katika hili, licha ya madhaifu yake mengi tu ambayo wala hatuoni aibu kwamba tulimkosoa lakini sasa tuko fair tunampa sifa pale panapostahili. Pengine Magufuli naye panapo majaaliwa tutamsifu pale panapostahili, lakini NYUNDO LAZIMA APEWE TENA KAVU KAVU. Ni Majukumu ya kikatiba ya UPINZANI na wananchi wazalendo kama sisi.

CCM na Serikali lazima waelewe kuwa hoja sio Lissu anatumiwa na ''mabeberu'' bali hoja ni jinsi gani wataweza kuzuia njama za ''Mabeberu'' kwa sababu ''mabeberu'' kuwatumia watu sio jambo jimpya.

Kuna Mzee mmoja aliwahi kunipa ushauri kwa maneno haya, Ukimya hukuvisha nguo ya utulivu na hukukinga na haja ya kutoa visingizio lakini pia jawabu fasihi kabisa kwa mpumbavu ni kutomjibu.

Huu wimbo wa MABEBERU ni Nyerere ndio aliuanzisha, lakini alikuwa anakula nao sahani moja. alipatana nao kimkakati, na aliwatembelea sana tu. alijua anawahitaji na wao wanamhitaji. hiyo ni HEKIMA. Lakini sasa hivi hakuna hekima wala uhusiano wa kimkakati. ni upuuzi mtupu. Sera yetu ya nje ni HOVYO KABISA KUWAHI KUTOKEA.
 
Nimekuwa kimya na mtazamaji kuhusiana na suala hili la Tundu Lissu lakini baada ya kuangalia kwa muda nimegundua madhaifu mengi sana kwa upande wa serikali katika kukabiliana na yanayojiri kwenye suala hili.

Serikali na CCM wamekuwa reactive badala ya kuwa proactive ambapo matokeo yake wanafanya makosa mengi ya msingi hasa mahusiano ya umma.

Serikali na viongozi wa juu wa CCM kukimbizana na Lissu kwenye vyombo vya habari ili kujibu hoja zake ni ujinga wa kiwango cha juu kwa sababu kufanya hivyo ni kujiweka wazi kwenye maswali ambayo hanaya majibu ya kisiasa bali kiuchunguzi. Kimantiki taasisi ya kiuchunguzi wa makosa ya jinai haiwezi kutoa majibu ya uchunguzi kama uchunguzi haujakamilika lakini pia hata yakitolewa huwa yanatolewa kitaalam na kwa uangalifu mkubwa sana bila kujali mwathirika/waathirika wanafikra zipi.

Lissu akiwa anahojiwa na waandishi wa habari bila kuwepo maafisa wa serikali ni faida kwa serikali na CCM kuliko ofisa wa serikali na CCM kuwepo pia katika mahojiano hayo. Mahojiano yake katika kipindi cha HARDtalk bila uwepo wa ofisa wa serikali yaliinufaisha zaidi serikali kuliko muhojiwa. Hata pale alipotoa shutuma, mtangazaji alimwambia aache kutoa shutuma ambazo anaowatuhumu hawapo ili wazijibu.

Ni ujinga kwa serikali kudhani kuwa kinachofanyika hapa Tanzania hakijulikani katika makorido ya watawala wa Ulaya na Marekani na kwa maana hiyo wanakwenda kujibu tuhuma za upotoshaji. In fact, watawala wa Ulaya na Marekani wanajua hata yale yanayosemwa ndani ya Ikulu ya Magogoni nchini achilia mbali anayoyasema Lissu. Kwa maana hii, kama Lissu anayosema ni kweli au uwongo watakuwa wanajua.

Kwa mfano, juzi Gazeti la The New York Times la Marekani ambalo lina mahusiano ya karibu sana na majasusi wa Marekani lilipewa audio yenye maongezi ya mwana mfalme, Mohammed bin Salman akiwaambia watu wake wa karibu kuwa atatumia risasi kama Jamal Khashoggi hatarudi Saudi Arabia na kuachana na ukosoaji wa serikali. Hii inaonyesha kuwa kila anachokisema na kukifanya ndani ya nyumba yake kinajulikana kwa majasusi wa nchi ya Marekani.

Hii ina maana kuwa serikali inapoteza muda kujitetea kwenye suala la Tundu Lissu na demokrasia kwa sababu watawala wa Ulaya na Marekani wanajua kama ni kweli au uwongo.

Serikali lazima waelewe kuwa anachokitaka Tundu Lissu ni reaction ambayo ni reactive kutoka serikalini ili aendeleze marumbano na mijadala kwenye vyombo vya habari ya ndani na nje.

Ninakumbuka kwa mara yangu ya kwanza kusafiri katika nchi za Ulaya nilipewa ushauri kuwa ukimuona mtu anakuchokoza au kukuchochea unachotakiwa ni kutoonyesha hisia au kujibu. Kutoonyesha hisia au kujibu kutamfanya akose sababu ya kuendelea kukuchochea au kukuchokoza lakini kikubwa zaidi ataona anachofanya ni ujinga na kuachana na uchochezi au uchokozi.

Serikali ikikaa kimya hata wale wanaomuhoji Lissu watachoka kwa sababu kutakuwa hakuna reaction kutoka serikalini. Kukosa reaction kutoka serikalini ina maana hata mahojiano yanakuwa hayahitajiki (redundant). Serikali lazima waelewe dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction lakini kikubwa zaidi uendeshaji wa serikali ni sawa na mbio za masafa marefu(marathon). Kuna wapiga kelele wataibuka na baadaye watapotea.

Watu wenye fikra pana wanaomfahamu Lissu hawashangai na kile anachokisema bali wanachoshangaa ni jinsi ambavyo viongozi wa juu wa CCM na serikali wanavyojibishana naye kwenye vyombo vya habari.

Kwa mtu mwenye fikra pana na anamfahamu vizuri Lissu atajua hupenda sana kujionyesha mbele ya watu/hadhara (limelight) lakini pia hufurahia sana (relish) kama kuna reaction bila kujali kama ni nzuri au mbaya. Waingereza huita Attention seeking behaviour. Lissu anachokitafuta kwa CCM na serikali ni kukimbizana au kujibishana naye kwenye media akiwa ndiye focal point.

Mpaka sasa malengo yake kwa kiwango kikubwa yamefanikiwa kutokana na ujinga wa viongozi wa juu wa serikali na CCM ambao wengi wao hawajui ukubwa na umuhimu wa vyeo vyao. Eti Katibu Mkuu wa chama tawala CCM anajibishana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu? This is beyond stupidity.

Lissu anatakiwa arumbane na wanachama wa kawaida wa CCM na sio viongozi wa juu wa chama. Majibu ya hoja za Lissu kuhusu shambulio lazima yajibiwe na taasisi rasmi za uchunguzi na sio kila kiongozi wa serikali.

Hawa viongozi wa CCM na serikali hawakujifunza makosa waliyoyafanya kwa Mange Kimambi baada ya kumkuza na kupata followers wengi kutokana na kujibishana naye. Makosa yaleyale wanayarudia kwa Tundu Lissu.

Katika dhana ile ile ya Attention seeking behaviour, Ninajua pia Lissu atapenda sana akirudi nchini akamatwe akiwa uwanja wa ndege ili kutimiza Newton's third law of motion ambapo matokeo yake yatakuwa kumpa umaarufu wa bure lakini kikubwa zaidi hata waliokuwa hawaamini aliyokuwa anayasema nwataamini niya kweli. Ninawaomba sana serikali wasimkamate siku akiingia nchini bali wamuache tu. No force, no rection.

Ninakumbuka mwaka 1995 wakati Augustino Mrema akiwa mpinzani maarufu nchini, kila alipobebwa waliombeba walipigwa mabomu na vitendo hivyo vilizidi kumfanya maarufu mpaka Mwalimu Nyerere alipotumia busara na kuwambia polisi, “Kwa kuwa wanaotaka kumbeba Mrema wapo, waacheni wambebe. Wambebe hata kama watakuwa wanapokezana kama machela (jeneza), waacheni.” Polisi walipotii agizo la Baba wa Taifa, la kuacha kuwapiga mabomu, Mrema naye kama shani hakubebwa tena. Mwl. Nyerere alitumia dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction.

Tuliona pia huko Kenya, baada ya wapinzani kuamua kumuapisha Raila Odinga kuongoza Kenya baada kutangaza kwamba hamtambui Uhuru Kenyatta kama kiongozi aliyechaguliwa kwa njia halali, polisi waliwaacha wafanye hivyo na matokeo yake kitendo hicho kikaonekana nicha kijinga.

Huko Venezuela tumeona kiongozi wa upinzani akifanya kama alivyofanya Raila Odinga lakini dhumuni lake lilikuwa ni kutaka polisi wawazuie ili mapigano yatokee ambayo yangekuwa ni sababu ya Marekani kuingia kimabavu katika nchi hiyo kwa kisingizio cha kuzuia mauwaji. Serikali ya Rais Madulo ikajua janja yao na ikamuacha Juan Guaidó ajiapishe bila kumuingilia kwa kutumia nguvu ya polisi/jeshi. No force, no reaction. Uamuzi wa polisi/jeshi kumuacha ajiapishe kumeua malengo ya Marekani ya kuingiza majeshi Venezuela.

CCM na Serikali lazima waelewe kuwa hoja sio Lissu anatumiwa na ''mabeberu'' bali hoja ni jinsi gani wataweza kuzuia njama za ''Mabeberu'' kwa sababu ''mabeberu'' kuwatumia watu sio jambo jimpya.

Kuna Mzee mmoja aliwahi kunipa ushauri kwa maneno haya, Ukimya hukuvisha nguo ya utulivu na hukukinga na haja ya kutoa visingizio lakini pia jawabu fasihi kabisa kwa mpumbavu ni kutomjibu.

Nimalizie kwa kusema, Serikali na viongozi wa juu wa CCM lazima watambue kuwa hata kukaa kimya ni jibu kwa sababu hakuna serikali hapa duniani ambayo haijawahi kutuhumiwa kutaka kuua au kuua raia.
Kwani Lissu akipata umaarufu wewe unateseka?
 
Serikali na CCM wamekuwa reactive badala ya kuwa proactive ambapo matokeo yake wanafanya makosa mengi ya msingi hasa mahusiano ya umma. .
Kwanza hongera kwa kukaa chini na kutafakari kabla ya kuandika. umefikiri kwa kweli lazima nikubali, hongera kwa "kufikiri". lakini basi kwa kutoa mawazo yangu katika fikira zako, hii habari ya serikali kuwa "Proactive" , inatokana na hali halisi tuliyonayo katika awamu hii ya Magufuli. Kuna taasisi rasmi ambazo huwa zina majukumu ya kuandaa serikali iseme nini na ifanye nini kwa wakati gani. Lakini katika awamu hii taasisi hizi zimekuwa zikufunikwa kwa matakwa ya Rais mwenyewe, akiagiza zifanye hata kinyume na taratibu. Hili unaweza kuliona katika yale ambayo Serikali ilifanya au kuzuia yasifanywe wakati wa hatua za mwanzo kabisa za "Tukio" la Lissu.Kutokuwepo walinzi kama ilivyo kawaida, kuondolewa kamera za CCTV, polisi kuchukua muda mrefu kuwasili eneo la tukio, mzozo wote kuhusu gharama za matibabu, na serikali kubadili msimamo angani. mwanzo ilisema inataka familia ndiyo iwasiliane na serikali/bunge, na ikafanyika hivyo, lakini serikali ikabadili msimamo, probably kwa "amri kutoka juu", wakagomea matibabu. mazingira hayo yanaiweka serikali katika wakati mgumu hasa pale Tundu Lissu anapopata fursa ya kuyaeleza tena katika vyombo vya kimataifa. hiyo ndiyo asili ya kutapatapa inayojionesha


Serikali na viongozi wa juu wa CCM kukimbizana na Lissu kwenye vyombo vya habari ili kujibu hoja zake ni ujinga wa kiwango cha juu kwa sababu kufanya hivyo ni kujiweka wazi kwenye maswali ambayo hanaya majibu ya kisiasa bali kiuchunguzi. Kimantiki taasisi ya kiuchunguzi wa makosa ya jinai haiwezi kutoa majibu ya uchunguzi kama uchunguzi haujakamilika lakini pia hata yakitolewa huwa yanatolewa kitaalam na kwa uangalifu mkubwa sana bila kujali mwathirika/waathirika wanafikra zipi. .
Hoja hii ingekuwa na mantiki kama tukio la Lissu lingekuwa ni "ajali ya kawaida". inaonekana ama kulikuwa na mkakati maalum, au serikali ilifurahia "ajali" hiyo kwa ule msemo maarufu "adui yako muombee njaa". katika hatua za mwanzo kabisa serikali ilijichanganya na kufanya makosa mengi ambayo yanazidi kuiweka pabaya serikali. kwa mfano kwa hayo tu niliyosema hapo juu, serikali ilitakiwa mapema kabisa itoe ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusu kutokuwepo walinzi, ama wakanushe kwamba walinzi walikuwepo muda wote, au waeleze sababu za walinzi hao kutokuwepo. Pia ni nani alichukua kamera za CCTV? ni polisi ili kusaidia uchunguzi? yaani kama ilivyokuwa kwenye sakata la "MO", tulikuwa tunapewa taarifa mbalimbali, japo nazo zilikuwa na ukakasi, lakini angalau kwa suala lile akina Mambosasa tuliwaona na kuwasikia. Lakini siyo katika suala la Lissu. unapohoji "reaction" ya serikali, inabidi utambue pia kwamba inawezekana serikali ina damu mikononi mwake na ndio maana inaweweseka


Lissu akiwa anahojiwa na waandishi wa habari bila kuwepo maafisa wa serikali ni faida kwa serikali na CCM kuliko ofisa wa serikali na CCM kuwepo pia katika mahojiano hayo. Mahojiano yake katika kipindi cha HARDtalk bila uwepo wa ofisa wa serikali yaliinufaisha zaidi serikali kuliko muhojiwa. Hata pale alipotoa shutuma, mtangazaji alimwambia aache kutoa shutuma ambazo anaowatuhumu hawapo ili wazijibu. .
Hayo ni matumaini ya mjinga. HardTalk iliimiza sana serikali, sema tu ile style yao ya kuuliza maswali ndiyo inawapa matumaini feki watu wa CCM. mlishaambiwa kwamba kama angeenda pale mtu wa CCM, ingeonekana kama vile Sackur ni KADA WA CHADEMA, kwa jinsi ambavyo Sackur angekuwa anamshambulia kwa kutumia madai ya upinzani.

Lakini watazamaji kwenye ile kipindi walianza na ile opening line kwamba hapa tunaongea na "a living miracle", mtu aliyepigwa risasi 38, 16 zikaingia mwilni (sackur alisema 20, Lissu akamsahihisha kwa unyenyekevu kabisa), hayo ndiyo watazamaji ambao siyo watanzania au wasiojua vizuri hiyo ishu, wanayoanza nayo na kuyaweka kichwani. mengine wanayajua kama ulivyosema, kwamba hizi serikali za kiafrika ni za kikandamizaji.


Hii ina maana kuwa serikali inapoteza muda kujitetea kwenye suala la Tundu Lissu na demokrasia kwa sababu watawala wa Ulaya na Marekani wanajua kama ni kweli au uwongo.

Serikali lazima waelewe kuwa anachokitaka Tundu Lissu ni reaction ambayo ni reactive kutoka serikalini ili aendeleze marumbano na mijadala kwenye vyombo vya habari ya ndani na nje..
Ni kweli watawala wa ulaya na Marekani wanajua mengi, lakini hayapo kwenye PUBLIC DOMAIN. Ni kazi ya mtanzania kuueleza ulimwengu yanayoendelea Tanzania. Hapo kuna uzito mkubwa sana. wanayoyajua watawala ni kwa ajili ya shughuli zao wenyewe, lakini kama ni pressure ya kutoka walipa kodi wa ulaya na marekani inabidi itokane na kauli kama hizi za Tundu Lissu. Kwa hiyo kauli hizo ni muhimu sana.


Ninakumbuka kwa mara yangu ya kwanza kusafiri katika nchi za Ulaya nilipewa ushauri kuwa ukimuona mtu anakuchokoza au kukuchochea unachotakiwa ni kutoonyesha hisia au kujibu. Kutoonyesha hisia au kujibu kutamfanya akose sababu ya kuendelea kukuchochea au kukuchokoza lakini kikubwa zaidi ataona anachofanya ni ujinga na kuachana na uchochezi au uchokozi.
Usifanye mambo kwa kukariri au kukaririshwa. Kila jambo linahitaji uamuzi sahihi na mbinu sahihi kwa wakati huo. Katika tuhuma ambazo ni SERIOUS, ukikaa kimya watu watachukulia kwamba umekosa cha kujitetea, na utakuwa umempa uwanja huyo anayekutuhumu kuendelea kuwajaza watu maneno ya kuunda mwelekeo. hata mahakamani usipokwenda au usipojitetea, maamuzi yanaweza kufanywa bila ya wewe kuwepo. Lakini katika hili la Lissu, serikali inababaika kwa sababu tayari ilishalikoroga tokea mwanzo. iko kwenye dilemma. chochote itakachofanya kina madhara. kukaa kimya ni madhara. kujibu ni madhara pia. na mbaya zaidi tumeshuhudia aina ya majibu ambayo kwa kweli yanazidi kumpaisha Lissu. vitisho vya kuvuliwa ubunge, kunyang'anywa mshahara, na kabla ya hapo kunyimwa matibabu, vyote hivyo vinarudi tena kumpaisha Lissu.


Serikali ikikaa kimya hata wale wanaomuhoji Lissu watachoka kwa sababu kutakuwa hakuna reaction kutoka serikalini. Kukosa reaction kutoka serikalini ina maana hata mahojiano yanakuwa hayahitajiki (redundant). Serikali lazima waelewe dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction lakini kikubwa zaidi uendeshaji wa serikali ni sawa na mbio za masafa marefu(marathon). Kuna wapiga kelele wataibuka na baadaye watapotea.
Kumhoji Lissu ni hatua ya kwanza, serikali ijibu au isijibu. Lakini kama serikali inajibu kwa hoja nzito, na kuna ushahidi mzito, inawezekana kumnyamazisha Lissu. Lakini kama mambo ndio kama hivi yalivyo, serikali ijibu au isipojibu, hatua zinazofuata zitaendelea. Darubini zitaelekezwa Tanzania. Bahati nzuri kuna bado vituko vingi tu vya serikali ya Magufuli, na Lissu hata akirudi, ataendelea na utaratibu wake wa kuikosoa vikali serikali hii kwa vituko vyake vipya ambavyo LAZIMA VIJE. Umeshasema kwamba wanaweza kumkamata Lissu uwanja wa ndege. hapo wajue tu kwamba wataendelea kuongeza CV ya Lissu na kuharakaisha taratibu za Lissu KUPEWA NISHANI YA NOBEL, hapo tutakuwa tumeingia katika A NEW THRESHOLD. Ndio maana nakuambia kukaa kimya siyo dawa na hizo ndoto zako kwamba "wanaomhoji lissu watachoka", ni kweli ndoto za mchana.


Watu wenye fikra pana wanaomfahamu Lissu hawashangai na kile anachokisema bali wanachoshangaa ni jinsi ambavyo viongozi wa juu wa CCM na serikali wanavyojibishana naye kwenye vyombo vya habari.

Kwa mtu mwenye fikra pana na anamfahamu vizuri Lissu atajua hupenda sana kujionyesha mbele ya watu/hadhara (limelight) lakini pia hufurahia sana (relish) kama kuna reaction bila kujali kama ni nzuri au mbaya. Waingereza huita Attention seeking behaviour. Lissu anachokitafuta kwa CCM na serikali ni kukimbizana au kujibishana naye kwenye media akiwa ndiye focal point.
Hao unaosema wenye fikra pana ni akina nani? Ni Benjamin William Mkapa, ambaye alipoanza sera zake mbovu kuhusu Madini na mikataba mibovu, akina Tundu Lissu, wakati huo akiwa Mwanasheria mahiri wa Mazingira, walipomtahadharisha, akawajibu kwamba "NI WAVIVU WA KUFIKIRI"?

Kujionesha kwa Lissu ni kule kutetea ndugu za watu waliofukiwa kwenye migodi ya Bulyanhulu, wakati MAKAMPUNI YA MADINI YA KIBEBERU YAKISHIRIKIANA NA SERIKALI YA CCM yalikuwa yanafunika ukweli huu?
Kujionesha kwa Lissu ni kule kuwatetea wachimbaji wadogo na wananchi kwa ujumla waliobambikizwa kesi kwa kupinga njama za MAKAMPUNI HAYO YA KIBEBERU???? kiasi cha Mh. Bashe kumpongeza bungeni kwa kutetea wapiga kura wake, bure bila kuwatoza fedha?

Kujionesha kwa Lissu ni kujitokeza hadharani kumkosoa kwa nguvu rais John Magufuli na sera zake, akiwa ni mtanzania pekee aliyejivika jukumu hilo, baada ya wengi wetu kunywea? Magufuli Rais mbabe, dikteta, anayenyamazisha kila sekta: amelifunga mdomo bunge, na anaweza kuwatishia wawakilisha wa wananchi kwamba NITAANZA NA SHANGAZI ZENU. wanaomjadili katika makundi ya WHATSAPP wanashughulikiwa, hapa kuna Tundu Lissu anayemshambulia hadharani mbabe huyu, huku ndiyo kujionesha kwake?

Kujionesha kwa Lissu ni kuueleza ulimwengu yale yaliyompata? madhila aliyotendewa na serikali yake?


Mpaka sasa malengo yake kwa kiwango kikubwa yamefanikiwa kutokana na ujinga wa viongozi wa juu wa serikali na CCM ambao wengi wao hawajui ukubwa na umuhimu wa vyeo vyao. Eti Katibu Mkuu wa chama tawala CCM anajibishana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu? This is beyond stupidity.
Hongera sana kwa kulitambua hilo, hapo nakubaliana na wewe kabisa. lakini kumbuka kwamba mpaka hawa jamaa wanajitoa kupambana na huyu shujaa wa taifa, ni dalili kwamba mzee mzima Magufuli anatoa kamasi ulimi nje


Lissu anatakiwa arumbane na wanachama wa kawaida wa CCM na sio viongozi wa juu wa chama. Majibu ya hoja za Lissu kuhusu shambulio lazima yajibiwe na taasisi rasmi za uchunguzi na sio kila kiongozi wa serikali.

Hawa viongozi wa CCM na serikali hawakujifunza makosa waliyoyafanya kwa Mange Kimambi baada ya kumkuza na kupata followers wengi kutokana na kujibishana naye. Makosa yaleyale wanayarudia kwa Tundu Lissu.

AaaAhhh Tundu Lissu siyo mwanachama wa kawaida, ni mbunge, ni Chief Whip wa Opposition, ni Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, ni Rais mstaafu wa TLS. Pengine kwa kumbeza hivyo ndio matokeo yake ni haya tunayoshuhudia.

Katika dhana ile ile ya Attention seeking behaviour, Ninajua pia Lissu atapenda sana akirudi nchini akamatwe akiwa uwanja wa ndege ili kutimiza Newton's third law of motion ambapo matokeo yake yatakuwa kumpa umaarufu wa bure lakini kikubwa zaidi hata waliokuwa hawaamini aliyokuwa anayasema nwataamini niya kweli. Ninawaomba sana serikali wasimkamate siku akiingia nchini bali wamuache tu. No force, no rection.
Kama ulikuwepo vile!!! Ila Tundu Lissu hapendi kukamatwa kamatwa, alishasema mwenyewe, LAKINI HAOGOPI KUKAMATWA. Hii ndiyo hasa, ukipenda, NGUVU YA LISSU. HANA WOGA WOWOTE DHIDI YA MABAVU YA SERIKALI HII YA KIDIKTETA NA KANDAMIZI.

Ninakumbuka mwaka 1995 wakati Augustino Mrema akiwa mpinzani maarufu nchini, kila alipobebwa waliombeba walipigwa mabomu na vitendo hivyo vilizidi kumfanya maarufu mpaka Mwalimu Nyerere alipotumia busara na kuwambia polisi, “Kwa kuwa wanaotaka kumbeba Mrema wapo, waacheni wambebe. Wambebe hata kama watakuwa wanapokezana kama machela (jeneza), waacheni.” Polisi walipotii agizo la Baba wa Taifa, la kuacha kuwapiga mabomu, Mrema naye kama shani hakubebwa tena. Mwl. Nyerere alitumia dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction.

Tuliona pia huko Kenya, baada ya wapinzani kuamua kumuapisha Raila Odinga kuongoza Kenya baada kutangaza kwamba hamtambui Uhuru Kenyatta kama kiongozi aliyechaguliwa kwa njia halali, polisi waliwaacha wafanye hivyo na matokeo yake kitendo hicho kikaonekana nicha kijinga.

Huko Venezuela tumeona kiongozi wa upinzani akifanya kama alivyofanya Raila Odinga lakini dhumuni lake lilikuwa ni kutaka polisi wawazuie ili mapigano yatokee ambayo yangekuwa ni sababu ya Marekani kuingia kimabavu katika nchi hiyo kwa kisingizio cha kuzuia mauwaji. Serikali ya Rais Madulo ikajua janja yao na ikamuacha Juan Guaidó ajiapishe bila kumuingilia kwa kutumia nguvu ya polisi/jeshi. No force, no reaction. Uamuzi wa polisi/jeshi kumuacha ajiapishe kumeua malengo ya Marekani ya kuingiza majeshi Venezuela.[/QUOTE]
Mbona unakwenda mbali huko? JK huyu hapa kwetu, tena akiwa Rais na mwenyekiti wa CCM, alikishauri chama chake, katika mkutano mkuu wa CCM, akasema hivi: CCM ACHENI KUWAJIBU WAPINZANI KWA KUTUMIA POLISI. JIBUNI MASHAMBULIZI YAO KISIASA". na haya aliyarudia kwa Rais Kagame, kwamba aongee na wapinzani wake. Hata baada ya kustaafu alitoa wito kwa viongozi wa Afrika kutochukulia wapinzani kwamba ni maadui. hili lilimkera sana Magufuli kama alivyokereka shosti wake Kagame. Lakini hiyo ndiyo HEKIMA. Kikwete alifaulu katika hili, licha ya madhaifu yake mengi tu ambayo wala hatuoni aibu kwamba tulimkosoa lakini sasa tuko fair tunampa sifa pale panapostahili. Pengine Magufuli naye panapo majaaliwa tutamsifu pale panapostahili, lakini NYUNDO LAZIMA APEWE TENA KAVU KAVU. Ni Majukumu ya kikatiba ya UPINZANI na wananchi wazalendo kama sisi.

CCM na Serikali lazima waelewe kuwa hoja sio Lissu anatumiwa na ''mabeberu'' bali hoja ni jinsi gani wataweza kuzuia njama za ''Mabeberu'' kwa sababu ''mabeberu'' kuwatumia watu sio jambo jimpya.

Kuna Mzee mmoja aliwahi kunipa ushauri kwa maneno haya, Ukimya hukuvisha nguo ya utulivu na hukukinga na haja ya kutoa visingizio lakini pia jawabu fasihi kabisa kwa mpumbavu ni kutomjibu.

Huu wimbo wa MABEBERU ni Nyerere ndio aliuanzisha, lakini alikuwa anakula nao sahani moja. alipatana nao kimkakati, na aliwatembelea sana tu. alijua anawahitaji na wao wanamhitaji. hiyo ni HEKIMA. Lakini sasa hivi hakuna hekima wala uhusiano wa kimkakati. ni upuuzi mtupu. Sera yetu ya nje ni HOVYO KABISA KUWAHI KUTOKEA.
 
Umeongea jambo moja tu lakini ukalirefusha sana nadhani una sababu binafsi ya kufanya hivyo na faida yake unaijua wewe, maana lengo lako serikali na ccm wakae kimya kwa vile wanaaibika kwa kumjibu Lissu. Lakini kuna kitu ulitakiwa kukieleza ingawaje umekimbilia taasisi ndiyo ijibu. Kitu hicho ni Je, serikali haina jukumu la kufanya uchunguzi wa shambulio la Lissu, na kama inalo imelitekeleza inavyotakiwa? Kama imetekeleza basi ina majibu na kama haijatekeleza lazima ikose majibu au itoe majibu viza. Lissu ni mwanasiasa mkubwa na mwenye mvuto kitaifa na sasa kimataifa, kukaa kimya bila kusema ukweli kuhusu shambulio lake kama kweli serikali haijahusika ni kuuaminisha Umma na Dunia maana "Silence means yes". Serikali ilikosea tangu siku shambulio linapangwa (kama kweli ni wao na dalili zote zinaonesha) na aliyelipanga ni miongoni mwa maafisa wajinga kuwahi kuwemo kwenye serikali. Kosa hili linailenga serikali kwa sababu inaonesha aina ya mashambulio ya kijinga yanayolandana. Tofauti iliyopo kati ya shambulio hili na la Dr. Ulimboka ni ndogo sana maana Lissu alifuatailiwa na watu aliowataja ni wa serikali, Dr Ulimboka aliitwa na mtu aliyemtaja kwa jina la Ramadhani Igondu na ikathibtika ni wa Serikali, kisha wote baada ya ufuatiliaji na tuhuma za wazi kwa serikali wakashambuliwa na kuumizwa vibaya na wote walikimbizwa nje ya nchi kwa ushauri na msaada wa taasisi zao (Chama cha Madaktari na CHADEMA). Katika matukio yote mawili kosa la kipropaganda la kijinga likafanyika kwani Baada ya matukio walitengenezwa watu wa siasa kieneza uongo ili kujificha kwenye kivuli cha " ni shambulio la uhasama" utadhani watanzania na Dunia nzima ni wapumbavu wote. Kwa Lissu likaongezeka kosa la kijinga la Serikali kutojitokeza hadharani angalau kujikosha kwa kukemea, lakini pia washauri wabovu wakashauri Lissu anyimwe fedha za matibabu (Mashauri huyu ni mjinga No.2 kwenye issue hii). Nikupe mfano, kitendo cha Mama Samia kwenda hoapitali Nairobi kiligeuza upepo wa shutuma japo kwa kitambo na kama kingekuwa na mwendelezo kingebadili kabisa upepo wa Shetani mbaya, lakini kwa vile hakuna mwenye akili kwa sasa serikalini na Chamani Bali nguvu ndo dira waliacha njia hii na wakaweka katazo la kumtembelea Lissu. Acha wavune matunda ya upumbavu wao maana ushauri wako kwa sasa hauwasaidii zaidi ya kuwafanya waonekane wahusika zaidi. Chochote wanachokifanya kwa sasa kinawadidimiza zaidi kwenye shimo la uhisika. Waliyakoroga ni wajibu wao kuyanywa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Michango kama hii ndo inayotakiwa. Sio brah brah za kindezi mara oooh oshoga, mara ooo msaliti vitu ambavyo haviwezi kuisaidia serikari kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana, serikali haipaswi kukaa kimya. Swala la Lissu linahitaji majibu. Tatizo inaonesha hawana majibu na kama vile hawakuwahi kutegemea kuulizwa.

Ninachosikitisha hadi sasa ni Kama hakuna anayejua aseme nini. Nilitegemea kwa nidhamu iliyopo kusingekuwa na kubabaika kwa level hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali na CCM wamekuwa reactive badala ya kuwa proactive ambapo matokeo yake wanafanya makosa mengi ya msingi hasa mahusiano ya umma. .
Kwanza hongera kwa kukaa chini na kutafakari kabla ya kuandika. umefikiri kwa kweli lazima nikubali, hongera kwa "kufikiri". lakini basi kwa kutoa mawazo yangu katika fikira zako, hii habari ya serikali kuwa "Proactive" , inatokana na hali halisi tuliyonayo katika awamu hii ya Magufuli. Kuna taasisi rasmi ambazo huwa zina majukumu ya kuandaa serikali iseme nini na ifanye nini kwa wakati gani. Lakini katika awamu hii taasisi hizi zimekuwa zikufunikwa kwa matakwa ya Rais mwenyewe, akiagiza zifanye hata kinyume na taratibu. Hili unaweza kuliona katika yale ambayo Serikali ilifanya au kuzuia yasifanywe wakati wa hatua za mwanzo kabisa za "Tukio" la Lissu.Kutokuwepo walinzi kama ilivyo kawaida, kuondolewa kamera za CCTV, polisi kuchukua muda mrefu kuwasili eneo la tukio, mzozo wote kuhusu gharama za matibabu, na serikali kubadili msimamo angani. mwanzo ilisema inataka familia ndiyo iwasiliane na serikali/bunge, na ikafanyika hivyo, lakini serikali ikabadili msimamo, probably kwa "amri kutoka juu", wakagomea matibabu. mazingira hayo yanaiweka serikali katika wakati mgumu hasa pale Tundu Lissu anapopata fursa ya kuyaeleza tena katika vyombo vya kimataifa. hiyo ndiyo asili ya kutapatapa inayojionesha


Serikali na viongozi wa juu wa CCM kukimbizana na Lissu kwenye vyombo vya habari ili kujibu hoja zake ni ujinga wa kiwango cha juu kwa sababu kufanya hivyo ni kujiweka wazi kwenye maswali ambayo hanaya majibu ya kisiasa bali kiuchunguzi. Kimantiki taasisi ya kiuchunguzi wa makosa ya jinai haiwezi kutoa majibu ya uchunguzi kama uchunguzi haujakamilika lakini pia hata yakitolewa huwa yanatolewa kitaalam na kwa uangalifu mkubwa sana bila kujali mwathirika/waathirika wanafikra zipi. .
Hoja hii ingekuwa na mantiki kama tukio la Lissu lingekuwa ni "ajali ya kawaida". inaonekana ama kulikuwa na mkakati maalum, au serikali ilifurahia "ajali" hiyo kwa ule msemo maarufu "adui yako muombee njaa". katika hatua za mwanzo kabisa serikali ilijichanganya na kufanya makosa mengi ambayo yanazidi kuiweka pabaya serikali. kwa mfano kwa hayo tu niliyosema hapo juu, serikali ilitakiwa mapema kabisa itoe ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusu kutokuwepo walinzi, ama wakanushe kwamba walinzi walikuwepo muda wote, au waeleze sababu za walinzi hao kutokuwepo. Pia ni nani alichukua kamera za CCTV? ni polisi ili kusaidia uchunguzi? yaani kama ilivyokuwa kwenye sakata la "MO", tulikuwa tunapewa taarifa mbalimbali, japo nazo zilikuwa na ukakasi, lakini angalau kwa suala lile akina Mambosasa tuliwaona na kuwasikia. Lakini siyo katika suala la Lissu. unapohoji "reaction" ya serikali, inabidi utambue pia kwamba inawezekana serikali ina damu mikononi mwake na ndio maana inaweweseka


Lissu akiwa anahojiwa na waandishi wa habari bila kuwepo maafisa wa serikali ni faida kwa serikali na CCM kuliko ofisa wa serikali na CCM kuwepo pia katika mahojiano hayo. Mahojiano yake katika kipindi cha HARDtalk bila uwepo wa ofisa wa serikali yaliinufaisha zaidi serikali kuliko muhojiwa. Hata pale alipotoa shutuma, mtangazaji alimwambia aache kutoa shutuma ambazo anaowatuhumu hawapo ili wazijibu. .
Hayo ni matumaini ya mjinga. HardTalk iliimiza sana serikali, sema tu ile style yao ya kuuliza maswali ndiyo inawapa matumaini feki watu wa CCM. mlishaambiwa kwamba kama angeenda pale mtu wa CCM, ingeonekana kama vile Sackur ni KADA WA CHADEMA, kwa jinsi ambavyo Sackur angekuwa anamshambulia kwa kutumia madai ya upinzani.

Lakini watazamaji kwenye ile kipindi walianza na ile opening line kwamba hapa tunaongea na "a living miracle", mtu aliyepigwa risasi 38, 16 zikaingia mwilni (sackur alisema 20, Lissu akamsahihisha kwa unyenyekevu kabisa), hayo ndiyo watazamaji ambao siyo watanzania au wasiojua vizuri hiyo ishu, wanayoanza nayo na kuyaweka kichwani. mengine wanayajua kama ulivyosema, kwamba hizi serikali za kiafrika ni za kikandamizaji.


Hii ina maana kuwa serikali inapoteza muda kujitetea kwenye suala la Tundu Lissu na demokrasia kwa sababu watawala wa Ulaya na Marekani wanajua kama ni kweli au uwongo.

Serikali lazima waelewe kuwa anachokitaka Tundu Lissu ni reaction ambayo ni reactive kutoka serikalini ili aendeleze marumbano na mijadala kwenye vyombo vya habari ya ndani na nje..
Ni kweli watawala wa ulaya na Marekani wanajua mengi, lakini hayapo kwenye PUBLIC DOMAIN. Ni kazi ya mtanzania kuueleza ulimwengu yanayoendelea Tanzania. Hapo kuna uzito mkubwa sana. wanayoyajua watawala ni kwa ajili ya shughuli zao wenyewe, lakini kama ni pressure ya kutoka walipa kodi wa ulaya na marekani inabidi itokane na kauli kama hizi za Tundu Lissu. Kwa hiyo kauli hizo ni muhimu sana.


Ninakumbuka kwa mara yangu ya kwanza kusafiri katika nchi za Ulaya nilipewa ushauri kuwa ukimuona mtu anakuchokoza au kukuchochea unachotakiwa ni kutoonyesha hisia au kujibu. Kutoonyesha hisia au kujibu kutamfanya akose sababu ya kuendelea kukuchochea au kukuchokoza lakini kikubwa zaidi ataona anachofanya ni ujinga na kuachana na uchochezi au uchokozi.
Usifanye mambo kwa kukariri au kukaririshwa. Kila jambo linahitaji uamuzi sahihi na mbinu sahihi kwa wakati huo. Katika tuhuma ambazo ni SERIOUS, ukikaa kimya watu watachukulia kwamba umekosa cha kujitetea, na utakuwa umempa uwanja huyo anayekutuhumu kuendelea kuwajaza watu maneno ya kuunda mwelekeo. hata mahakamani usipokwenda au usipojitetea, maamuzi yanaweza kufanywa bila ya wewe kuwepo. Lakini katika hili la Lissu, serikali inababaika kwa sababu tayari ilishalikoroga tokea mwanzo. iko kwenye dilemma. chochote itakachofanya kina madhara. kukaa kimya ni madhara. kujibu ni madhara pia. na mbaya zaidi tumeshuhudia aina ya majibu ambayo kwa kweli yanazidi kumpaisha Lissu. vitisho vya kuvuliwa ubunge, kunyang'anywa mshahara, na kabla ya hapo kunyimwa matibabu, vyote hivyo vinarudi tena kumpaisha Lissu.


Serikali ikikaa kimya hata wale wanaomuhoji Lissu watachoka kwa sababu kutakuwa hakuna reaction kutoka serikalini. Kukosa reaction kutoka serikalini ina maana hata mahojiano yanakuwa hayahitajiki (redundant). Serikali lazima waelewe dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction lakini kikubwa zaidi uendeshaji wa serikali ni sawa na mbio za masafa marefu(marathon). Kuna wapiga kelele wataibuka na baadaye watapotea.
Kumhoji Lissu ni hatua ya kwanza, serikali ijibu au isijibu. Lakini kama serikali inajibu kwa hoja nzito, na kuna ushahidi mzito, inawezekana kumnyamazisha Lissu. Lakini kama mambo ndio kama hivi yalivyo, serikali ijibu au isipojibu, hatua zinazofuata zitaendelea. Darubini zitaelekezwa Tanzania. Bahati nzuri kuna bado vituko vingi tu vya serikali ya Magufuli, na Lissu hata akirudi, ataendelea na utaratibu wake wa kuikosoa vikali serikali hii kwa vituko vyake vipya ambavyo LAZIMA VIJE. Umeshasema kwamba wanaweza kumkamata Lissu uwanja wa ndege. hapo wajue tu kwamba wataendelea kuongeza CV ya Lissu na kuharakaisha taratibu za Lissu KUPEWA NISHANI YA NOBEL, hapo tutakuwa tumeingia katika A NEW THRESHOLD. Ndio maana nakuambia kukaa kimya siyo dawa na hizo ndoto zako kwamba "wanaomhoji lissu watachoka", ni kweli ndoto za mchana.


Watu wenye fikra pana wanaomfahamu Lissu hawashangai na kile anachokisema bali wanachoshangaa ni jinsi ambavyo viongozi wa juu wa CCM na serikali wanavyojibishana naye kwenye vyombo vya habari.

Kwa mtu mwenye fikra pana na anamfahamu vizuri Lissu atajua hupenda sana kujionyesha mbele ya watu/hadhara (limelight) lakini pia hufurahia sana (relish) kama kuna reaction bila kujali kama ni nzuri au mbaya. Waingereza huita Attention seeking behaviour. Lissu anachokitafuta kwa CCM na serikali ni kukimbizana au kujibishana naye kwenye media akiwa ndiye focal point.
Hao unaosema wenye fikra pana ni akina nani? Ni Benjamin William Mkapa, ambaye alipoanza sera zake mbovu kuhusu Madini na mikataba mibovu, akina Tundu Lissu, wakati huo akiwa Mwanasheria mahiri wa Mazingira, walipomtahadharisha, akawajibu kwamba "NI WAVIVU WA KUFIKIRI"?

Kujionesha kwa Lissu ni kule kutetea ndugu za watu waliofukiwa kwenye migodi ya Bulyanhulu, wakati MAKAMPUNI YA MADINI YA KIBEBERU YAKISHIRIKIANA NA SERIKALI YA CCM yalikuwa yanafunika ukweli huu?
Kujionesha kwa Lissu ni kule kuwatetea wachimbaji wadogo na wananchi kwa ujumla waliobambikizwa kesi kwa kupinga njama za MAKAMPUNI HAYO YA KIBEBERU???? kiasi cha Mh. Bashe kumpongeza bungeni kwa kutetea wapiga kura wake, bure bila kuwatoza fedha?

Kujionesha kwa Lissu ni kujitokeza hadharani kumkosoa kwa nguvu rais John Magufuli na sera zake, akiwa ni mtanzania pekee aliyejivika jukumu hilo, baada ya wengi wetu kunywea? Magufuli Rais mbabe, dikteta, anayenyamazisha kila sekta: amelifunga mdomo bunge, na anaweza kuwatishia wawakilisha wa wananchi kwamba NITAANZA NA SHANGAZI ZENU. wanaomjadili katika makundi ya WHATSAPP wanashughulikiwa, hapa kuna Tundu Lissu anayemshambulia hadharani mbabe huyu, huku ndiyo kujionesha kwake?

Kujionesha kwa Lissu ni kuueleza ulimwengu yale yaliyompata? madhila aliyotendewa na serikali yake?


Mpaka sasa malengo yake kwa kiwango kikubwa yamefanikiwa kutokana na ujinga wa viongozi wa juu wa serikali na CCM ambao wengi wao hawajui ukubwa na umuhimu wa vyeo vyao. Eti Katibu Mkuu wa chama tawala CCM anajibishana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu? This is beyond stupidity.
Hongera sana kwa kulitambua hilo, hapo nakubaliana na wewe kabisa. lakini kumbuka kwamba mpaka hawa jamaa wanajitoa kupambana na huyu shujaa wa taifa, ni dalili kwamba mzee mzima Magufuli anatoa kamasi ulimi nje


Lissu anatakiwa arumbane na wanachama wa kawaida wa CCM na sio viongozi wa juu wa chama. Majibu ya hoja za Lissu kuhusu shambulio lazima yajibiwe na taasisi rasmi za uchunguzi na sio kila kiongozi wa serikali.

Hawa viongozi wa CCM na serikali hawakujifunza makosa waliyoyafanya kwa Mange Kimambi baada ya kumkuza na kupata followers wengi kutokana na kujibishana naye. Makosa yaleyale wanayarudia kwa Tundu Lissu.

AaaAhhh Tundu Lissu siyo mwanachama wa kawaida, ni mbunge, ni Chief Whip wa Opposition, ni Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, ni Rais mstaafu wa TLS. Pengine kwa kumbeza hivyo ndio matokeo yake ni haya tunayoshuhudia.

Katika dhana ile ile ya Attention seeking behaviour, Ninajua pia Lissu atapenda sana akirudi nchini akamatwe akiwa uwanja wa ndege ili kutimiza Newton's third law of motion ambapo matokeo yake yatakuwa kumpa umaarufu wa bure lakini kikubwa zaidi hata waliokuwa hawaamini aliyokuwa anayasema nwataamini niya kweli. Ninawaomba sana serikali wasimkamate siku akiingia nchini bali wamuache tu. No force, no rection.
Kama ulikuwepo vile!!! Ila Tundu Lissu hapendi kukamatwa kamatwa, alishasema mwenyewe, LAKINI HAOGOPI KUKAMATWA. Hii ndiyo hasa, ukipenda, NGUVU YA LISSU. HANA WOGA WOWOTE DHIDI YA MABAVU YA SERIKALI HII YA KIDIKTETA NA KANDAMIZI.

Ninakumbuka mwaka 1995 wakati Augustino Mrema akiwa mpinzani maarufu nchini, kila alipobebwa waliombeba walipigwa mabomu na vitendo hivyo vilizidi kumfanya maarufu mpaka Mwalimu Nyerere alipotumia busara na kuwambia polisi, “Kwa kuwa wanaotaka kumbeba Mrema wapo, waacheni wambebe. Wambebe hata kama watakuwa wanapokezana kama machela (jeneza), waacheni.” Polisi walipotii agizo la Baba wa Taifa, la kuacha kuwapiga mabomu, Mrema naye kama shani hakubebwa tena. Mwl. Nyerere alitumia dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction.

Tuliona pia huko Kenya, baada ya wapinzani kuamua kumuapisha Raila Odinga kuongoza Kenya baada kutangaza kwamba hamtambui Uhuru Kenyatta kama kiongozi aliyechaguliwa kwa njia halali, polisi waliwaacha wafanye hivyo na matokeo yake kitendo hicho kikaonekana nicha kijinga.

Huko Venezuela tumeona kiongozi wa upinzani akifanya kama alivyofanya Raila Odinga lakini dhumuni lake lilikuwa ni kutaka polisi wawazuie ili mapigano yatokee ambayo yangekuwa ni sababu ya Marekani kuingia kimabavu katika nchi hiyo kwa kisingizio cha kuzuia mauwaji. Serikali ya Rais Madulo ikajua janja yao na ikamuacha Juan Guaidó ajiapishe bila kumuingilia kwa kutumia nguvu ya polisi/jeshi. No force, no reaction. Uamuzi wa polisi/jeshi kumuacha ajiapishe kumeua malengo ya Marekani ya kuingiza majeshi Venezuela.[/QUOTE]
Mbona unakwenda mbali huko? JK huyu hapa kwetu, tena akiwa Rais na mwenyekiti wa CCM, alikishauri chama chake, katika mkutano mkuu wa CCM, akasema hivi: CCM ACHENI KUWAJIBU WAPINZANI KWA KUTUMIA POLISI. JIBUNI MASHAMBULIZI YAO KISIASA". na haya aliyarudia kwa Rais Kagame, kwamba aongee na wapinzani wake. Hata baada ya kustaafu alitoa wito kwa viongozi wa Afrika kutochukulia wapinzani kwamba ni maadui. hili lilimkera sana Magufuli kama alivyokereka shosti wake Kagame. Lakini hiyo ndiyo HEKIMA. Kikwete alifaulu katika hili, licha ya madhaifu yake mengi tu ambayo wala hatuoni aibu kwamba tulimkosoa lakini sasa tuko fair tunampa sifa pale panapostahili. Pengine Magufuli naye panapo majaaliwa tutamsifu pale panapostahili, lakini NYUNDO LAZIMA APEWE TENA KAVU KAVU. Ni Majukumu ya kikatiba ya UPINZANI na wananchi wazalendo kama sisi.

CCM na Serikali lazima waelewe kuwa hoja sio Lissu anatumiwa na ''mabeberu'' bali hoja ni jinsi gani wataweza kuzuia njama za ''Mabeberu'' kwa sababu ''mabeberu'' kuwatumia watu sio jambo jimpya.

Kuna Mzee mmoja aliwahi kunipa ushauri kwa maneno haya, Ukimya hukuvisha nguo ya utulivu na hukukinga na haja ya kutoa visingizio lakini pia jawabu fasihi kabisa kwa mpumbavu ni kutomjibu.

Huu wimbo wa MABEBERU ni Nyerere ndio aliuanzisha, lakini alikuwa anakula nao sahani moja. alipatana nao kimkakati, na aliwatembelea sana tu. alijua anawahitaji na wao wanamhitaji. hiyo ni HEKIMA. Lakini sasa hivi hakuna hekima wala uhusiano wa kimkakati. ni upuuzi mtupu. Sera yetu ya nje ni HOVYO KABISA KUWAHI KUTOKEA.
 
Umesahau kuongeza kuwa kwa ushauri wa mtu kama Msukuma ambaye hana kisomo Speaker anasimamisha mshahara wa mgonjwa.
Playing into Lissu's hands kwamba kweli serikali inahusika kwani kama haihusiki kwa nini isimamishe stahiki ya mgonjwa!!!
 
Serikali na CCM wamekuwa reactive badala ya kuwa proactive ambapo matokeo yake wanafanya makosa mengi ya msingi hasa mahusiano ya umma. .
Kwanza hongera kwa kukaa chini na kutafakari kabla ya kuandika. umefikiri kwa kweli lazima nikubali, hongera kwa "kufikiri". lakini basi kwa kutoa mawazo yangu katika fikira zako, hii habari ya serikali kuwa "Proactive" , inatokana na hali halisi tuliyonayo katika awamu hii ya Magufuli. Kuna taasisi rasmi ambazo huwa zina majukumu ya kuandaa serikali iseme nini na ifanye nini kwa wakati gani. Lakini katika awamu hii taasisi hizi zimekuwa zikufunikwa kwa matakwa ya Rais mwenyewe, akiagiza zifanye hata kinyume na taratibu. Hili unaweza kuliona katika yale ambayo Serikali ilifanya au kuzuia yasifanywe wakati wa hatua za mwanzo kabisa za "Tukio" la Lissu.Kutokuwepo walinzi kama ilivyo kawaida, kuondolewa kamera za CCTV, polisi kuchukua muda mrefu kuwasili eneo la tukio, mzozo wote kuhusu gharama za matibabu, na serikali kubadili msimamo angani. mwanzo ilisema inataka familia ndiyo iwasiliane na serikali/bunge, na ikafanyika hivyo, lakini serikali ikabadili msimamo, probably kwa "amri kutoka juu", wakagomea matibabu. mazingira hayo yanaiweka serikali katika wakati mgumu hasa pale Tundu Lissu anapopata fursa ya kuyaeleza tena katika vyombo vya kimataifa. hiyo ndiyo asili ya kutapatapa inayojionesha


Serikali na viongozi wa juu wa CCM kukimbizana na Lissu kwenye vyombo vya habari ili kujibu hoja zake ni ujinga wa kiwango cha juu kwa sababu kufanya hivyo ni kujiweka wazi kwenye maswali ambayo hanaya majibu ya kisiasa bali kiuchunguzi. Kimantiki taasisi ya kiuchunguzi wa makosa ya jinai haiwezi kutoa majibu ya uchunguzi kama uchunguzi haujakamilika lakini pia hata yakitolewa huwa yanatolewa kitaalam na kwa uangalifu mkubwa sana bila kujali mwathirika/waathirika wanafikra zipi. .
Hoja hii ingekuwa na mantiki kama tukio la Lissu lingekuwa ni "ajali ya kawaida". inaonekana ama kulikuwa na mkakati maalum, au serikali ilifurahia "ajali" hiyo kwa ule msemo maarufu "adui yako muombee njaa". katika hatua za mwanzo kabisa serikali ilijichanganya na kufanya makosa mengi ambayo yanazidi kuiweka pabaya serikali. kwa mfano kwa hayo tu niliyosema hapo juu, serikali ilitakiwa mapema kabisa itoe ufafanuzi wa kina juu ya kilichotokea kuhusu kutokuwepo walinzi, ama wakanushe kwamba walinzi walikuwepo muda wote, au waeleze sababu za walinzi hao kutokuwepo. Pia ni nani alichukua kamera za CCTV? ni polisi ili kusaidia uchunguzi? yaani kama ilivyokuwa kwenye sakata la "MO", tulikuwa tunapewa taarifa mbalimbali, japo nazo zilikuwa na ukakasi, lakini angalau kwa suala lile akina Mambosasa tuliwaona na kuwasikia. Lakini siyo katika suala la Lissu. unapohoji "reaction" ya serikali, inabidi utambue pia kwamba inawezekana serikali ina damu mikononi mwake na ndio maana inaweweseka


Lissu akiwa anahojiwa na waandishi wa habari bila kuwepo maafisa wa serikali ni faida kwa serikali na CCM kuliko ofisa wa serikali na CCM kuwepo pia katika mahojiano hayo. Mahojiano yake katika kipindi cha HARDtalk bila uwepo wa ofisa wa serikali yaliinufaisha zaidi serikali kuliko muhojiwa. Hata pale alipotoa shutuma, mtangazaji alimwambia aache kutoa shutuma ambazo anaowatuhumu hawapo ili wazijibu. .
Hayo ni matumaini ya mjinga. HardTalk iliimiza sana serikali, sema tu ile style yao ya kuuliza maswali ndiyo inawapa matumaini feki watu wa CCM. mlishaambiwa kwamba kama angeenda pale mtu wa CCM, ingeonekana kama vile Sackur ni KADA WA CHADEMA, kwa jinsi ambavyo Sackur angekuwa anamshambulia kwa kutumia madai ya upinzani.

Lakini watazamaji kwenye ile kipindi walianza na ile opening line kwamba hapa tunaongea na "a living miracle", mtu aliyepigwa risasi 38, 16 zikaingia mwilni (sackur alisema 20, Lissu akamsahihisha kwa unyenyekevu kabisa), hayo ndiyo watazamaji ambao siyo watanzania au wasiojua vizuri hiyo ishu, wanayoanza nayo na kuyaweka kichwani. mengine wanayajua kama ulivyosema, kwamba hizi serikali za kiafrika ni za kikandamizaji.


Hii ina maana kuwa serikali inapoteza muda kujitetea kwenye suala la Tundu Lissu na demokrasia kwa sababu watawala wa Ulaya na Marekani wanajua kama ni kweli au uwongo.

Serikali lazima waelewe kuwa anachokitaka Tundu Lissu ni reaction ambayo ni reactive kutoka serikalini ili aendeleze marumbano na mijadala kwenye vyombo vya habari ya ndani na nje..
Ni kweli watawala wa ulaya na Marekani wanajua mengi, lakini hayapo kwenye PUBLIC DOMAIN. Ni kazi ya mtanzania kuueleza ulimwengu yanayoendelea Tanzania. Hapo kuna uzito mkubwa sana. wanayoyajua watawala ni kwa ajili ya shughuli zao wenyewe, lakini kama ni pressure ya kutoka walipa kodi wa ulaya na marekani inabidi itokane na kauli kama hizi za Tundu Lissu. Kwa hiyo kauli hizo ni muhimu sana.


Ninakumbuka kwa mara yangu ya kwanza kusafiri katika nchi za Ulaya nilipewa ushauri kuwa ukimuona mtu anakuchokoza au kukuchochea unachotakiwa ni kutoonyesha hisia au kujibu. Kutoonyesha hisia au kujibu kutamfanya akose sababu ya kuendelea kukuchochea au kukuchokoza lakini kikubwa zaidi ataona anachofanya ni ujinga na kuachana na uchochezi au uchokozi.
Usifanye mambo kwa kukariri au kukaririshwa. Kila jambo linahitaji uamuzi sahihi na mbinu sahihi kwa wakati huo. Katika tuhuma ambazo ni SERIOUS, ukikaa kimya watu watachukulia kwamba umekosa cha kujitetea, na utakuwa umempa uwanja huyo anayekutuhumu kuendelea kuwajaza watu maneno ya kuunda mwelekeo. hata mahakamani usipokwenda au usipojitetea, maamuzi yanaweza kufanywa bila ya wewe kuwepo. Lakini katika hili la Lissu, serikali inababaika kwa sababu tayari ilishalikoroga tokea mwanzo. iko kwenye dilemma. chochote itakachofanya kina madhara. kukaa kimya ni madhara. kujibu ni madhara pia. na mbaya zaidi tumeshuhudia aina ya majibu ambayo kwa kweli yanazidi kumpaisha Lissu. vitisho vya kuvuliwa ubunge, kunyang'anywa mshahara, na kabla ya hapo kunyimwa matibabu, vyote hivyo vinarudi tena kumpaisha Lissu.


Serikali ikikaa kimya hata wale wanaomuhoji Lissu watachoka kwa sababu kutakuwa hakuna reaction kutoka serikalini. Kukosa reaction kutoka serikalini ina maana hata mahojiano yanakuwa hayahitajiki (redundant). Serikali lazima waelewe dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction lakini kikubwa zaidi uendeshaji wa serikali ni sawa na mbio za masafa marefu(marathon). Kuna wapiga kelele wataibuka na baadaye watapotea.
Kumhoji Lissu ni hatua ya kwanza, serikali ijibu au isijibu. Lakini kama serikali inajibu kwa hoja nzito, na kuna ushahidi mzito, inawezekana kumnyamazisha Lissu. Lakini kama mambo ndio kama hivi yalivyo, serikali ijibu au isipojibu, hatua zinazofuata zitaendelea. Darubini zitaelekezwa Tanzania. Bahati nzuri kuna bado vituko vingi tu vya serikali ya Magufuli, na Lissu hata akirudi, ataendelea na utaratibu wake wa kuikosoa vikali serikali hii kwa vituko vyake vipya ambavyo LAZIMA VIJE. Umeshasema kwamba wanaweza kumkamata Lissu uwanja wa ndege. hapo wajue tu kwamba wataendelea kuongeza CV ya Lissu na kuharakaisha taratibu za Lissu KUPEWA NISHANI YA NOBEL, hapo tutakuwa tumeingia katika A NEW THRESHOLD. Ndio maana nakuambia kukaa kimya siyo dawa na hizo ndoto zako kwamba "wanaomhoji lissu watachoka", ni kweli ndoto za mchana.


Watu wenye fikra pana wanaomfahamu Lissu hawashangai na kile anachokisema bali wanachoshangaa ni jinsi ambavyo viongozi wa juu wa CCM na serikali wanavyojibishana naye kwenye vyombo vya habari.

Kwa mtu mwenye fikra pana na anamfahamu vizuri Lissu atajua hupenda sana kujionyesha mbele ya watu/hadhara (limelight) lakini pia hufurahia sana (relish) kama kuna reaction bila kujali kama ni nzuri au mbaya. Waingereza huita Attention seeking behaviour. Lissu anachokitafuta kwa CCM na serikali ni kukimbizana au kujibishana naye kwenye media akiwa ndiye focal point.
Hao unaosema wenye fikra pana ni akina nani? Ni Benjamin William Mkapa, ambaye alipoanza sera zake mbovu kuhusu Madini na mikataba mibovu, akina Tundu Lissu, wakati huo akiwa Mwanasheria mahiri wa Mazingira, walipomtahadharisha, akawajibu kwamba "NI WAVIVU WA KUFIKIRI"?

Kujionesha kwa Lissu ni kule kutetea ndugu za watu waliofukiwa kwenye migodi ya Bulyanhulu, wakati MAKAMPUNI YA MADINI YA KIBEBERU YAKISHIRIKIANA NA SERIKALI YA CCM yalikuwa yanafunika ukweli huu?
Kujionesha kwa Lissu ni kule kuwatetea wachimbaji wadogo na wananchi kwa ujumla waliobambikizwa kesi kwa kupinga njama za MAKAMPUNI HAYO YA KIBEBERU???? kiasi cha Mh. Bashe kumpongeza bungeni kwa kutetea wapiga kura wake, bure bila kuwatoza fedha?

Kujionesha kwa Lissu ni kujitokeza hadharani kumkosoa kwa nguvu rais John Magufuli na sera zake, akiwa ni mtanzania pekee aliyejivika jukumu hilo, baada ya wengi wetu kunywea? Magufuli Rais mbabe, dikteta, anayenyamazisha kila sekta: amelifunga mdomo bunge, na anaweza kuwatishia wawakilisha wa wananchi kwamba NITAANZA NA SHANGAZI ZENU. wanaomjadili katika makundi ya WHATSAPP wanashughulikiwa, hapa kuna Tundu Lissu anayemshambulia hadharani mbabe huyu, huku ndiyo kujionesha kwake?

Kujionesha kwa Lissu ni kuueleza ulimwengu yale yaliyompata? madhila aliyotendewa na serikali yake?


Mpaka sasa malengo yake kwa kiwango kikubwa yamefanikiwa kutokana na ujinga wa viongozi wa juu wa serikali na CCM ambao wengi wao hawajui ukubwa na umuhimu wa vyeo vyao. Eti Katibu Mkuu wa chama tawala CCM anajibishana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu? This is beyond stupidity.
Hongera sana kwa kulitambua hilo, hapo nakubaliana na wewe kabisa. lakini kumbuka kwamba mpaka hawa jamaa wanajitoa kupambana na huyu shujaa wa taifa, ni dalili kwamba mzee mzima Magufuli anatoa kamasi ulimi nje


Lissu anatakiwa arumbane na wanachama wa kawaida wa CCM na sio viongozi wa juu wa chama. Majibu ya hoja za Lissu kuhusu shambulio lazima yajibiwe na taasisi rasmi za uchunguzi na sio kila kiongozi wa serikali.

Hawa viongozi wa CCM na serikali hawakujifunza makosa waliyoyafanya kwa Mange Kimambi baada ya kumkuza na kupata followers wengi kutokana na kujibishana naye. Makosa yaleyale wanayarudia kwa Tundu Lissu.

AaaAhhh Tundu Lissu siyo mwanachama wa kawaida, ni mbunge, ni Chief Whip wa Opposition, ni Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, ni Rais mstaafu wa TLS. Pengine kwa kumbeza hivyo ndio matokeo yake ni haya tunayoshuhudia.

Katika dhana ile ile ya Attention seeking behaviour, Ninajua pia Lissu atapenda sana akirudi nchini akamatwe akiwa uwanja wa ndege ili kutimiza Newton's third law of motion ambapo matokeo yake yatakuwa kumpa umaarufu wa bure lakini kikubwa zaidi hata waliokuwa hawaamini aliyokuwa anayasema nwataamini niya kweli. Ninawaomba sana serikali wasimkamate siku akiingia nchini bali wamuache tu. No force, no rection.
Kama ulikuwepo vile!!! Ila Tundu Lissu hapendi kukamatwa kamatwa, alishasema mwenyewe, LAKINI HAOGOPI KUKAMATWA. Hii ndiyo hasa, ukipenda, NGUVU YA LISSU. HANA WOGA WOWOTE DHIDI YA MABAVU YA SERIKALI HII YA KIDIKTETA NA KANDAMIZI.

Ninakumbuka mwaka 1995 wakati Augustino Mrema akiwa mpinzani maarufu nchini, kila alipobebwa waliombeba walipigwa mabomu na vitendo hivyo vilizidi kumfanya maarufu mpaka Mwalimu Nyerere alipotumia busara na kuwambia polisi, “Kwa kuwa wanaotaka kumbeba Mrema wapo, waacheni wambebe. Wambebe hata kama watakuwa wanapokezana kama machela (jeneza), waacheni.” Polisi walipotii agizo la Baba wa Taifa, la kuacha kuwapiga mabomu, Mrema naye kama shani hakubebwa tena. Mwl. Nyerere alitumia dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction.

Tuliona pia huko Kenya, baada ya wapinzani kuamua kumuapisha Raila Odinga kuongoza Kenya baada kutangaza kwamba hamtambui Uhuru Kenyatta kama kiongozi aliyechaguliwa kwa njia halali, polisi waliwaacha wafanye hivyo na matokeo yake kitendo hicho kikaonekana nicha kijinga.

Huko Venezuela tumeona kiongozi wa upinzani akifanya kama alivyofanya Raila Odinga lakini dhumuni lake lilikuwa ni kutaka polisi wawazuie ili mapigano yatokee ambayo yangekuwa ni sababu ya Marekani kuingia kimabavu katika nchi hiyo kwa kisingizio cha kuzuia mauwaji. Serikali ya Rais Madulo ikajua janja yao na ikamuacha Juan Guaidó ajiapishe bila kumuingilia kwa kutumia nguvu ya polisi/jeshi. No force, no reaction. Uamuzi wa polisi/jeshi kumuacha ajiapishe kumeua malengo ya Marekani ya kuingiza majeshi Venezuela.
Mbona unakwenda mbali huko? JK huyu hapa kwetu, tena akiwa Rais na mwenyekiti wa CCM, alikishauri chama chake, katika mkutano mkuu wa CCM, akasema hivi: CCM ACHENI KUWAJIBU WAPINZANI KWA KUTUMIA POLISI. JIBUNI MASHAMBULIZI YAO KISIASA". na haya aliyarudia kwa Rais Kagame, kwamba aongee na wapinzani wake. Hata baada ya kustaafu alitoa wito kwa viongozi wa Afrika kutochukulia wapinzani kwamba ni maadui. hili lilimkera sana Magufuli kama alivyokereka shosti wake Kagame. Lakini hiyo ndiyo HEKIMA. Kikwete alifaulu katika hili, licha ya madhaifu yake mengi tu ambayo wala hatuoni aibu kwamba tulimkosoa lakini sasa tuko fair tunampa sifa pale panapostahili. Pengine Magufuli naye panapo majaaliwa tutamsifu pale panapostahili, lakini NYUNDO LAZIMA APEWE TENA KAVU KAVU. Ni Majukumu ya kikatiba ya UPINZANI na wananchi wazalendo kama sisi.

CCM na Serikali lazima waelewe kuwa hoja sio Lissu anatumiwa na ''mabeberu'' bali hoja ni jinsi gani wataweza kuzuia njama za ''Mabeberu'' kwa sababu ''mabeberu'' kuwatumia watu sio jambo jimpya.

Kuna Mzee mmoja aliwahi kunipa ushauri kwa maneno haya, Ukimya hukuvisha nguo ya utulivu na hukukinga na haja ya kutoa visingizio lakini pia jawabu fasihi kabisa kwa mpumbavu ni kutomjibu.

Huu wimbo wa MABEBERU ni Nyerere ndio aliuanzisha, lakini alikuwa anakula nao sahani moja. alipatana nao kimkakati, na aliwatembelea sana tu. alijua anawahitaji na wao wanamhitaji. hiyo ni HEKIMA. Lakini sasa hivi hakuna hekima wala uhusiano wa kimkakati. ni upuuzi mtupu. Sera yetu ya nje ni HOVYO KABISA KUWAHI KUTOKEA.
 
Nimekuwa kimya na mtazamaji kuhusiana na suala hili la Tundu Lissu lakini baada ya kuangalia kwa muda nimegundua madhaifu mengi sana kwa upande wa serikali katika kukabiliana na yanayojiri kwenye suala hili.

Serikali na CCM wamekuwa reactive badala ya kuwa proactive ambapo matokeo yake wanafanya makosa mengi ya msingi hasa mahusiano ya umma.

Serikali na viongozi wa juu wa CCM kukimbizana na Lissu kwenye vyombo vya habari ili kujibu hoja zake ni ujinga wa kiwango cha juu kwa sababu kufanya hivyo ni kujiweka wazi kwenye maswali ambayo hanaya majibu ya kisiasa bali kiuchunguzi. Kimantiki taasisi ya kiuchunguzi wa makosa ya jinai haiwezi kutoa majibu ya uchunguzi kama uchunguzi haujakamilika lakini pia hata yakitolewa huwa yanatolewa kitaalam na kwa uangalifu mkubwa sana bila kujali mwathirika/waathirika wanafikra zipi.

Lissu akiwa anahojiwa na waandishi wa habari bila kuwepo maafisa wa serikali ni faida kwa serikali na CCM kuliko ofisa wa serikali na CCM kuwepo pia katika mahojiano hayo. Mahojiano yake katika kipindi cha HARDtalk bila uwepo wa ofisa wa serikali yaliinufaisha zaidi serikali kuliko muhojiwa. Hata pale alipotoa shutuma, mtangazaji alimwambia aache kutoa shutuma ambazo anaowatuhumu hawapo ili wazijibu.

Ni ujinga kwa serikali kudhani kuwa kinachofanyika hapa Tanzania hakijulikani katika makorido ya watawala wa Ulaya na Marekani na kwa maana hiyo wanakwenda kujibu tuhuma za upotoshaji. In fact, watawala wa Ulaya na Marekani wanajua hata yale yanayosemwa ndani ya Ikulu ya Magogoni nchini achilia mbali anayoyasema Lissu. Kwa maana hii, kama Lissu anayosema ni kweli au uwongo watakuwa wanajua.

Kwa mfano, juzi Gazeti la The New York Times la Marekani ambalo lina mahusiano ya karibu sana na majasusi wa Marekani lilipewa audio yenye maongezi ya mwana mfalme, Mohammed bin Salman akiwaambia watu wake wa karibu kuwa atatumia risasi kama Jamal Khashoggi hatarudi Saudi Arabia na kuachana na ukosoaji wa serikali. Hii inaonyesha kuwa kila anachokisema na kukifanya ndani ya nyumba yake kinajulikana kwa majasusi wa nchi ya Marekani.

Hii ina maana kuwa serikali inapoteza muda kujitetea kwenye suala la Tundu Lissu na demokrasia kwa sababu watawala wa Ulaya na Marekani wanajua kama ni kweli au uwongo.

Serikali lazima waelewe kuwa anachokitaka Tundu Lissu ni reaction ambayo ni reactive kutoka serikalini ili aendeleze marumbano na mijadala kwenye vyombo vya habari ya ndani na nje.

Ninakumbuka kwa mara yangu ya kwanza kusafiri katika nchi za Ulaya nilipewa ushauri kuwa ukimuona mtu anakuchokoza au kukuchochea unachotakiwa ni kutoonyesha hisia au kujibu. Kutoonyesha hisia au kujibu kutamfanya akose sababu ya kuendelea kukuchochea au kukuchokoza lakini kikubwa zaidi ataona anachofanya ni ujinga na kuachana na uchochezi au uchokozi.

Serikali ikikaa kimya hata wale wanaomuhoji Lissu watachoka kwa sababu kutakuwa hakuna reaction kutoka serikalini. Kukosa reaction kutoka serikalini ina maana hata mahojiano yanakuwa hayahitajiki (redundant). Serikali lazima waelewe dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction lakini kikubwa zaidi uendeshaji wa serikali ni sawa na mbio za masafa marefu(marathon). Kuna wapiga kelele wataibuka na baadaye watapotea.

Watu wenye fikra pana wanaomfahamu Lissu hawashangai na kile anachokisema bali wanachoshangaa ni jinsi ambavyo viongozi wa juu wa CCM na serikali wanavyojibishana naye kwenye vyombo vya habari.

Kwa mtu mwenye fikra pana na anamfahamu vizuri Lissu atajua hupenda sana kujionyesha mbele ya watu/hadhara (limelight) lakini pia hufurahia sana (relish) kama kuna reaction bila kujali kama ni nzuri au mbaya. Waingereza huita Attention seeking behaviour. Lissu anachokitafuta kwa CCM na serikali ni kukimbizana au kujibishana naye kwenye media akiwa ndiye focal point.

Mpaka sasa malengo yake kwa kiwango kikubwa yamefanikiwa kutokana na ujinga wa viongozi wa juu wa serikali na CCM ambao wengi wao hawajui ukubwa na umuhimu wa vyeo vyao. Eti Katibu Mkuu wa chama tawala CCM anajibishana na Mjumbe wa Kamati Kuu wa chama cha upinzani CHADEMA, Tundu Lissu? This is beyond stupidity.

Lissu anatakiwa arumbane na wanachama wa kawaida wa CCM na sio viongozi wa juu wa chama. Majibu ya hoja za Lissu kuhusu shambulio lazima yajibiwe na taasisi rasmi za uchunguzi na sio kila kiongozi wa serikali.

Hawa viongozi wa CCM na serikali hawakujifunza makosa waliyoyafanya kwa Mange Kimambi baada ya kumkuza na kupata followers wengi kutokana na kujibishana naye. Makosa yaleyale wanayarudia kwa Tundu Lissu.

Katika dhana ile ile ya Attention seeking behaviour, Ninajua pia Lissu atapenda sana akirudi nchini akamatwe akiwa uwanja wa ndege ili kutimiza Newton's third law of motion ambapo matokeo yake yatakuwa kumpa umaarufu wa bure lakini kikubwa zaidi hata waliokuwa hawaamini aliyokuwa anayasema nwataamini niya kweli. Ninawaomba sana serikali wasimkamate siku akiingia nchini bali wamuache tu. No force, no rection.

Ninakumbuka mwaka 1995 wakati Augustino Mrema akiwa mpinzani maarufu nchini, kila alipobebwa waliombeba walipigwa mabomu na vitendo hivyo vilizidi kumfanya maarufu mpaka Mwalimu Nyerere alipotumia busara na kuwambia polisi, “Kwa kuwa wanaotaka kumbeba Mrema wapo, waacheni wambebe. Wambebe hata kama watakuwa wanapokezana kama machela (jeneza), waacheni.” Polisi walipotii agizo la Baba wa Taifa, la kuacha kuwapiga mabomu, Mrema naye kama shani hakubebwa tena. Mwl. Nyerere alitumia dhana ya Newton's third law of motion. No force, no reaction.

Tuliona pia huko Kenya, baada ya wapinzani kuamua kumuapisha Raila Odinga kuongoza Kenya baada kutangaza kwamba hamtambui Uhuru Kenyatta kama kiongozi aliyechaguliwa kwa njia halali, polisi waliwaacha wafanye hivyo na matokeo yake kitendo hicho kikaonekana nicha kijinga.

Huko Venezuela tumeona kiongozi wa upinzani akifanya kama alivyofanya Raila Odinga lakini dhumuni lake lilikuwa ni kutaka polisi wawazuie ili mapigano yatokee ambayo yangekuwa ni sababu ya Marekani kuingia kimabavu katika nchi hiyo kwa kisingizio cha kuzuia mauwaji. Serikali ya Rais Madulo ikajua janja yao na ikamuacha Juan Guaidó ajiapishe bila kumuingilia kwa kutumia nguvu ya polisi/jeshi. No force, no reaction. Uamuzi wa polisi/jeshi kumuacha ajiapishe kumeua malengo ya Marekani ya kuingiza majeshi Venezuela.

CCM na Serikali lazima waelewe kuwa hoja sio Lissu anatumiwa na ''mabeberu'' bali hoja ni jinsi gani wataweza kuzuia njama za ''Mabeberu'' kwa sababu ''mabeberu'' kuwatumia watu sio jambo jimpya.

Kuna Mzee mmoja aliwahi kunipa ushauri kwa maneno haya, Ukimya hukuvisha nguo ya utulivu na hukukinga na haja ya kutoa visingizio lakini pia jawabu fasihi kabisa kwa mpumbavu ni kutomjibu.

Nimalizie kwa kusema, Serikali na viongozi wa juu wa CCM lazima watambue kuwa hata kukaa kimya ni jibu kwa sababu hakuna serikali hapa duniani ambayo haijawahi kutuhumiwa kutaka kuua au kuua raia.
Well done

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana unaeleshwa your ideas are flawed,hamjaanza nyie kujenga hiyo miondombinu ya kisasa.
Hawa wanaoitwa 'wahamiaji haramu' raia wa Ethiopia wanaofia njiani na kukamatwa huku Tz na South kila siku wameacha hiyo miondombinu ya kisasa kwao mareli ya umeme,mabwawa makubwa na Mandege,
Jiulize kwa nini wakimbie kwao wakati wana hiyo miondombinu ambayo nyie mnaiona ya maana sana kiasi cha ku sacrifice uhuru wa watu na haki zao za msingi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni mawazo yenu mgando!!!! Duniani hatuwezi kuwa sawa ila miundo mbinu muhimu. Unadhani hata kichaa Tundu Lissu akiwa Rais kila mtu atakuwa tajiri, huo ni uzwazwa
 
Hayo ni mawazo yenu mgando!!!! Duniani hatuwezi kuwa sawa ila miundo mbinu muhimu. Unadhani hata kichaa Tundu Lissu akiwa Rais kila mtu atakuwa tajiri, huo ni uzwazwa
We zwazwa kweli,Kwani umemsikia TL au Nani mwingine akisema anataka kila mtu awe tajiri, sidhani hata kama unaelewa watu wanapigia kelele nini.Umekaririshwa miondombinu urudie rudie kama kasuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri mzuri kama huu si rahisi kuupata na ukiupata si rahisi kuufuata.


Tatizo wengi wachumia tumbo serekalini......

Wengi wanawaza kumfurahisha Mukuluu

Eti hadi Jeri Mulo nae anapambana na Lisu jamani😂😂😂😂🤔🤔
 
Msikilize tena Lissu, amesema ccm siyo chama cha siasa bali ni chama dola na uhai wake unategemea dola, yaani viongozi wake ni raisi, wanajeshi, polisi, etc. In simple plain language, ccm= raisi, polisi, jeshi, tbc, yaani hivyo vyombo sijui vya kiuchunguzi na ccm ni kitu moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani hujaelewa mantiki ya andiko langu.
 
Ni kweli kabisa, ulichokiongea.
Wamwache aongee atakavyo, hata akirudi wamwache wasimguse na wamwambia akitaka private security akodi hata FBI ama CIA ama Scotland yard kwa pesa zake waje wamlinde.
 
Wanajitetea kuua soo ili ukweli usizidi kuenda maana wanajua raia wanawaogopa na hakuna mwenye uthubutu wa kuhoji, na ukihoji wanakubambikizia kesi na kipigo juu.
Kama nilivyokuuliza kwenye hoja uliojibu, wanajitetea ili kuua soo kwa nani? Kama ni kwa watawala wa Ulaya na Marekani wanajua kabla hata ya kujitetea.
 
Leo msema kweli umepandisha uzi kama mwana CCM na muunga mkono serikali ila alie na fikra huru, hongera sana tungekuwa siku zote tunajadili vitu kwa ujuzi kama hivi taifa lingesonga tu.
Hahahahah;
Mkuu, taifa letu linasonga mbele labda mjadala uliopo ni kwa kasi gani na kiwango kipi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom