Serikali na Baraza la Kiswahili, futa salamu ya shikamoo

kiwiko

JF-Expert Member
Aug 7, 2014
1,307
2,065
Narudia tena. Hii salamu haifai kwanza inahusishwa na biashara ya utumwa kuendelea kutumiwa na mwafrika ni kumdhalilisha mwafrika.
Pili huwezi jua nani uumpe na nani usimpe maana huwez kuwa unafanya kazi ya kukadiria miaka kila siku mpaka akili inachoka kupelekea kuleta migongano kwenye jamii kisa mtu kuona kadharauliwa akinyimwa shikamo na mtu anayemzidi umri. Salamu imekaa kibaguzi sana hasa wakubwa wakiitumia kubagua na kukandamiza waliowazidi umri. Serikali ifute hii kuondoa yote haya.
Mwisho, tutumie salamu kama tunavofanya kwenye makabila au kwenye dini zetu ambako salamu ni moja na maisha yanakwenda vizuri bila migongano. Hata nchi nyingi tu salamu ni moja na maisha yanasonga salama tu.
Tukifuta hii salamu itaongeza mwingiliano zaidi wa rika(social interaction) itakachopelekea ukuaji wa ujuzi na maarifa kutoka rika la chini kwenda rika la juu. Nidhamu ya woga itaondoka.

Serikali na BAKITA tunasubiri tamko.

cover+pic.jpg


1066537
 
Narudia tena. Hii salamu haifai kwanza inahusishwa na biashara ya utumwa kuendelea kutumiwa na mwafrika ni kumdhalilisha mwafrika.
Pili huwezi jua nani uumpe na nani usimpe maana huwez kuwa unafanya kazi ya kukadiria miaka kila siku mpaka akili inachoka kupelekea kuleta migongano kwenye jamii kisa mtu kuona kadharauliwa akinyimwa shikamo na mtu anayemzidi umri. Salamu imekaa kibaguzi sana hasa wakubwa wakiitumia kubagua na kukandamiza waliowazidi umri. Serikali ifute hii kuondoa yote haya.
Mwisho, tutumie salamu kama tunavofanya kwenye makabila au kwenye dini zetu ambako salamu ni moja na maisha yanakwenda vizuri bila migongano. Hata nchi nyingi tu salamu ni moja na maisha yanasonga salama tu.
Tukifuta hii salamu itaongeza mwingiliano zaidi wa rika(social interaction) itakachopelekea ukuaji wa ujuzi na maarifa kutoka rika la chini kwenda rika la juu. Nidhamu ya woga itaondoka.

Serikali na BAKITA tunasubiri tamko.

View attachment 1066536

View attachment 1066537
Dingi anataka kizalia toka kwa huyo binti

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shikamoo ifutwe tu mana inanikeraga sana kuisema kwa mtu...shida watu wanatfsir kama ndy heshima lakin hakuna chcht. Na kingine shikamoo haimjulii mtu hali yake ila habar yako, vipi, mzima wewe, u hali gani, nk ndzo zinamjulia mtu hali.
 
Mods naomba huu uzi urudishwe jukwaa la siasa au Habari mchanganyiko maana ni suala la kitaifa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom