Serikali muwe makini, Vyombo vya habari vya nje vinajaribu kuharibu jina la Tanzania

Kama vyombo vya nje vinachafua, vya ndani visafishe!

Korrupt people like Korrupt Leader
 
Mnakomaa na vibanzi machoni mwa wengine ,mnasahau kama machoni mwenu mna maboliti.

Jirekebisheni wenyewe kwanza ndipo mpate nguvu ya kuwakemea wengine.
 
Acheni kuvisingizia vyombo vya habari vya nje
Tatizo la viongozi wa kwetu, wanakurupuka sana bila kuangalia impact ya mambo wanayofanya
Sasa wacha BBC,CNN etc wafanye yao
Makomeo mwenyewe ndio anafanya mambo ya aibu ya kulichafua jina la Tanzania, tena litachafuka zaidi ya hapo akiendelea hivyo, na hamna muwekezaji mwenyewe akili zake timamu atakuja kuwekeza TZ
Naheshimu maoni yako lakini inabidi tuwe waangalifu kama nchi na kinachoripotiwa na hivi vyombo vya habari vya nje.

Mfano: Vyombo vya habari vya Kenya wanatangaza kuwa serikali ya Tanzania inaingilia uchaguzi wa Kenya. Hiki sio kitu cha kunyamazia tu. Tanzania lazima itoe kauli kama alivyofanya mh. Mahiga.

Hutaamini ukisoma taarifa za uongo zilizoandikwa na the so called "main stream media" kuelekea mashambulizi yaliovuruga nchi kama Vietnam, Iraq, Syria, Libya, n.k.
 
Wewe unajifanya huoni kinachoendelea mbona mnapenda sana shobo shobo kwa watu wenye madaraka, kwa vile wewe unataka vijisifa vya kijinga ndiyo unakuja kutufanya sisi wajinga.. Naomba kukuuliza uongo hapo ukowapi? Ili niamini hicho ulichoandika hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unajifanya huoni kinachoendelea mbona mnapenda sana shobo shobo kwa watu wenye madaraka, kwa vile wewe unataka vijisifa vya kijinga ndiyo unakuja kutufanya sisi wajinga.. Naomba kukuuliza uongo hapo ukowapi? Ili niamini hicho ulichoandika hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Je ni kweli kuwa Lissu amekamatwa kwa kosa la kumuita Magufuli dikteta?

Lissu alipofikishwa mahakamani alisomewa kosa lipi lililopelekea yeye kukamatwa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Machadema hao ndo wapeleka habari za uongo huko kwa ajili ya kutaka kuivuruga nchi.

Mbinu zenu chafu tushazibaini.

Mtashindana lakini HAMTOSHINDA.

ukuu hivi utazinduka lini ktk dimbwi la fikra mbaya.waandishi wa kimataifa wapo hapa inchini.
 
Naheshimu maoni yako lakini inabidi tuwe waangalifu kama nchi na kinachoripotiwa na hivi vyombo vya habari vya nje.

Mfano: Vyombo vya habari vya Kenya wanatangaza kuwa serikali ya Tanzania inaingilia uchaguzi wa Kenya. Hiki sio kitu cha kunyamazia tu. Tanzania lazima itoe kauli kama alivyofanya mh. Mahiga.

Hutaamini ukisoma taarifa za uongo zilizoandikwa na the so called "main stream media" kuelekea mashambulizi yaliovuruga nchi kama Vietnam, Iraq, Syria, Libya, n.k.
Kwani ni uongo?
Mwambieni mjomba wenu atulie, watu washaushtukia urafiki wake na huyo jamaa wa kenya
 
Mleta mada nenda ukafanyiwe tohara naona mkono wa sueta unakusumbua inamaana siku ukifumaniwa utawalaumu waandishi kutoa habari badala ya wewe kurekebisha tabia? Unafikiri BBC ni TBC? kwa hiyo mnafanya upupu halafu mnataka muwàfundisha wanahabari cha kuandika? Kila kukicha mnakimbizana na Lissu hamuoni aibu? Hivi mil.50 kila kijiji, zahanati kila kijiji, flyovers, maabara kila shule, kupandish mishahara kwa watumishi, mlishakamilisha? Mbona mna mambo ya ajabu? Umelegeza mkono wa sueta ooh vyombo vya habar vinaharibu taswila ya tz!, puuuuuu mbaaaa vuuuuuu
 
Back
Top Bottom