Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 14,175
- 22,576
Vyote cha msingi na cha sekondari unywe tuUnakuywa komoni na myakaya?
Vyote cha msingi na cha sekondari unywe tuUnakuywa komoni na myakaya?
😂😂😂😂 Unavyouzungumzia huo ulanzi inaonekana waupenda mno... endelea kuenjoy mdogo wanguwaujua vizuri ulanzi? Basi mie hadi kuutengeneza naweza, yaan kwa ulanzi hapana hasa ule uliogemwa siku hiyo hiyo wee, utamu wake sasa kunoga kwene kukita lyo lyo lyo. Afu ukakekema chwaaaaaaah stimu yaki hinu penapo wacha kujova cc.
Mie hizo hapana, ila ulanzi hapo sasa wee tyuuh.Vyote cha msingi na cha sekondari unywe tu
Shem wetu yaani mke wako si anafurahia afu tunapata kitongaVijana mnatia aibu sana
Sasa hiyo show ya kibabe unamkomoa nani?
Ndo maana mnafia guest kila siku
Acha kuwa kasuku..nani kakwambia hivyo vinywaji vina madhara?kwani unadhani tbs na vyombo nyengine vya serikali hawajazikagua?Kazi ya Serikali ni kulinda watu mkuu...wewe kitu kina madhara ...Serikali kimyaaaa inakusanya Kodi!?
tatzo mtamu mnooh, kabisaa naenjoy yaan.Unavyouzungumzia huo ulanzi inaonekana waupenda mno... endelea kuenjoy mdogo wangu
Kausha kwan umeshikiwa bunduki unyweKazi ya Serikali ni kulinda watu mkuu...wewe kitu kina madhara ...Serikali kimyaaaa inakusanya Kodi!?
Sijawahi tumia energy drink..ningependa kujua kwa watumiaji huwa wanajisikiaje wakishatumia icho kinywaji...😊
Alafu hiyo mo energy si peke yako..Kuna mtu aliwahi patwa na hali Kama yako alivyokunywa..nikajua labda atakuwa na matatizo yake binafsi..Mimi nilishakunywa Mo energy, aisee ilinipekekesha, nilipatwa na maumivu sehemu za nyonga, yawezekana mafigo yangu yalikuwa dhaifu kuchuja kemikali za hiyo juice. Sijui kwa watumiaji wengine.
Unajuaje kama wanakuwa na uchovu au wanahitaji wasisinzie Ili kufanya kitu fulani nk nk
Mbona mimi huwa natumia nikitaka kwa mfano kama na activities za ucku au nina uchovu mwingi na natumia kwa maelezo yaliyopo na hakuna shida yoyote.
Bora hizo energy drinks kuliko ma soda na mawanga yamewajaa mavitambi hovyo hovyo.
Sijawahi tumia energy drink..ningependa kujua kwa watumiaji huwa wanajisikiaje wakishatumia icho kinywaji...😊
Tuko pamoja aiseeSijawahi kunywa hata mimi...Sio mpenzi sana wa mavitu yasiyoeleweka.
Dah kumbe ndo faida hizo?Shem wetu yaani mke wako si anafurahia afu tunapata kitonga
Hivi Leo hii ukisikia: "Eeee bwanaee kumbe energy drinks zinatengenezwa na maji wanayopigia deki mortuary!!" Hivi utasubiri Serikali itamke?Kazi ya Serikali ni kulinda watu mkuu...wewe kitu kina madhara ...Serikali kimyaaaa inakusanya Kodi!?
Redbull ni sawa na hizi energy drinks zota jamii mojaRedbull nayo ina shida? Zamani nilikuwa nakitumia sana.