Serikali Msitudanganye Fedha za ESCROW ni za Umma

kwa namna moja au nyingine kuna watu watakuwa wanahusika lakini hawakutajwa. ninawasisi kwanini wezi wanafumbiwa macho katika Fedha za kodi za wananchi wanao ishi chini ya dola 1.
 
Pesa sio za umma.ikifikia hatua hadi raisi anatetea ufisadi jua automatically ikulu imegeuka pango la walanguzi.kuna haja yakufanya utafiti juu ya asili ya jina la uyu dhaifu.
 
Binafsi kitendo cha former AG Werema, E.Maswi, Tibaijuka, Muhongo na baadhiya watumishi wengine ndani ya serikali dhaifu na ya kifisadi ya CCM kuachia madaraka na kufikishwa mahakamani nasema ya kwamba fedha za Tegeta Escrow a/c ni za umma.
Kujiudhuru pekee haitoshi, BRING BACK OUR MONEY!

Je? Wewe mzalendo mwenzangu unasemaje?
 
hatuwezi kuwa tunaongea ishu ileile kwa mwaka mzima,huo mda mchafu hatuna
 
Rais kikwete amenilaza hoi....profesa Muhongo
amejiuzuru kwa siasa zisizo na tija ktk Taifa....ni aibu
kwa Taifa kushindwa kulinda na kutetea hoja
zake...rais alisema Fedha za escrow siyo za
umma...Profesa amejiuzuru gavana wa BOT Beno
Ndulu na Waziri wa Fedha Saada Mkuya
wataachwaje?
Wafanyabiashara wanapokuwa na maamuzi ndani ya
Serikali hii....Fedha wagawane wengine then
wadharirike wengine....tusipokuwa makini nchi
inakufa na huku wafanyabiashara wakiishi
peponi....watanzania maskini wakibaki wanataabika
kwa umaskini....... bila ccm madhubuti nchi inayumba
nimeona na kushuhudia....Rais kushindwa kusimamia
maneno yake tena inatia shaka ushiriki wake kakiti
kukwapua pesa hizo kwanini awe dhaifu...?
P
 
Wakuu salaam sana!

Kuna taarifa kwamba kamati ya maadili kwa watumishi wa umma itaanza kuwahoji wale wote waliopata mgao wa fedha iliyochotwa kutoka account ya Escrow. Watakaohijiwa ni akina Chenge, Tibaijuka, Ngeleja et al, hawa wote walikula mgao.

Kumbukumbu zangu zinanikumbusha kuwa hela ilisemekana sio ya umma, sasa hawa wanahojiwa ili iweje?? Raisi akizungumza na wazee wa CCM alidai haikuwa ya watanzania!!

Swali langu kwa wadau wote, je hii ni cinema au ndo kuanguka kwa serikali yetu tukufu?! Au serikali inataka kujikosha kwamba iliwajibika?

Tuelimishane.
 
Sheria ya maadili inataka uweke wazi zawadi yoyote unayopewa inayozidi alf 50 kwa viongozi wa umma.

Iwe pesa za umma amma binafsi kuna fomu za kubainisha utazijaza.

Watu wengine hata uwaelimishe vipi wana vichwa vizito sana kuelewa make mpaka leo mtu bado hajaelewa topic moja tu ya Escrow zaidi ya miezi 6? Kaazi kwelikwelh,.

Hapo ndo nakumbuka maneno ya #FaizaFoxy 'Hizo shule wanaenda(ga) kusomea ujinga?'
 
Watu wengine hata uwaelimishe vipi wana vichwa vizito sana kuelewa make mpaka leo mtu bado hajaelewa topic moja tu ya Escrow zaidi ya miezi 6? Kaazi kwelikwelh,.

Hapo ndo nakumbuka maneno ya #FaizaFoxy 'Hizo shule wanaenda(ga) kusomea ujinga?'

Kweli mkuu kuna watu hapa ukiwa nao jirani unaweza kuwachapa makofi.Eti wote waliopata fedha za Escrow, sijui kapata wapi taarifa huyo.
 
Labda jambo la kujiuliza, kama ile pesa ilikuwa ya binafsi ni kwanini maagizo ya kulipwa singasinga yatoke kwa "mzee wa wakuu wa wilaya"?
 
Zito alieleza vizuri pap hawakustahili kulipwa ile Pesa name siku standard chartered wakiamka itabidi serial I ilipe jk ni muongo wa kutupa anajidai kukaaa name wazeee wasiojua hats maana ya icsid name kuudanya umaa kwa Kuwa na yy alipiga stanbic bank ndo maana aliogopa kumtimua muhongo mpka kampa ulaji nje ya nchi kumbuka muhongo alisema hawezi kutoka mpka wajiuzulu we ye escrow hao ni nani km si jk name pinda
 
Hela inayoongelewa mpaka sasa hivi ni hela ya Mkombozi bank ambayo ina maelezo kamili kwamba Rugemalira aliuza share zake kwa SingaSinga the Great, sasa hapa sijui kamati ya maadili inatokea wapi.
La msingi waseme hela ya Stanbic nani alichota na kwa dhumuni lipi?
IPTL hewa now.
 
Hela inayoongelewa mpaka sasa hivi ni hela ya Mkombozi bank ambayo ina maelezo kamili kwamba Rugemalira aliuza share zake kwa SingaSinga the Great, sasa hapa sijui kamati ya maadili inatokea wapi.
La msingi waseme hela ya Stanbic nani alichota na kwa dhumuni lipi?
IPTL hewa now.

Ndugu hii Movie ya Escrow ishachuja haina mvuto tena wala haiuziki kwa wananchi. Ushauri wangu wa bure ni kuwa msubirieni October mfanye uamzi sahihi kama hamjalidhishwa na matokeo ya Escrow kuliko hizi kelele za kijinga zisizokua na tija kwa Taifa. Acheni watu wafanye kazi kwan la Escrow lishakua historia hivyo kulijadili halikuongezei wala kukupunguzia chochote. Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu Muhongo ashafunga huu mjadala. Na kwakuwa yeye ndo alikuwa anawindwa kwenye hili sakata la siasa chafu ndo maana unaona hata mabwana zako wamefyata mkia wala hawana time tena na Escrow toka Muhongo alipobwaga.
Washafanya sherehe, washagonga mvinyo na kutoka out na madem zao kama sehemu ya kuhitimisha furaha yao. Hivyo nao hivi sasa wako busy wanapiga mzigo na ku-make ngawila ili maisha yaendelee.

Hakuna mwenye muda na fedha za Stanbic kwani mlengwa wao washamfanikisha sasa sijui wewe hizi kelele na yowe unataka kuzipiga kwa msaada wa nani... pole sana, dunia unaifikiria isivyokua.
 
Ndugu hii Movie ya Escrow ishachuja haina mvuto tena wala haiuziki kwa wananchi. Ushauri wangu wa bure ni kuwa msubirieni October mfanye uamzi sahihi kama hamjalidhishwa na matokeo ya Escrow kuliko hizi kelele za kijinga zisizokua na tija kwa Taifa. Acheni watu wafanye kazi kwan la Escrow lishakua historia hivyo kulijadili halikuongezei wala kukupunguzia chochote. Waziri wa Nishati na Madini aliyejiuzulu Muhongo ashafunga huu mjadala. Na kwakuwa yeye ndo alikuwa anawindwa kwenye hili sakata la siasa chafu ndo maana unaona hata mabwana zako wamefyata mkia wala hawana time tena na Escrow toka Muhongo alipobwaga.
Washafanya sherehe, washagonga mvinyo na kutoka out na madem zao kama sehemu ya kuhitimisha furaha yao. Hivyo nao hivi sasa wako busy wanapiga mzigo na ku-make ngawila ili maisha yaendelee.

Hakuna mwenye muda na fedha za Stanbic kwani mlengwa wao washamfanikisha sasa sijui wewe hizi kelele na yowe unataka kuzipiga kwa msaada wa nani... pole sana, dunia unaifikiria isivyokua.

Ilishachuja na haina mvuto, sasa wewe umetokea wapi huku, achana nayo wewe.

Uhuru wa Tanganyika kila mwaka unakumbukwa ndiyo ije kuwa Escrow ya juzi tu?
 
Ilishachuja na haina mvuto, sasa wewe umetokea wapi huku, achana nayo wewe.

Uhuru wa Tanganyika kila mwaka unakumbukwa ndiyo ije kuwa Escrow ya juzi tu?

Hakuna kilichochuja kuanzia scandal ya Radar, EPA, Twiga, Tembo mpaka Escrow.
Ni suala la muda tu
 
  • Thanks
Reactions: 999
Ilikuwa ya umma ndiyo maana tanesco wakaitumia kulipa deni lake kwa iptl la umeme mlioutumia ambao haukuwa wa bure.
 
Back
Top Bottom