Wakuu,
Mkumbuke kuna mataifa mengine yanabandari kama msumbiji, Angola, Afrika Kusini.
Congo ni mteja wetu mkubwa na mteja ni mfalme lakini awamu hii hamko kibiashara na dalili zinajionesha wazi wazi
Mkumbuke Zambia anahitaji kuitumia Angola hii siri tunawapa leo, Congo anataka kuitumia Kenya yaani Bandari ya mombasa ina maana mizigo ya kisangani, Butembo na Goma itapitia Mombasa.
Jaribuni kuwashawishi na kuweka mazingira bora ya kibiashara ili biashara za ndani na nje zishamiri vinginevo mtabaki mnashangaa mapato kushuka siku hadi siku na mtapata kazi kubwa kuwarudisha hao wadau muhimu wa biashara.
Mkumbuke kuna mataifa mengine yanabandari kama msumbiji, Angola, Afrika Kusini.
Congo ni mteja wetu mkubwa na mteja ni mfalme lakini awamu hii hamko kibiashara na dalili zinajionesha wazi wazi
Mkumbuke Zambia anahitaji kuitumia Angola hii siri tunawapa leo, Congo anataka kuitumia Kenya yaani Bandari ya mombasa ina maana mizigo ya kisangani, Butembo na Goma itapitia Mombasa.
Jaribuni kuwashawishi na kuweka mazingira bora ya kibiashara ili biashara za ndani na nje zishamiri vinginevo mtabaki mnashangaa mapato kushuka siku hadi siku na mtapata kazi kubwa kuwarudisha hao wadau muhimu wa biashara.