Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,405
- 30,908
Ndani ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kumeshaanzishwa magufuli jogingis ushahidi Ni channel ten.
Naomba kuuliza taasisi za serikali za kiulinzi na kisheria CHADEMA wakifanya hivyo litakuwa kosa?
CHADEMA wameminywa hawana watetezi sisi wapenda haki tusioegemea upande wowote tunauliza.
CHADEMA wakianzisha evening jogingis watakuwa na makosa?
Superbug.
Naomba kuuliza taasisi za serikali za kiulinzi na kisheria CHADEMA wakifanya hivyo litakuwa kosa?
CHADEMA wameminywa hawana watetezi sisi wapenda haki tusioegemea upande wowote tunauliza.
CHADEMA wakianzisha evening jogingis watakuwa na makosa?
Superbug.