Wakuu.
Tukubali jamaa wametutelekeza wakulima wa mbaazi nchi nzima , hawajatuacha njia panda , wametuacha kwenye mataa hivo hiyo hasara tulie nayo , ruhusuni tuuze mahindi kidogo nje ili tugharamie msimu mpya wa kilimo , au fungeni mipaka mahindi ya Zambia yasiingie ndani ya nchi msitutie umaskini wa lazima.
Tukubali jamaa wametutelekeza wakulima wa mbaazi nchi nzima , hawajatuacha njia panda , wametuacha kwenye mataa hivo hiyo hasara tulie nayo , ruhusuni tuuze mahindi kidogo nje ili tugharamie msimu mpya wa kilimo , au fungeni mipaka mahindi ya Zambia yasiingie ndani ya nchi msitutie umaskini wa lazima.