Serikali mmeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma, fungeni hivi vyuo

Inaonekana watu wengi hamjui lolote kihusu mfumo wa elimu. Tangu awamu ya kwanza hadi ya nne, wanafunzi wa Diploma hawana mkopo , elimu haikufa, leo ndo ife?
Hivi unajua mikopo imeanza kutolewa lini!!!
Eti tangu awamu ya kwanza!!! Kaeni kimya badala ya kuandika msiyoyajua. Mnajidhalilisha.
 
Ivi kumbe kusoma diploma unapewa mkopo nilikuwa sijui,,, daaah nao wanalalamika na certificate nao waombe mkopo sasa kama vip Magu
 
inaonekana wengi ama hawajaelewa mada au mtoa mada hajaeleweka katika mada yake hapa anachokimaanisha ni kwamba wanafunzi wote waliomaliza Level ya Diploma na kutaka kujiunga na Degree hawajapewa Mkopo sio kwamba wanaotaka kusoma Diploma ndio hawana mkopo!!!
Naona watu wameelewa lakini wanajiyoa ufahamu tu mana mpaka sasa hivi wanafunzi hao waliomaliza Diploma na kutaka kujiunga na Degree hali ni mbaya na hakuna aliyepewa mkopo na wanafunzi hao wengi wamemaliza katika vyuo alivovitaja mtoa mada hapo juu
MUST
DIT
WDMI
ATC
 
Kuwa na engineers bila technicians, hatuwezi kuwa na uchumi wa viwanda.
Kuwa na madaktari bila pharmaceutical technicians, clinical officers, na diploma holders wengine ujue huduma za afya itakuwa ni majanga.
Katika sekta yo yote ili lazima kuwa na proper human resource mix.
 
Ivi kumbe kusoma diploma unapewa mkopo nilikuwa sijui,,, daaah nao wanalalamika na certificate nao waombe mkopo sasa kama vip Magu
Mkuu unaniabisha sana. Hii issue umeshindwa kuielewa kbsa.
Duh na ww unategemea hapo baadae uwe kiongozi si utakuwa km yule aliyewalazimisha wakeshe kweny mwenge.

Ngoja nikueleweshe maana hii nchi vi.la.za ni wengi sana pamoja na wakurupukaji

Mwanafunzi wa diploma kwenda chuo walikuwa wanapewa mkopo kipind cha awamu za uongoz zilizopita yaan Mkapa-Jk

Na siyo ukienda diploma unapewa mkopo hapana, ww ulifikiri hiv
 
Ivi kumbe kusoma diploma unapewa mkopo nilikuwa sijui,,, daaah nao wanalalamika na certificate nao waombe mkopo sasa kama vip Magu

Next time kama hujaelewa kitu ni vyema uwe unauliza kwa ajili ya kueleweshwa

hapo alikuwa anamaanisha kuwa waliomaliza diploma kwenda kuchukua Degree ndio hawajapewa mkopo na sio wanaotaka kuchukua Diploma
 
kwa hiyo umefurahi kupotosha!!!? jamii mwenyewe nimesoma DIT na hakuna mkopo tulikuwa tunapewa nachojua mnapewa pesa ya field tu 444000 kila mwaka na mkiwa chuo mnapikiwa chakula ukijiunga na degree ndipo unapewa mkopo mda mwaingine muache porojo.
Mkuu hujaelewa, yeye anazungunzia waliotoka diploma kwenda degree hawapewi mikopoo
 
ilikuiwaje?
Najua uelewa wako ni mdogo sana, km umeshindwa kung'amua hii issue, Ni hatari sana kwa taifa letu.

-Wale vijana wa udom ambao Waliitwa vi.laza walikuwa wanasoma diploma na mkopo walikuwa wanapewa

Mtoa mada anazungumzia mwanafunzi wa diploma anapoenda kujiunga na elimu ya juu (yaan chuo) huwa wanapewa mkopo.

Alipoingia mwenyekiti wenu akazuia hii issue sabb watu wanaishi km malaika, kwahiyo akahimiza sana aliowateua wawafanye watu waishi km mashetani.

Sasa mkuu km haujauelewa huu uzi pole sana. Sikushangai sbb umerithi kwa baba yako Juma pumba maharagwe.

Mtu akikuambia njoo nikuume sikio na ww unafikiri kweli anataka kukuuma sikio. Jiongeze mwanalumumba, tumia akili na siyo nguvu km mnavyofanya sasa. Ukitumia nguvu lazima uweweseke tu na povu jingi
 
ilikuiwaje?
Hebu rudia kusoma huu mkuu

''Vyo vifuatavyo vimekuwa vikipokea wanafunzi
wengi wa diploma zaidi ya nusu ya wadahiliwa
wote huwa ni diploma.
DIT
MUST
ATC WDMI Hivi vyuo hutoa dilegree za engineering na watu
wengi wataalamu wa nchi hii wamepita hapa.''
 
Nchi hii sijui kuna laana ya nani?.
Kama tutakuwa tumelaaniwa na Mungu nadhani kosa lililo sababisha ni kuichagua CCM.
Diploma wana makosa gani kutopewa mikopo?.
Hawa ndo yafaa wapewe maana baadhi yao wametokea makazini hivyo wana uhakika wa ajira japo mishahara ni ya madafu hasa walimu wangu
Ndugu yangu sio diploma wote wana ajira. Kumbuka tz ajira zenyewe za diploma na certificate issue..hupati labda ualim na afya..kozi zingine hakuna kazi...ndio hao wanaamua waunge kwenda chuo ili aje ajilikena kadegree unamnyima mkopo
 
Back
Top Bottom