Serikali mmeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma, fungeni hivi vyuo

A
kwa hiyo umefurahi kupotosha!!!? jamii mwenyewe nimesoma DIT na hakuna mkopo tulikuwa tunapewa nachojua mnapewa pesa ya field tu 444000 kila mwaka na mkiwa chuo mnapikiwa chakula ukijiunga na degree ndipo unapewa mkopo mda mwaingine muache porojo.
Acha kudanganya nimesoma diploma na mkopo kama kawa nimepata.
 
Inaonekana watu wengi hamjui lolote kihusu mfumo wa elimu. Tangu awamu ya kwanza hadi ya nne, wanafunzi wa Diploma hawana mkopo , elimu haikufa, leo ndo ife?
Walikuwa Nayo... Kama Pale DIT Rafik Zangu Wengie Tu Wamesoma Pale Miaka Ya 2009/2012 Na Walikuwa Wananufaika.

Ila Mkopo Wao Ulikuwa Wa Namna Ya Wanafunzi Kusoma Bure Yani Kutokulipa Ada Yeyote Na Chakula Walikuwa Wanakula Bure Chuoni
 
Mh.Raisi naomba hili swala ujaribu kulifkria kwa umakini kwani tuliotoka diploma tuna haki ya kupata mkopo tumetoka ktk familia duni,background ya Shule tulizo soma ni za kata wengne hata kufel kwetu diploma ni kwasabab ya uduni wa maisha Mh.Raisi, moja ya Sera zako nikuwa nufaisha mkopo kwa wanaotoka ktk mazingira magumu, diploma tumeungaunga tukategemea utatunufaisha na mkopo naomba ujaribu kufkiria hili swala.
 
Diploma wameanza lini kupewa mikopo kwa mfano?

si walipewa wale wa UDOM tu?

au mimi sijui dunia inaendaje...................
 
Inaonekana watu wengi hamjui lolote kihusu mfumo wa elimu. Tangu awamu ya kwanza hadi ya nne, wanafunzi wa Diploma hawana mkopo , elimu haikufa, leo ndo ife?
Nimesoma mist (must) diploma ya Civil Engineering nta4 to nta6 na tulikuwa tunapewa mkopo me ada nilikuwa najilipia laki 3 kwa mwaka inayobaki ilikuwa inalipwa na serikali ya J.K wakati mtu ambaye n private alikuwa analipa m1 na laki 5 n kipindi cha field nilikuwa napewa laki 5 boom la field
 
Nazungumzia wanafunzi waliojiunga na drgree kwa sifa za diploma... mbona mgumu kuelewa wewe.
Tatizo umekurupuka kuandika hii mada,ungetulia chini ukaandika vizuri ungeeleweka.Ulichoandika unamaanisha wanaosoma diploma wamenyinmwa mikopo baadae unasema walio mwaka wa 4,Ninachofahamu kuwa wanaopewa kipaumbele kwenye mikopo ni wale waliotoka directly form six wanaingia na kwa diploma ni wachache sana wanaopewa mikopo (wenye passmark za juu)
 
Tatizo umekurupuka kuandika hii mada,ungetulia chini ukaandika vizuri ungeeleweka.Ulichoandika unamaanisha wanaosoma diploma wamenyinmwa mikopo baadae unasema walio mwaka wa 4,Ninachofahamu kuwa wanaopewa kipaumbele kwenye mikopo ni wale waliotoka directly form six wanaingia na kwa diploma ni wachache sana wanaopewa mikopo (wenye passmark za juu)
Inshu si pass mark za juu. Diploma wote waliosoma kozi za kipaumbele walikuwa wanapewa mkopo..ili mradi wamepata chuo na wameaoma kozi za kipaumbele.
 
Inaonekana watu wengi hamjui lolote kihusu mfumo wa elimu. Tangu awamu ya kwanza hadi ya nne, wanafunzi wa Diploma hawana mkopo , elimu haikufa, leo ndo ife?
Nawafahamu waliosoma diploma na kupata mikopo mwakajana na juzi,
 
Tatizo umekurupuka kuandika hii mada,ungetulia chini ukaandika vizuri ungeeleweka.Ulichoandika unamaanisha wanaosoma diploma wamenyinmwa mikopo baadae unasema walio mwaka wa 4,Ninachofahamu kuwa wanaopewa kipaumbele kwenye mikopo ni wale waliotoka directly form six wanaingia na kwa diploma ni wachache sana wanaopewa mikopo (wenye passmark za juu)
Mleta mada yuko sahihi sana na mada yake inaeleweka vizuri, wanafunzi wanaohitimu diploma wanaomba mikopo ili kuendelea na degree serikali inalijua hili na Magufuli anajua.
Miaka iliopita hawa diploma holders walikuwa wanapewa mikopo tena hata sasa ukitaka kuhakikisha nenda vyuoni huko uliza watakueeleza wapo wengi tu.

Sasa DIT, MUST, ATC hizi college zinatoa priority kwa wale diploma holders kwenye kudahili, mwaka huu mtoa mada anaeleza wamenyimwa mkopo na hivyo vyuo ni wachache sana wataosoma wengi watashindwa kwa kukosa mikopo.

Umeelewa?
 
hiyo ni mada mpya nikuulize ni nchi gani afrika inatoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma
Kwa uwelewa huu sishangai sbb umerithi kwa baba yako Juma pumba maharagwe

Mbona JK alikuwa anatoa tena mpaka kwa wanafunzi hewa, Iweje awamu hii?

Unakurupuka hata mada haujaielewa, nyie Lumumba mna matatizo sana
 
Kwa uwelewa huu sishangai sbb umerithi kwa baba yako Juma pumba maharagwe

Mbona JK alikuwa anatoa tena mpaka kwa wanafunzi hewa, Iweje awamu hii?

Unakurupuka hata mada haujaielewa, nyie Lumumba mna matatizo sana
jibu nilicho kuuliza
 
Inaonekana watu wengi hamjui lolote kihusu mfumo wa elimu. Tangu awamu ya kwanza hadi ya nne, wanafunzi wa Diploma hawana mkopo , elimu haikufa, leo ndo ife?
acha ujinga wewe wanafunzi wa diploma wanapewa mikopo mimi mdogo wangu alikuwa na diploma ya it kapewa mwaka jana,mwingine diploma ya ualimu kapewa sema serikali ya viwanda imechemsha
 
Back
Top Bottom