Serikali mmeshindwa kutoa mikopo kwa wanafunzi wa diploma, fungeni hivi vyuo

kwa hiyo umefurahi kupotosha!!!? jamii mwenyewe nimesoma DIT na hakuna mkopo tulikuwa tunapewa nachojua mnapewa pesa ya field tu 444000 kila mwaka na mkiwa chuo mnapikiwa chakula ukijiunga na degree ndipo unapewa mkopo mda mwaingine muache porojo.
Duh umeeelewa kinachojadiliwa hapa Mkuuu au ndio Mahaba niue hata akili hatuipi nafasi kufikiri kwa kina chake
 
kwa hiyo umefurahi kupotosha!!!? jamii mwenyewe nimesoma DIT na hakuna mkopo tulikuwa tunapewa nachojua mnapewa pesa ya field tu 444000 kila mwaka na mkiwa chuo mnapikiwa chakula ukijiunga na degree ndipo unapewa mkopo mda mwaingine muache porojo.
Ada ulilipa sh ngapi
 
Diploma wanapewa mkopo inategemea na kozi unayosoma..afya ikiwemo
kozi ipi na chuo gani bavicha mmeishiwa mnadanganya hadi mambo ambayo kila m2 anajua ukweli wake diploma haina mkopo hata kama unasomea kutengeneza ndege.
 
Nimesoma huku JF mtu akilalamika kuhusu waliopitia diploma kwenda chuo kikuu akitaka wapewe mkopo wa chuo. Wanatokea watu huku jamiiforum wanawabeza eti iweje diploma kwenda chuo apewe mkopo.

Acha kudharau,hujui lolote funga domo lako.

Wakati mimi nasoma chuo kikuu wakati wa utawala wa Kikwete mpaka mwaka jana niliona walimu wanaojiendeleza degree wakiwa na mishahara yao na pia walikuwa na mikopo na unatakiwa kujua waliojiunga na chuo kikuu kupitia diploma walikuwa wengi kuliko mwaka huu. Na mwaka 2012 waliokuja kupitia diploma kuja chuo kikuu walipata mkopo.

Pia usipinge bila kujua, usifikiri kila aliyesoma diploma alikuwa na uwezo wa kujilipia hio diploma chuo. Kwa mfano wapo watu walipiga O-level vizuri wakaona advance kunawacheleweshea muda wakajaza vyuo kama DIT wakapiga diploma kwa kufadhiliwa na serikali. Leo hawana uwezo wa kujilipia degree maana hata ajira hawakupata. Anapodai haki yake wewe inakuhusu nini?

Pia umewahi jiuliza kuanzia mwaka jana kurudi nyuma mpaka waliokuwa wanasoma certificate za afya kwenye vyuo vya afya vya serikali walikuwa wanafadhiliwa na serikali, mwaka huu umejua iliishia wapi?

Kiuhalisia mambo yamekwenda ndivyo sivyo, tuwe wawazi. Sio kwa form six wala nani, bodi ya mkopo imeshindwa kuwafadhili wanafunzi. Jua wapo freshers wengi wameacha kupiga courses zenye uzito wakakimbilia ualimu kwa kuwa wamesoma arts wakijua wanapata mkopo na pia hawajapata mkopo.

HITIMISHO:
Ukiona mtu anadai haki yake usipinge kama hujui kwa nini anadai. Wacha wadai!
 
Tatizo umekurupuka kuandika hii mada,ungetulia chini ukaandika vizuri ungeeleweka.Ulichoandika unamaanisha wanaosoma diploma wamenyinmwa mikopo baadae unasema walio mwaka wa 4,Ninachofahamu kuwa wanaopewa kipaumbele kwenye mikopo ni wale waliotoka directly form six wanaingia na kwa diploma ni wachache sana wanaopewa mikopo (wenye passmark za juu)
Sio kweli
 
Hata ki diploma nacho mkopo? Tunapoelekea tutataka tukopeshwe hela ya kula
hujamuelewa mkuu huyo anachokimaanisha nikwamba wanafunzi waliomaliza diploma na kuhitaji kujiunga degree hao ndio hawajapewa mkopo, na bodi wamesema hawapewi mkopo bila sababu yoyote yaani iko kama ubabe wala sio wanaoenda kusoma diploma kama ulivyofikilia..halleluya
 
Elimu
Elimu inakufa hawamu hii.....

Na huku ndiko utoka engineers na watu kama Professor Mark

UOTE="technically, post: 18291299, member: 373722"]Elimu inakufa hawamu hii.....

Na huku ndiko utoka engineers na watu kama Professor Mark[/QUOTE]
haiwezi
Elimu haiwezi kufa ila utaratibu tu ndo mbovu
 
Elimu


UOTE="technically, post: 18291299, member: 373722"]Elimu inakufa hawamu hii.....

Na huku ndiko utoka engineers na watu kama Professor Mark
haiwezi
Elimu haiwezi kufa ila utaratibu tu ndo mbovu[/QUOTE]
Utaratibu mbovu umefanya elimu ife, elimu imekufa sasa ni upuuzi tu uliobakia.
Waliosababisha kifo cha elimu ni hawa madhalimu wa CCM.
 
Nimesoma huku JF mtu akilalamika kuhusu waliopitia diploma kwenda chuo kikuu akitaka wapewe mkopo wa chuo. Wanatokea watu huku jamiiforum wanawabeza eti iweje diploma kwenda chuo apewe mkopo.

Acha kudharau,hujui lolote funga domo lako.

Wakati mimi nasoma chuo kikuu wakati wa utawala wa Kikwete mpaka mwaka jana niliona walimu wanaojiendeleza degree wakiwa na mishahara yao na pia walikuwa na mikopo na unatakiwa kujua waliojiunga na chuo kikuu kupitia diploma walikuwa wengi kuliko mwaka huu. Na mwaka 2012 waliokuja kupitia diploma kuja chuo kikuu walipata mkopo.

Pia usipinge bila kujua, usifikiri kila aliyesoma diploma alikuwa na uwezo wa kujilipia hio diploma chuo. Kwa mfano wapo watu walipiga O-level vizuri wakaona advance kunawacheleweshea muda wakajaza vyuo kama DIT wakapiga diploma kwa kufadhiliwa na serikali. Leo hawana uwezo wa kujilipia degree maana hata ajira hawakupata. Anapodai haki yake wewe inakuhusu nini?

Pia umewahi jiuliza kuanzia mwaka jana kurudi nyuma mpaka waliokuwa wanasoma certificate za afya kwenye vyuo vya afya vya serikali walikuwa wanafadhiliwa na serikali, mwaka huu umejua iliishia wapi?

Kiuhalisia mambo yamekwenda ndivyo sivyo, tuwe wawazi. Sio kwa form six wala nani, bodi ya mkopo imeshindwa kuwafadhili wanafunzi. Jua wapo freshers wengi wameacha kupiga courses zenye uzito wakakimbilia ualimu kwa kuwa wamesoma arts wakijua wanapata mkopo na pia hawajapata mkopo.

HITIMISHO:
Ukiona mtu anadai haki yake usipinge kama hujui kwa nini anadai. Wacha wadai!
wengi wanabisha bila kuwa na sababu za msingi ilihali unakuta hajui kinachozungumzwa
 
Umekosa mkopo tafuta kazi ufanye.
Ukiweza jilipie, mbona swala la kawaida diploma kuto pata mikopo miaka yote? Kama umekalili shauri yako hakuna chuo cha kufunga kwaajili ya upuuzi huo.
Futa hiyo mada aibu tupu
 
Alie kwambia ukikosa mkopo elimu inakufa nani kama sio upumbavu.
Mbona mwaka 2004 tu kurudi nyuma hakukua na mkopo na watu walisoma tena vyuo vilikua na hadhi kubwa sasa bure isiwafanye mlemae na kujenga chuki za kijinga
 
H
kwa hiyo umefurahi kupotosha!!!? jamii mwenyewe nimesoma DIT na hakuna mkopo tulikuwa tunapewa nachojua mnapewa pesa ya field tu 444000 kila mwaka na mkiwa chuo mnapikiwa chakula ukijiunga na degree ndipo unapewa mkopo mda mwaingine muache porojo.
ujaelewa uchangie!!!
 
Back
Top Bottom