Serikali: Mkopo tuliopewa na IMF tutautumia kujenga madarasa na kuimarisha Huduma za Jamii vijijini

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,879
141,813
Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema serikali imepokea mkopo wa zaidi ya dola za Marekani 500m

Fedha hizo zitatumika kujazilizia kwenye Tozo za mshikamano na hivyo kujenga madarasa mengi zaidi kufikia zaidi ya 1000, kwa sasa tunajenga madarasa 550 kwa kutumia Tozo, amesema.

Pia mkopo huo wa masharti nafuu tutautumia kuimarisha Huduma za kijamii ikiwemo maji, umeme vijijini na barabara za vijijini, amesisitiza msemaji wa serikali.

Chanzo: TBC
 
Naomba kujua hayo masharti nafuu maana haluna aliyewahi kukopa alasema hajapewa madharti nafuu zaidi tunaona deni la taifa likipaa tu tangu kwa magufuli na sasa kwa samia.

Masharti hayo ni yapi?
 
Mkopo umetolewa kwa ajili ya kupambana na athari za COVID-19 lakini wahuni wanapeleka pesa kwingine!!!!

IMF Executive Board Approves US$567.25 Million in Emergency Support to Tanzania to Address the COVID-19 Pandemic​

September 7, 2021

  • The COVID-19 outbreak has led to the collapse of the tourism sector and amplified the need for significant financing to tackle the health and economic effects of the pandemic.
  • The IMF approved US$567.25 million in emergency financial assistance under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument to support the authorities’ efforts in responding to the pandemic by addressing the urgent health, humanitarian, and economic costs. The resources are also expected to play a catalytic role in their efforts to mobilize additional support from development partners.
  • The authorities also commit to strengthening governance and transparency to ensure that the financial resources are efficiently spent on addressing the crisis.
Washington, DC: The Executive Board of the International Monetary Fund (IMF) today approved a disbursement of SDR132.6 million (US$189.08 million) under the Rapid Credit Facility (RCF) and a purchase equivalent to SDR265.2 million (US$378.17 million) under the Rapid Financing Instrument (RFI), a total of SDR397.8 million (US$567.25 million or 100 percent of quota). This emergency financing will help finance Tanzania’s urgent balance of payment needs stemming from the outbreak of the COVID-19 pandemic.

Tanzania’s economic outlook has deteriorated due to the impact of the COVID-19 pandemic. With the collapse in tourism in the wake of travel restrictions, the economy reportedly decelerated to 4.8 percent growth in 2020, and growth is expected to remain subdued in 2021.Tanzania faces an urgent balance of payment need of about 1.5 percent of GDP as the authorities implement a comprehensive plan to mitigate the effects of the pandemic and preserve macroeconomic stability in the face of a reported third wave of the virus.

The disbursement under the RCF and purchase under the RFI will help finance the interventions needed to mitigate the severe socio-economic impacts of the pandemic and help catalyze support from development partners. The authorities have indicated that they are committed to pursuing economic policies appropriate for addressing the impact of the pandemic and are committed to strengthening coordination and transparency to ensure that RCF and RFI resources are spent on fighting the pandemic. These measures include publishing reports of RCF and RFI resources spent and undertaking a post-crisis audit of all pandemic-related spending.

Following the Executive Board’s discussion, Mr. Bo Li, Deputy Managing Director and Chair, issued the following statement:

"The COVID-19 pandemic has negatively impacted Tanzania’s macroeconomic outlook, and the health and wellbeing of its population. Growth decelerated in 2020 and is expected to remain subdued in 2021, increasing poverty and negatively affecting employment. Tanzania’s risk of external and public debt distress increased to moderate, mainly due to the pandemic’s effect on tourism exports. Tanzania’s macroeconomic outlook hinges on satisfactorily addressing the pandemic, but significant downside risks remain due to uncertainties surrounding the course of the pandemic.

"The authorities are implementing a comprehensive pandemic response plan—Tanzania COVID-19 Socioeconomic Response Plan (TCRP) —to address the fallout of the COVID-19 shock. Tanzania requires urgent financial assistance to implement the plan and avert the severe health, social and economic consequences of a reported third wave of the virus. Emergency support under the Rapid Credit Facility and Rapid Financing Instrument will substantially contribute to filling immediate external financing needs and help catalyze donor support. Temporarily loosening macroeconomic and financial policies will mitigate the pandemic’s adverse impact, by deploying a vaccination campaign, increasing health and social spending, and supporting the private sector. Prioritizing the health response, strengthening coordination and transparency to ensure that funds received are spent on fighting the pandemic, and regularly and transparently reporting epidemiological data will be critical for the plan’s success.

"Maintaining fiscal and debt sustainability, and preserving financial stability, while supporting the economy, will also be important. Closely monitoring the banking system’s health in light of increased banking sector vulnerabilities will be key.

"Once the crisis abates, the authorities appropriately intend to resume implementing reforms to achieve sustainable and inclusive growth. Their broader policy and reform agenda includes fiscal reforms to avoid domestic arrears and pay tax refunds on time, increasing support for education and health spending, and improvements to the business climate."

More information

IMF Lending Tracker (emergency financing request approved by the IMF Executive Board)
 
Mkopo umetolewa kwa ajili ya kupambana na athari za COVID-19 lakini wahuni wanapeleka pesa kwingine!!!!
IMF Executive Board Approves US$567.25 Million in Emergency Support to Tanzania to Address the COVID-19 Pandemic
September 7, 2021...
Hii wazungu wanaita mis allocation of funds/grants, inasababishwa na kukosa nidhamu kwenye matumizi, mtu wa aina hii anaweza kulewea pombe pesa aliyopanga kuwapelekea watoto wake nyama nyumbani, sasa tunapokuwa na viongozi wa sampuli hii inasikitisha zaidi, tuishi kwa matumaini tu.
 
Mtaalamu wa uchumi ameshauri "Mikopo yote ya Serikali" ipitishwe Bungeni (jicho la Wananchi) kwa kuidhinishwa, kinyume ni njia moja ya ufisadi kitaifa
 
Mtu anakukopesha pesa kwa riba nafuu ukalipe ada wewe unaenda kununua Smart TV.

Hii haitafanya tutondolewe hayo masharti nafuu kwa vile tumeenda kinyume na lengo liliokusudiwa?

Au kwa vile wameonja za tozo wkaamua wafuje na za huu mkopo bila kufuata taratibu na masharti ya mkopo?
 
Mtaalamu wa uchumi ameshauri "Mikopo yote ya Serikali" ipitishwe Bungeni (jicho la Wananchi) kwa kuidhinishwa, kinyume ni njia moja ya ufisadi kitaifa
Bunge lipi?.

Hao kina Halima, Esta sq, roho zao kashikilia Bw Kipaza sauti...wakimkera tu wamekwisha.
 
Mfadhiri gani anayekubali kutoa Mkopo kwa ajiri ya Corona, Mkopo huo huo utumike kwa shughuli nyingi ya Umeme, barabara.
hakuna Mahusiano yeyote kati ya Corona Na Umeme, barabara

Hii Serikali imeanza kusema Uongo
 
Hii nchi ni ya kipuuzi Sana ,yaan wanasiasa wamekomaa na ujenzi wa madarasa mwanzo mwisho wakat hawatak kuajir walimu.

Shule ina wanafunz 1000 walimu 7 ,huu ni upumbavu wa Hali ya juu Sana ,sijui ndio mkakat wa kuendelea kuzalisha wenye upeo mdogo ili waendelee kututawala milele yote.

Kila kukicha ujenzi wa vyumba vya madarasa na hii inatokana na siasa kujichimbia kwenye swala la elimu ,maafisa elimu wanaiba mitihani hasa ya primary ili waendelee kubakia kwenye vyeo vyao ,ajabu mitoto hata isiojua kusoma na kuandika inaenda secondary ,yaan inaenda kujaza tu nafasi ili mradi iondkane ufaulu umeongezeka na hiyo ndio credit kwa wanasiasa.

Nasemaje acheni huo ujambaz wa kuiba mitihani ,watoto wafaulu kwa uelewa wao alafu uone sec wataenda wangap na wakienda walio halal lazima vyumba vya madarasa vitoshe tu, mnapeleka vilaza sec alafu mnakosa pa kuwahifadhi huku mkiwabebesha mzigo mzito walimu ambao kwa idad hawatoshi kabisa.

Hizo pesa ajiri walimu na sekta zingine km ni shule tunazo nyingi pia vyumba vitatosha endapo mtaacha siasa kwenye elimu.
 
Tuseme tu ukweli, hii nchi imeshakua ngumu! Yaani tunavurugwa vurugwa tu. Wanaongeza tu idadi ya madarasa kupitia hela za TOZO, kodi, mikopo yenye riba kutoka IMF na WB!

Kamwe huwezi kusikia wakijenga/wakiongeza nyumba za walimu au kuongeza uwiano kati ya idadi ya walimu dhidi ya hao wanafunzi wanao ongezeka kila siku!
 
Kwenye maji na madarasa sawa ila kwenye umeme na barabara Vijijini sio sawa..

Umeme Vijijini kwa sasa bado maeneo machache tuu lakini kwa barabara tayari kuna tozo ya mafuta imeongeza bajeti..

Ingefaa angalau nusu ya hizo pesa jengeni japo km 400 za lami kuliko kwenda kufungua barabara za udongo ambazo mvua ikinyesha hazitapitika tena..

Ni kweli maeneo mengi ya vijiji yanahitaji barabara ila tungemaliza barabara kuu kwanza
 
Back
Top Bottom