Adharusi
JF-Expert Member
- Jan 22, 2012
- 14,401
- 7,307
Mpaka dakika hii wafanyakazi wa Umma kigoma,Manispaa na wilaya zake hawajapata mishahara na wengi hawajui tatizo ni nini kuna mtumishi nilimpigia Kigoma anasema ameambiwa PP hazijafika na yeye aelewi PP ni nini mi mwenyewe sijui naomba wahasibu watuambie au serikali imekosa FEDHA,hali ni mbaya kwa watumishi wengi wanategemea mishahara kuishi pia ni Haki yao Kikatiba kupewa Ujira wao,watu wa Tamisem kama mpo toeni ufafanuzi Hali ni mbaya.
Angalizo msilete utani katika uzi huu ndugu zetu maisha yamekuwa magumu
Source watumishi mbalimbali Kigoma kutoka wilaya zote.
Mods usiondowe huu UZI
CC-Zitto,Kafurila
Mshahara wa mwezi wa tano,leo tr 5
Angalizo msilete utani katika uzi huu ndugu zetu maisha yamekuwa magumu
Source watumishi mbalimbali Kigoma kutoka wilaya zote.
Mods usiondowe huu UZI
CC-Zitto,Kafurila
Mshahara wa mwezi wa tano,leo tr 5