Serikali mkimuachia Erick Kabendera kwa shinikizo la walio nyuma yake, nitaidharau maisha yangu yote. Onyesheni msimamo thabiti

Una uhakika ameonewa?
Hata Max melo mmiliki wa JF ukiandika chochote negative kuhusu yeye uzi unafutwa halafu na ban unapigwa pamoja na yeye kujinadi kama champion wa uhuru wa habari na kujieleza..
yaani kitu una mamlaka nacho afu kikusumbue
 
Asie jua maana haambiwi maana bali huachwa na upumbavu wake ,wewe ni pumbavu,
Kazi anayoifanya kabendera ni mwanzo tu ,hana tofauti na hao uliowataja,serikali ilichofanya ni kunuwahi
Wewe juha huna la kunifundisha mimi, wana CCM wenye akili kina mzee Kinana ndo mnawapiga Vita, wewe unachojua ni kula, kulala na kwenda chooni tu, zaidi ya hapo huna lolote kichwani
 
Una uhakika ameonewa?
Hata Max melo mmiliji wa JF ukiandika chochote negative kuhusu yeye uzi unafutwa halafu na ban unapigwa pamoja na yeye kujinadi kama champion wa uhuru wa habari na kujieleza..
yaani kitu una mamlaka nacho afu kikusumbue
English bora ya msomi wa CCM hiyo Did they wrote email direct to the USA government?,or they were deeply concerned? by press released only
 
Una uhakika ameonewa?
Hata Max melo mmiliji wa JF ukiandika chochote negative kuhusu yeye uzi unafutwa halafu na ban unapigwa pamoja na yeye kujinadi kama champion wa uhuru wa habari na kujieleza..
yaani kitu una mamlaka nacho afu kikusumbue
Shukrani kwa kuliweka wazi hili jambo
 
Kiujumla tatizo letu watanzania ni uelewa/ufahamu mdogo wa masuala mengi.
Mtu akitokea akanunua smartphone anajitokeza kuelezea watu kiasi cha uelewa wake mdogo alichonacho.
Kwa taarifa tu, mataifa makubwa wanatujua vilivyo: kiuchumi, kijamii, na kisiasa. Wakisema jambo wanakuwa na data; hawakurupuki.
Mkiguswa kwenye masuala ya haki za binadamu mnalalama. Tanzania tumetia saini Makubaliano ya Haki za Binadamu. Leo mnaukana.
Si mara ya kwanza kuwabambikia watu kesi
Hujui na hutajua dunia inavyoendeshwa,,karirishwa haki za binadamu na wavunjaji vinara wa haki duniani
 
Nimeweka maneno matatu tu ya kiingereza lakini ndo umeona uanzie hapo, na sidhani kama nimekosea na naamini na wewe pia umeelewa.
Unadhani press realease ndo itamfanya aachiwe?

Chalii is paying the price..
English bora ya msomi wa CCM hiyo Did they wrote email direct to the USA government?,or they were deeply concerned? by press released only
 
Hujui na hutajua dunia inavyoendeshwa,,karirishwa haki za binadamu na wavunjaji vinara wa haki duniani
Ningependa sana kuamini ulichoandika ila nimeingiwa na mashaka kwa sababu to tell by the face of it sioni ninachoweza kujifunza kutokana na maoni yako.
Kama ni kukaririshwa kama unavyodai, nafuuu ya ukasuku wangu.
Nitajifunza siku ukiandika jambo lenye mashiko.
Nikuulize swali: Ziwe nchi za Magharibi, Mashariki, Kaskazini au Kusini, zote ni kandamizi za Haki za Binadamu. Ni serikali za mataifa na ya bara gani yamekithiri kwa ukandimizaji? Ni serikali na za mataifa kutoka bara/mabara gani zimejitokeza kutetea binadamu wanaoteswa na au kuuliwa? Ulisikia wapi mataifa ya watu walioendelea, waloostarabika, na waungwana wakitetea au kutekeleza mauaji na uhalifu wa aina hiyo nchini mwao?
Wanyarwanda walipokuwa wanauana viongozi wa Bara la Afrika hawakuwa na usaidizi.
 
Kama unataka nchi ijiamulie inavyotaka fanya harakati ya kujitoa kwenye mikataba ya haki za binadamu ili mtukaange mnavyotaka
Nimewasikia CPJ wameiandikia barua serikali ,ni waraka wa kijinga sana kutaka Kabendera aachiwe.
Sijawasikia wakiiandikia British, au Amerika dhidi ya Assange na Snowden kinachoendelea dhidi yao.

CPJ inatumika vibaya sana waziwazi,na walioko nyuma ya CPJ wanajulikana. wanajaribu kulinda maslahi yao kwa kivuli cha haki za waandishi wa habari,kifupi ni mapambano ya vita vya kiuchumi.

Tunataratibu na sheria zetu, pia namna ya kushughulikia makosa ya aina zote kwa mujibu wa sheria za nchi kwa mujibu wa katiba.
Hatuwezi kama nchi kupangiwa namna ya kuandaa mashitaka na kushitaki.
Mahakama zipo na washitakiwa watakua watuhumiwa (innocent) mpaka hapo mahakama itakapomtia hatiani muhusika.

Kabendera kashitakiwa, makosa yake hayana dhamana ndio sheria inavyosema, na hajawekwa kizuizini, kisha fikishwa mahakamani na kusomewa mashitaka yanayomkabili

Ifike mahala nchi ijisimamie kama taifa huru, wanachotaka kukifanya na wafanye tuwajue dhumuni na rangi yao halisi.

Dunia imejaa double standard sana,umoja wetu na misimamo thabiti ndio itakayo tuvusha,
Lengo lao ni kuona nchi haipigi hatua ya kimaendeleo, wanapenda kuona tukiwategemea wao na kuwapigia magoti, hii ndio furaha yao.

Serikali na sisi wananchi wazalendo tusimame kwa nguvu zote kuhakikisha dola yetu haiingiliwi hovyo na wahuni kwa kigezo cha demokrasia na uhuru wakujieleza ,lazima mipaka iwepo inapoonekana kuna upotoshaji
 
Kama unataka nchi ijiamulie inavyotaka fanya harakati ya kujitoa kwenye mikataba ya haki za binadamu ili mtukaange mnavyotaka
Mikataba mnawekewa nyie mafukara,ningekua kiongozi mkuu ningepuuza tu
 
Najua wengi hamtaamini hili
Kitendo cha hao watu kuingilia kesi ya kabendera ndo wamezidi kumharibia jamaa..yaan ndo wameharibu kabisa
watamsotesha hadi awe mpole mwenyewe.
Amini nawaambia.
Hujamjua mzungu wewe. Kuna kona utajaa tu its matter of time
 
Acha kutokwa povu kwa usilolijua,kwa taarifa tu,katakatisha mara nyingi tu pesa za gazeti la economist na blombeger
So kampuni haijaliona hilo???? Hivi mwandishi atakatishe fedha za kampuni alafu manager yupo tu??? Au kampuni ya Economist ina mwandishi mmoja??? Hela za kampuni zimerakatishwa serikali kinawahusu nini mamaee???? Mbona kampuni haijamshtaki?? Kalalee mbele huko
 
20 Reactions
Reply
Back
Top Bottom