Serikali: Mchakato wa Katiba Mpya na maboresho ya Sheria ya vyama vya Siasa na Uchaguzi, sasa kuanza

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,807
11,969
MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUTENGEWA FUNGU KWENYE BAJETI YA 2023/ 2024

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa mchakato wa Katiba Mpya pamoja na maboresho ya sheria ya vyama vya siasa na Uchaguzi unatarajiwa kuanza kufanyiwa kazi baada kupitishwa kwa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Waziri Ndumbaro ameyasema hayo jana Machi 24, 2023 alipokuwa akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi la wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma.

Akizungumzia mchakato wa katiba mpya Ndumbaro alisema kuwa marekebisho yataanza baada ya kupitishwa kwa michakato ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kupitia Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo na mwisho kuidhinishwa na Bunge.

“Mchakato wa Katiba mpya ni agizo la Rais Samia Suluhu Hassan, hivyo ili kufanikiwa inahitaji rasilimali fedha nyingi na wajumbe wa kikao cha baraza la wafanyakazi mtambue mna jukumu hilo la kupitia mapebdekezo ya baheti ya mwaka huu (2023/2024) ili kufanikisha mambo hayo makubwa ya kitaifa” alisema Waziri Ndumbaro

Ikumbukwe Rais Samia Suluhu Hassan aliagiza Wizara kuanza kujipanga kwa ajili mchakato wa marekebisho ya Katiba. Hata hivyo Rais Samia kupitia kauli yake ambayo aliitoa Machi 8, 2023 kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake aligusia suala hilo kuwa mchakato wake hauwezi kupelekwa haraka haraka lakini Serikali inalifanyia kazi.
 
MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUTENGEWA FUNGU KWENYE BAJETI YA 2023/ 2024

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa mchakato wa Katiba Mpya pamoja na maboresho ya sheria ya vyama vya siasa na Uchaguzi unatarajiwa kuanza kufanyiwa kazi baada kupitishwa kwa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Waziri Ndumbaro ameyasema hayo jana Machi 24, 2023 alipokuwa akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi la wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma.

Akizungumzia mchakato wa katiba mpya Ndumbaro alisema kuwa marekebisho yataanza baada ya kupitishwa kwa michakato ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kupitia Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo na mwisho kuidhinishwa na Bunge.

“Mchakato wa Katiba mpya ni agizo la Rias Samia Suluhu Hassan, hivyo ili kufanikiwa inahitaji rasilimali fedha nyingi na wajumbe wa kikao cha baraza la wafanyakazi mtambue mna jukumu hilo la kupitia mapebdekezo ya baheti ya mwaka huu (2023/2024) ili kufanikisha mambo hayo makubwa ya kitaifa” alisema Waziri Ndumbaro

Ikumbukwe Rais Samia Suluhu Hassan aliagiza Wizara kuanza kujipanga kwa ajili mchakato wa marekebisho ya Katiba. Hata hivyo Rais Samia kupitia kauli yake ambayo aliitoa Machi 8, 2023 kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake aligusia suala hilo kuwa mchakato wake hauwezi kupelekwa haraka haraka lakini Serikali inalifanyia kazi.
View attachment 2565567
Sina hakika kama Katiba Mpya itaniongezea chochote Cha maana kwenye maisha yangu hasa nikiangalia kinachoendelea Kenya ,South Africa,Ufaransa..

Hizi mambo nadhani zinawasaidia zaidi Wanasiasa,so ikipatikana sawa isipopatikana sawa.
 
MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUTENGEWA FUNGU KWENYE BAJETI YA 2023/ 2024

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa mchakato wa Katiba Mpya pamoja na maboresho ya sheria ya vyama vya siasa na Uchaguzi unatarajiwa kuanza kufanyiwa kazi baada kupitishwa kwa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Waziri Ndumbaro ameyasema hayo jana Machi 24, 2023 alipokuwa akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi la wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma.

Akizungumzia mchakato wa katiba mpya Ndumbaro alisema kuwa marekebisho yataanza baada ya kupitishwa kwa michakato ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kupitia Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo na mwisho kuidhinishwa na Bunge.

“Mchakato wa Katiba mpya ni agizo la Rais Samia Suluhu Hassan, hivyo ili kufanikiwa inahitaji rasilimali fedha nyingi na wajumbe wa kikao cha baraza la wafanyakazi mtambue mna jukumu hilo la kupitia mapebdekezo ya baheti ya mwaka huu (2023/2024) ili kufanikisha mambo hayo makubwa ya kitaifa” alisema Waziri Ndumbaro

Ikumbukwe Rais Samia Suluhu Hassan aliagiza Wizara kuanza kujipanga kwa ajili mchakato wa marekebisho ya Katiba. Hata hivyo Rais Samia kupitia kauli yake ambayo aliitoa Machi 8, 2023 kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake aligusia suala hilo kuwa mchakato wake hauwezi kupelekwa haraka haraka lakini Serikali inalifanyia kazi.
View attachment 2565567
"Rasilimali fedha nyingi na wajumbe" hii kitu HAIKO SAWA vinginevyo ni mbinu ya upigaji wa Fedha kwa kwenda mbele!!
Ile Rasimu ya warioba iwapi??
 
MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUTENGEWA FUNGU KWENYE BAJETI YA 2023/ 2024

Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa mchakato wa Katiba Mpya pamoja na maboresho ya sheria ya vyama vya siasa na Uchaguzi unatarajiwa kuanza kufanyiwa kazi baada kupitishwa kwa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Katiba na Sheria kwa mwaka wa fedha 2023/2024.

Waziri Ndumbaro ameyasema hayo jana Machi 24, 2023 alipokuwa akifungua kikao cha baraza la wafanyakazi la wizara hiyo kilichofanyika jijini Dodoma.

Akizungumzia mchakato wa katiba mpya Ndumbaro alisema kuwa marekebisho yataanza baada ya kupitishwa kwa michakato ya makadirio ya mapato na matumizi ya wizara hiyo kupitia Baraza la Wafanyakazi wa wizara hiyo na mwisho kuidhinishwa na Bunge.

“Mchakato wa Katiba mpya ni agizo la Rais Samia Suluhu Hassan, hivyo ili kufanikiwa inahitaji rasilimali fedha nyingi na wajumbe wa kikao cha baraza la wafanyakazi mtambue mna jukumu hilo la kupitia mapebdekezo ya baheti ya mwaka huu (2023/2024) ili kufanikisha mambo hayo makubwa ya kitaifa” alisema Waziri Ndumbaro

Ikumbukwe Rais Samia Suluhu Hassan aliagiza Wizara kuanza kujipanga kwa ajili mchakato wa marekebisho ya Katiba. Hata hivyo Rais Samia kupitia kauli yake ambayo aliitoa Machi 8, 2023 kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake aligusia suala hilo kuwa mchakato wake hauwezi kupelekwa haraka haraka lakini Serikali inalifanyia kazi.
View attachment 2565567
Naiona nia ya dhati ya Samia kufanikisha huu mchakato, hofu yangu ni kwa makada (vigogo) wa ccm wanaonufaika na katiba iliyopo na wenye nia ya kugombea urais huko mbeleni.
 
Jua maswali haya kabla ya kuweka katiba mpya:
1.what is the supreme law of the land? It is a constitution.
2.what does the constitution do? It does three things:
i) sets up the government
ii)define the government.
iii)protects basic rights of Tanzanians.
2.what stops one branch of the government from becoming too powerful? There are two methods.
i)check and balance
ii)separation of powers
3.what is the rules of law? there are four:
i)everyone must follow the law.
ii)leaders must obey the law.
iii)government must obey the law.
iv)no one is above the law.

Swali la nne ni bora kwa sababu ndilo linalo washika wala rushwa na kuwawajibisha viongozi. Katika swali la nne bila kuweka kipengere cha kumshitaki mtawala mahakamni basi katiba mpya haina maana yeyote ile. kwa sababu haki ya kuwa hamna mtu ambaye yupo above the law itakuwa imekiukwa.
 
Back
Top Bottom