Ili Serikali ya Tanzania iachwe kusumbuliwa na wazungu na viongozi wake kuandamwa, itisheni kura ya maoni kwa wananchi kwa swali moja tu.
1: Je unakubali ushoga?
a. Ndiyo
b. Hapana.
Mnajua wazi halitapita wananchi watalikataa, hivyo wazungu wakiwa wanawafuata mnasema mnaheshimu demokrasia, na tena waiteni wazungu wawemo ktk kuhesabu hizo kura. Bila kuwanyamazisha hawa wazungu kwa kura ya wazi watawasumbua sana kila siku watakuwa na pretext zao ili kukusumbueni tu.
Hili dubwasha hapa chini viongozi wetu labda wawili ama watatu walishapiga saini, litawasumbua sana bila kulipeleka kwa kura za maoni kwa wananchi.
1: Je unakubali ushoga?
a. Ndiyo
b. Hapana.
Mnajua wazi halitapita wananchi watalikataa, hivyo wazungu wakiwa wanawafuata mnasema mnaheshimu demokrasia, na tena waiteni wazungu wawemo ktk kuhesabu hizo kura. Bila kuwanyamazisha hawa wazungu kwa kura ya wazi watawasumbua sana kila siku watakuwa na pretext zao ili kukusumbueni tu.
Hili dubwasha hapa chini viongozi wetu labda wawili ama watatu walishapiga saini, litawasumbua sana bila kulipeleka kwa kura za maoni kwa wananchi.
OHCHR | LGBT UN Resolutions
www.ohchr.org