Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,887
Imekuwa ni wimbi wa kila mwaka ifikapo January watu kupiga kelele ukata. Ni wazi kuwa mwezi january uchumi huwa unadorora. Si vizuri kulialia kila mwaka.
Serikali/mabenki wangekuja na mkakati wa kutoa mkopo special kwa mwezi january. Kama mtu mshahara wake takehome ni laki sita basi akapeshwe sita nyingine, ailipe kwa miezi kumi na moja. Kama mfanyabiashara anarejesha kila mwezi basi walau akopeshwe kama rejesho lake, iwe kama hajarejesha mwezi huo.
Kudorora kwa uchumi mwezi january ni tatizo na si kitu cha kukichekea au kikifanyia utani. Kinahitaji suluhisho. Unafikiri nini kifanyike kuboost uchumi mwezi january?
Serikali/mabenki wangekuja na mkakati wa kutoa mkopo special kwa mwezi january. Kama mtu mshahara wake takehome ni laki sita basi akapeshwe sita nyingine, ailipe kwa miezi kumi na moja. Kama mfanyabiashara anarejesha kila mwezi basi walau akopeshwe kama rejesho lake, iwe kama hajarejesha mwezi huo.
Kudorora kwa uchumi mwezi january ni tatizo na si kitu cha kukichekea au kikifanyia utani. Kinahitaji suluhisho. Unafikiri nini kifanyike kuboost uchumi mwezi january?