meddie
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 434
- 125
Kinachotendeka sasa hivi Mbeya, Dar na Arusha ni matokeo ya kuwa na serikali legelege na viongozi wasiomakini! Viongozi wetu wameingia madarakani kwa nguvu ya rushwa, kuiba kura/kuchakachua kura na kutegemea waganga matokeo yake wameshindwa kuyapa majibu sahihi matatizo ya wananchi badala yake wanatumia mbwa wao (mapolisi) ilikugandamiza wananchi na iliwatawale!
Napenda wajue; mabadiliko ya kijamii na kiuchumi hayajibiwi kwa mabomu!
Napenda wajue; mabadiliko ya kijamii na kiuchumi hayajibiwi kwa mabomu!