Mayunga234
JF-Expert Member
- Feb 17, 2017
- 1,726
- 1,989
Hizi online Media bora Serikali Wazifungie kwasababu kumekuwa na Online Media kibao ambazo zinachochea upumbavu na Ujinga, Online Media zimejaaa content za Kijinga zisizokuwa na maana yeyote
Ni Bora zibaki Media 4 ila zinatoa content za maana na kuna watangazaji waliosomea utangazaji sio hawa viropo ropo wa Online Media
Online Media zifungwe hazina Maana yeyote kwa Jamii na hazichangii maendeleo yeyote zaidi ya kuaribu na kuchonganisha watu
Serikali tunaomba Mliangalie hili hizi Online Media ni Useless Kabisa hazina maana yeyote zipo kwaajili ya kuchochochea Ujinga tuu
#Abolishing Online Media
Ni Bora zibaki Media 4 ila zinatoa content za maana na kuna watangazaji waliosomea utangazaji sio hawa viropo ropo wa Online Media
Online Media zifungwe hazina Maana yeyote kwa Jamii na hazichangii maendeleo yeyote zaidi ya kuaribu na kuchonganisha watu
Serikali tunaomba Mliangalie hili hizi Online Media ni Useless Kabisa hazina maana yeyote zipo kwaajili ya kuchochochea Ujinga tuu
#Abolishing Online Media