FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Najua vijijini na kwenye kata hakuna mawakala wa ttcl na airtel, kwanini msiwaajili walimu hawa wanaojua customer service vizuri wakawa mawakala kwa kuwapa mafunzo kidogo ya kutatua matatizo ya mtandao. Mh Dr. Jakaya Kikwete aliwahi sema 'degree yeyote mtu anaajiliwa kazi yeyote kutoa sheria na udaktari'bahati mbaya sina idadi tangu 2010 mpaka sasa wapo wanafunzi wangapi.