The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,137
Twende moja kwa moja kwenye nada..
Kuna tabia imezuka kwenye utumishi wa Umma ya kuwapa watu ajira za mikataba licha ya kwamba wamestaafu.Tabia hii imekita mizizi kwa TANROADS na TARURA.
Tabia hii ilianzishwa na Serikali ya awamu ya 5 kwa kuwaongezea mameneja wa Mikoa, mtendaji mkuu na wakurugenzi wengine Wizarani na Makao Makuu ya Tanroads mikataba licha ya kwamba wamestaafu utumishi wa Umma..
Hivi unaanzaje kuwapa watu mikataba kwenye ngazi za administration? Si afadhari wawape mikataba watu kwenye Nafsi za utendaji ambazo zina upungufu mkubwa na ni za muhimu zaidi kwa sababu ni operational in nature?
Pili kuna tatizo kubwa la ajira Nchini lakini cha ajabu mnaendelea kuwapa mikataba watu waliostaafu badala ya ku recruit staff wapya. Hivo hata ile inaitwa Succession plan kwenye taasisi itafanikiwaje ikiwa mnawa ng'amg'ania wazee mpaka wanafia maofisini?
Kazi zenyewe hawawezi,wanalala mda mwingi,wanawahi kuondoka ofisini sababu za uchovu na wanafanya Kazi kwa mazoea badala ya kuendana na Kasi na ubunifu?
Wizara ya Utumishi ikomeshe hii tabia, unawapaje Kazi za mikataba watu waliostaafu na mbaya zaidi kwenye Nafasi za Management badala ya nafasi za kiutendaji.
Utashangaa maofisa wakubwa kwenye Idara mbalimbali za serikali ndio wanaongezewa mikataba lakini manesi au madaktari wa kawaida wakistaafu hawapewi hiyo mikataba. What is the rationale behind this?
Haya ni matusi kwa maelfu ya graduates walioko mtaani kwa kukosa ajira wakati kuna watu wanastaafu utumishi wa Umma na wanaendelea kuongezewa mikataba.
Kama kuna haja ya kuwapa mikataba watu waliostaafu basi iwe ni kweli kada za watendaji na palipo na upungufu au panapohitaji utaalamu wa kipekee lakini sio kama inavyofanyika sasa hivi.
Tunaomba Waziri wa Utumishi ukomeshe hii tabia na chunguza kwenye taasisi tajwa hapo juu,hai make sense kuongezea mikataba watu waliochoka na wasio hata na ufanisi kwenye utendaji.
Kuna tabia imezuka kwenye utumishi wa Umma ya kuwapa watu ajira za mikataba licha ya kwamba wamestaafu.Tabia hii imekita mizizi kwa TANROADS na TARURA.
Tabia hii ilianzishwa na Serikali ya awamu ya 5 kwa kuwaongezea mameneja wa Mikoa, mtendaji mkuu na wakurugenzi wengine Wizarani na Makao Makuu ya Tanroads mikataba licha ya kwamba wamestaafu utumishi wa Umma..
Hivi unaanzaje kuwapa watu mikataba kwenye ngazi za administration? Si afadhari wawape mikataba watu kwenye Nafsi za utendaji ambazo zina upungufu mkubwa na ni za muhimu zaidi kwa sababu ni operational in nature?
Pili kuna tatizo kubwa la ajira Nchini lakini cha ajabu mnaendelea kuwapa mikataba watu waliostaafu badala ya ku recruit staff wapya. Hivo hata ile inaitwa Succession plan kwenye taasisi itafanikiwaje ikiwa mnawa ng'amg'ania wazee mpaka wanafia maofisini?
Kazi zenyewe hawawezi,wanalala mda mwingi,wanawahi kuondoka ofisini sababu za uchovu na wanafanya Kazi kwa mazoea badala ya kuendana na Kasi na ubunifu?
Wizara ya Utumishi ikomeshe hii tabia, unawapaje Kazi za mikataba watu waliostaafu na mbaya zaidi kwenye Nafasi za Management badala ya nafasi za kiutendaji.
Utashangaa maofisa wakubwa kwenye Idara mbalimbali za serikali ndio wanaongezewa mikataba lakini manesi au madaktari wa kawaida wakistaafu hawapewi hiyo mikataba. What is the rationale behind this?
Haya ni matusi kwa maelfu ya graduates walioko mtaani kwa kukosa ajira wakati kuna watu wanastaafu utumishi wa Umma na wanaendelea kuongezewa mikataba.
Kama kuna haja ya kuwapa mikataba watu waliostaafu basi iwe ni kweli kada za watendaji na palipo na upungufu au panapohitaji utaalamu wa kipekee lakini sio kama inavyofanyika sasa hivi.
Tunaomba Waziri wa Utumishi ukomeshe hii tabia na chunguza kwenye taasisi tajwa hapo juu,hai make sense kuongezea mikataba watu waliochoka na wasio hata na ufanisi kwenye utendaji.