ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,554
- 44,724
Hata kama Serikali haiwezi kuajiri vijana wake ila sio kihivyo aisee maana kila nikiingia Ajira Portal nakuta nafasi sifuri au moja. Sasa sijajua Ina maana huko maofisini watu hawafi au hawastaafu? Inasikitisha kwa kweli hata kuajiri wahitimu 100 tu kila mwezi nako ni changamoto?