Serikali kuzuia website za XXX ni kuingilia uhuru wa wananchi wake

Madhara ni makubwa

Screenshot_20210903_094604.jpg


Screenshot_20210903_094624.jpg


Screenshot_20210903_094613.jpg
 
Habari wadau!

Binafsi sio muangaliaji wa hizo picha wala video huko nilishapita zamani na nimeoa nina familia ila mara moja moja huwa naingiaga ili kufanya review ya mapigo mapya ya kupractice katika yalee mambo yetu ya mshedede.

Nasikia S/kali imezuia hii mitandao ya XXX binafsi nipo na mtazamo tofauti naona kama ss S/kali imeanza kuongozwa kidini wakati serikali yetu inajitanabaisha kwamba haina dini,nadhani huku ni kuingilia uhuru wa watu kitu ambacho si kizuri.

Hapa nadhani serikali ilipaswa kutunga sera za kuzi-monitor hizi website na wala sio kuzuia kabisa maana itaenda kuathiri sekta ya mawasilaino sababu matumizi ya bundle za internet yatapungua hivyo inaweza ikawa pigo lingine kwa makampuni ya simu ,yaani bora wangeweka Tozo kuliko kuzuia kabisa.

Sasa tutarajie kuibuka tena kwa vibanda umiza vya XXX kama zama zile za 1990's na kuibuka kwa soko la ndani la waigizaji wa hizi sinema maana demand itakuwa kubwa sana nchini.
Katika hilo ninaiunga mkono serikali 199.99%
 
CCM wanaelekea kuiva kuwa madikteta kamili, Jiwe aliwaonesha njia.

Na wanaofurahia hili watambue tu kuwa huu ni mwanzo tu, watarudi hapahapa kulalamika.
 
Safari yake bi mkubwa ya Rwanda ndo imeleteleza haya. Yaani hata VPN inagoma kabisa.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom