Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Baada ya kupokonya hoja ya Mh. Mnyika kuhusu uundwaji wa katiba mpya serikali imetangaza leo bungeni kuwa itawasilisha muswada wa kuundwa kwa Tume itakayoratibu mchakato wa Katiba hiyo katika mkutano wa Tatu wa Bunge la 10, Aprili mwaka huu.
Source: HabariLeo
Source: HabariLeo