Jaffary
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 806
- 385
Baada ya tuhuma nzito ya moja ya chombo cha serikali TISS tunatarajia serikali kuwafungulia mashtaka wakati wowote kutoka sasa. Hii ni defamation kwa serikali na kama serikal haitachukua hatua yoyote itakuwa imetuaminisha sisi wananchi tusioamini juu ya matendo ya kinyama inayotuhumiwa kuyafanya. Kwa hiyo serikal sasa mda umefika kwa nyie kujisafisha mbele ya jamii kwa kuwaburuza hawa cdm mahkman