Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Duuh kila kundi Kwenye jamii yetu tutakuwa na vitambulisho?
Ni UHAKIKI...UHAKIKI...UHAKIKI...UHAKIKI...UHAKIKI....kila kona !!!
Kila siku ni uhakiki lakini HAKUNA UBORESHAJI hata kiduchu....!!!
Huu ni utawala wa Vichaa kuwahi kutokea Tanzania kama siyo duniani kote!!!