the intelligence
Member
- Sep 19, 2017
- 8
- 5
Serikali pendwa
maafisa utumishi waliingiwa woga na kuacha kutoa maelezo ni kwa namna gani mtu aliajiriwa kwa nyaraka zipi za kielimu.Wakawaingiza kwenye hewaMaafisa utumishi wao ndo waliotoa amri ya kufanyika uhakiki?
Na haya maandamano yanayosemekana, pia yanachochewa na vitu kama hivi.Mambo mengine yanauudhi,serikali inawayumbisha wafanyakazi sana na hali hii inapunguza molali wa kazi.
Watauza matairi na mafuta ya hizo gariMadereva waliofutwa kazi eti sio fomufo nao wanapeta, sasa ndio mtarogwa vizuri
Vyeti feki kurdishwa kazini!Yaani kama kuna wakati wananchi wanatakiwa kujionea ufahari ni huu. Kwa khaki ilivyo sasa tunakwenda kwenye wakati ambapo watawala wa kisiasa wanawahitaji wananchi kulikoni wananchi wanavyowahitajo watawalao hao.
Sasa hapa market as the situation means ni inshu ya sell & buy
Over
View attachment 706317
Video
Katibu Mkuu ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Dr Laurean Ndumbaro amesema watumishi waliondolewa kimakosa katika mfumo wa mishahara na utumishi katika zoezi la uhakiki wa vyeti feki na zoezi la kuondoa darasa la saba warudishwe kazini mara moja, aidha ameziagiza kwa kuziandikia barua mamlaka zote za ajira, mamlaka za mikoa na serikali za mitaa kuharakisha zoezi hilo,
Dr Ndumbaro alikua akiongea na waandishi wa habari nakuwajuza maamuzi hayo ya serikali amesema" Kama mtumishi aliajiriwa kwa sifa ya darasa la saba na faili lake linaonyesha amemaliza kidato cha nne huyo ni feki,
lakini kama mtumishi aliajiriwa kama darasa la saba tarehe 20.5.2004 na ameondolewa kwa kukosa sifa za kidato cha nne hao watarudishwa kazini haraka,
aidha amesema serikali bado inapitia rufaa za vyeti feki na hatima ya waliondolewa na ikimaliza zoezi hilo litatoa hatima ya watumishi hao katika matandao wake wa mawasiliano ya umma kwa kuchapisha majina ya watumishi wanaorejeshwa kazini"
View attachment 706317
Video
Katibu Mkuu ofisi ya Rais menejimenti ya utumishi wa umma na utawala bora Dr Laurean Ndumbaro amesema watumishi waliondolewa kimakosa katika mfumo wa mishahara na utumishi katika zoezi la uhakiki wa vyeti feki na zoezi la kuondoa darasa la saba warudishwe kazini mara moja, aidha ameziagiza kwa kuziandikia barua mamlaka zote za ajira, mamlaka za mikoa na serikali za mitaa kuharakisha zoezi hilo,
Dr Ndumbaro alikua akiongea na waandishi wa habari nakuwajuza maamuzi hayo ya serikali amesema" Kama mtumishi aliajiriwa kwa sifa ya darasa la saba na faili lake linaonyesha amemaliza kidato cha nne huyo ni feki,
lakini kama mtumishi aliajiriwa kama darasa la saba tarehe 20.5.2004 na ameondolewa kwa kukosa sifa za kidato cha nne hao watarudishwa kazini haraka,
aidha amesema serikali bado inapitia rufaa za vyeti feki na hatima ya waliondolewa na ikimaliza zoezi hilo litatoa hatima ya watumishi hao katika matandao wake wa mawasiliano ya umma kwa kuchapisha majina ya watumishi wanaorejeshwa kazini"