Serikali kuvifungulia vyombo vyote vya habari

Tunataka katiba ibadilishwe kabla hatujabadili chama tawala maana bila hivyo watapoingia na wao wataweka ngumu ya kutoka huku wakitugalagaza zaidi ya CCM. Mfano halisi ni mwenyekiti wao ambaye hataki kung’atuka kwenye nafasi hio miaka nenda rudi.

I would suggest under new constitution:
-Raisi asiwe mwenyekiti wa chama kuepusha kujikita na interest za chama kuliko taifa na kuvua watu uanachama kwa kukomoa.

-Budget ya bunge isitegemee serikali.

-baraza la mawaziri litoke kwa wananchi.

-wabunge kwa wananchi.

-Tume ya uchaguzi isiwe appointed na rais.

-Watoto wa wastaafu wawe banned kushika nafasi influential za serikalini kama urais, uwaziri atleast waishie kwenye ubalozi labda na hii si kwa ubaya bali kwa manufaa ya umma. Kwa kampuni binafsi wako free kuwa hata wakurugenzi.

-Ajira za serikalini ziwe za mkataba wa 3-5 years huku maslahi yakiboreshwa ili watu wakipata uzoefu warudi kujiajiri. Mikataba iwe extended kulingana na utendaji kama mtu ana perform aongezewe muda.

-Raisi aweze kufunguliwa mashtaka na wananchi direct bila approval ya DPP.
Ungeyaweka kwa namba ingekuwa rahisi kucomment chief, maana kuna mengine mazuri ila mengine hayawezekani kabisa
 
Sasa warudishe ITV, Channel 10, StarTV, Clouds Tv kwenye ving'amuzi vya DSTV na vinginevyo, mambo yarudi kama tulivyo kuwa 2016 huu ulikua uduwanzi sana.
Ni zaidi ya Udwanzi, ni utahira uliopitiliza
 
Serikali imesema ipo mbioni kuvifungulia vyombo vya habari ambavyo bado vimefungiwa mara baada ya kumaliza mazungumzo yanayoendelea hivi sasa baina ya mamlaka na wahusika.

Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne, Desemba 7, 2021 na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Amon Mpanju wakati akizindua kikao kazi cha Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) kinachofanya marejeo na kuchambua mapendekezo 252 ya haki za binadamu.

Mpanju amesema lengo la Rais Samia ni kuhakikisha anarejesha uhuru wa vyombo vya habari nchini.

“Hili ni miongoni mwa mapendekezo mliyoyatoa, itakapofika Februari 14 tutasimama na kutaja mapendekezo ambayo Serikali itakuwa imeyakubali na mpaka sasa tayari mengi yameshafanyiwa kazi likiwamo la wasichana wanaopata ujauzito wakiwa shuleni.

“Uhuru wa vyombo vya habari ni jambo ambalo Rais Samia Suluhu Hassan amelisimamia na anahitaji matokeo ya haraka. Tumeshakutana na wadau na jana tumekutana na mamlaka husika kupitia vifungu vyote kuhakikisha kwamba tunavifungulia vyombo vyote vya habari ambavyo vilifungiwa. Rais ameagiza lazima tumalize hili jambo,” amesema Mpanju.

Mwananchi
Kufungiwa kwa
Mawio
Mwana halisi.
Tanzania Daima
Kulinifanya niichukie sana hii serikali ya ccm
 
Kufungiwa kwa
Mawio
Mwana halisi.
Tanzania Daima
Kulinifanya niichukie sana hii serikali ya ccm
Halafu waliacha lile gazeti la kichaa Musiba likiita watu mashoga! Sijui hata lilipotelea wapi lile gazeti
 
Halafu waliacha lile gazeti la kichaa Musiba likiita watu mashoga! Sijui hata lilipotelea wapi lile gazeti
Hahaha.nchi ina mambo ya hovyo sana hii yaani mwendazake alifikiri na kuja na conclusion kwamba musiba ndo amwingize ikulu????
Ati alipewa mpaka TISS Wamlinde
 
Back
Top Bottom