kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Hodi wakuu!
Nimeingia na swali,serikali imeweka sheria za ukusanyaji kodi mbalimbali,ikiwemo ya majengo.
Sasa hivi kuna zoezi la ukusanyaji kodi kupitia mahakama za ardhi nchi nzima.
Kinachoendelea hapo mahakamani ni hukumu za kuuza nyumba za mtu ambae hajalipa hata kama anadaiwa laki tano.
Ndipo nauli hii ni sahihi?
Maana maisha kwa sasa ni magumu kuliko wakati wowote uliopita.
Mpaka chumvi imepanda bei.
Pamoja na hali ya maisha kupanda,tozo zote zipo palepale,leo wanataka kuuza nyumba za hao wanaowakamua mpaka damu inatoka baada ya maziwa kuisha.
Nimeingia na swali,serikali imeweka sheria za ukusanyaji kodi mbalimbali,ikiwemo ya majengo.
Sasa hivi kuna zoezi la ukusanyaji kodi kupitia mahakama za ardhi nchi nzima.
Kinachoendelea hapo mahakamani ni hukumu za kuuza nyumba za mtu ambae hajalipa hata kama anadaiwa laki tano.
Ndipo nauli hii ni sahihi?
Maana maisha kwa sasa ni magumu kuliko wakati wowote uliopita.
Mpaka chumvi imepanda bei.
Pamoja na hali ya maisha kupanda,tozo zote zipo palepale,leo wanataka kuuza nyumba za hao wanaowakamua mpaka damu inatoka baada ya maziwa kuisha.