Mh Samia akiwa arusha amewaeleza wananchi kuwa serikali iraunganisha wilaya zote kwa kuondoa barabara za vumbi na kuweka barabara za changarawe..ili wananchi waweze kupita kwa urahisi.
Kwani sasa hivi zina nini? Kuna barabara moja huku, kila mwaka msimu wa mvua ukiisha(sababu inakuwa imeharibika) wanaikarabati kwa kumwaga kifusi na mawe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.