kidole007
JF-Expert Member
- Dec 22, 2012
- 3,094
- 1,873
Wana JF
Napatwa na ukakasi sana na hizi kauli za viongozi wa serikali kutumia mauaji ya kibiti kama kizuizi cha watu wanaotaka shambulio la Lissu lichunguzwe na vyombo vya nje
Swali kuu nnalojiuliza
1. Mauji ya kibiti yana mahusiano gani na tukio la Lissu?
Napatwa na ukakasi sana na hizi kauli za viongozi wa serikali kutumia mauaji ya kibiti kama kizuizi cha watu wanaotaka shambulio la Lissu lichunguzwe na vyombo vya nje
Swali kuu nnalojiuliza
1. Mauji ya kibiti yana mahusiano gani na tukio la Lissu?