Pia ukijifanya mjanja wanakufanya kama Libya, Syria, Iraq, Sudan na Venezuela.Ukipingana na WB na IMF jiandae kula nyasi ,mwalimu Nyerere yalimkuta haya, maisha hayakuwa rahisi,kupata vitu kwa foreni mpaka aliposalimu amri,haya mabeberu sio ya mchezomchezo