Serikali kutoa leseni za uchimbaji madini kupitia chama?

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,944
703
Nimepitia several news na kukutana na mojawapo ikionyesha CCM ikitoa vibali vya uchimbaji wa madini kupitia SISIEMU. Wadau, hii imekaaje? Ina maana ofisa madini wa wilaya, mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa wanafanya kazi gani? Kinana anatoa hizi leseni za serikali kama nani serikalini? Au huku ndiko kuanza kujisakafia??

A.+Kinana+akikabidhi+leseni+kwa+wachimbaji+wadogo+machimbo+ya+Mugusu%252CGeita%252C+leseni+21+zimetolewa.jpg


Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akikabidhi leseni za wachimbaji wadogo machimbo ya Mugusu, Geita, katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo mkoani Geita. Jumla ya leseni 21 zilikabidhiwa kwa wachimbaji hao baada ya kutolewa na serikali ili kuwwezesha wachimbaji wadogo nao kunufaika na m,adini badala ya wachimbaji wakubwa tu.
 
Hii nchi ina maajabu mengi tu! Wameshindwa kuonesha kile wanachotekeleza wameishia kuvizia vitukio visivyowahusu
 
hii wadau iko serious sana!! Hii Sekretariati mpya inaturudisha miaka 30 nyuma. Chama kushika hatamu hai-hold wakati huu. Slowly walianza kujifunza kutofautisha majukumu na mipaka ya kiutendaji baina ya chama na serikali ila Kinana et al wanaturejesha nyuma.
 
nadhani hajui nini afanye, anaparamia kazi ambazo hata haziwahusu. Siasa uchwara hizo
 
Sasa tunachukua hatua gani??nchi wanaimaliza hawaa
tutaishi tuh kwenye keyboard hadi lini ndugu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom