Serikali Kutoa kauli Kuhusu Mgomo wa Madaktari kesho

Mnyika kaomba kwanini tunasikiliza upande mmoja tu wa serikali mbona kamati ya bunge na madaktari hawasikilizwi?

Siku ya leo kwenye kiti yupo naibu spika bwana job ndugai mhavizina wa serikali ya magamba, bila kujali masilahi ya umma.Bwana job ndugai , ameshakuwa na kinyongo na mhe.mnyikaHoja ya mnyika ni msingi mno.Ni muda sasa sula la madaktar lemkuwa na upotoshwaji wa wa serikali bila kubalance upande wa madaktari.

Pinda si mtoto wa mkulima , ni mpotoshaji , mara nyingi amekuwa hoja zake dhaifu kwa serikali yake.Hili swala serikali nawahakikishia wadau , taarifa ya kesho ni jazba, ubabe, upotoshaji , sababu, wao serikali wamefikisha tatizo hili hatua hiina hasa pinda mwenyewe.

Hivyo kujitetea ni kupotosha umma kwa kutumia askofu mokiwa, mashekhe; wao ndo wanaona ni jambo la msingi. Ni kweli serikali ni dhaifu, kukimbilia mahakamani ni kupoteza muda na si suluhisho. Serikali inafanya hivyo, kwa kuwa mahakama tanzania ni chombo cha serikali.

Nakumbuka miaka ya nyuma, mkuu wa wilaya na mkurungezi wa halmashauri ya kilosa, waliamua kukamata mifugo kama njia na kumaliza tatizo la migogoro ya wakulima na wafugaji. Utaratibu huo ulikuwa unakiuka haki za mifungo, haki za wafungaji, haki za binadamu.Baada ya hapo wadau wa mifugo wa wakalalamikia utekelezaji wake, na kuomba tamko la serikali.Aliibuka mtoto wa mkulima, akaropoka kama leo, akisema upuuzi wa kukimbilia mahakamani.

Mwisho wa siku alirudi kimya kimya kuwaomba waondoe dhamira yao ya kwenda mahakamani kwa sababu angeshughulikia tatizo lao.Hivyo siku zote pinda amekuwa hana jipya ni mpotoshaji ila anakingiwa kifua na bwana ndugai.

kimsingi hoja ya mnyika ni ya msingi tusikie na upande wa kamati ya bunge kunalipi kuliko kusikia matamko ya upotoshwaji huku serikali inakwepa kutatua matatizo ya kisekta.Kwenda makamani ni hatua dhaifu, kuliko hoja ya kutatua tatizo.

Hapa tayari serikali ina kesi hewa kuwa madaktari wana taasisi ya MART bali wana jumuiya ya madaktari, sijui watafungua kesi nyingine.
 
Hili tamko la serikali kesho tayari limeshaingia dosari, hakuna kitu watakochosema kusafisha hili doa la kumteka Dr Ulimboka na kumpiga. Sijui watasema nini serikali?
 
Done la damu la mpiganaji huyu wa kweli ni njia kuelekea uhuru.hata wakimuua kivuli chake kitaishi.mungu amuinue
 
Ndo maana wameagizwa wamteke,wampige kisha wamuue kisa LIWALO NA LIWE! wamefeli


Inasikitisha sana kama unyama huu uatkuwa umefanywa na Serikali ya Chama cha Magamba. Hii ina-prove kuwa HATUNA SERIKALI MAKINI baali wamejazana wahuni watupu. Hivi wanafikiri wanaweza kuzimisha haki na madai ya madaktari kwa kumuua mtu??? Yaani baada ya KUTATUA MGOGORO KWANZA NDO WANAANZA KUUOKOLEZA!

Ama kweli Raisi na WM ni wadhaifu kwa 100%
 
Hivi kweli sisi wapiga kura tuko wapi, kodi tutoe wenyewe, waende kukaa nazo mjengoni na kusema LIWALO na LIWE kwa uhai wa walipa kodi na wapiga kura wa nchi hii ili hali wao wakienda kutibiwa nje ya nchi hata malaria tu; wakati umefika wa kuchukua hatua. Nawaunga mkono madaktari klatika hili.
 
Halafu tunasahau watanzania wanaanza kuelewa na wanaona haya mambo jinsi yanavyokwenda
 
Tujikumbushe misemo ya kukera ilotolewa na wanasiasa wetu

1 Kila mtu atauchukua mzigo wake
2 To hell
3 Watanzania wako tayari kula hata nyasi ..............
4 Liwalo na liwe
5 .............
 
Ukiona kiongozi yoyote anasema LIWALO NA LIWE basi amfikia kikomo cha ufikiri wake na Chama chake! GOODBYE chama kidhaifu
 
Je kama wewe ungekuwa ndiye Waziri Mkuu, ungesema nini?

Tafadhari toa wazo zuri na lenye kuleta amani na sio chuki na kuvunja amani.
 
5. Mlima Kilimanjaro haungui, bali msitu wa mlima Kilimanjaro ndio unaoungua !!
 
Msisahau kuwa hii ni kawaida yao hata lile jana-taarabu J. Komba lilitishia kuwaua wabunge wa CDM bungeni....Hakika sasa hawa jamaa wamechoka na Amani...:mod:
 
Tulipofika ni pabaya kuliko wengi tunavyofikiria..... Unajua hata JUA linachomoza taratibu lakini mwisho linakuwa utosini, tuko katika state of emergency!!!!!! Hii nchi inatuhitaji sana watanzania kuliko tunavyoihitaji sisi kwa sababu ipo kwa ajili ya vizazi vijavyo pia.... Lets wake up, hii nchi siyo ya wachache....
 
serikali inajipanga,upembuzi yakinifu unaendelea,polisi wanaendelea na uchunguzi,ajali kama hii isitokee tena
 
Back
Top Bottom