Serikali kutangaza kima cha chini cha mshahara sekta binafsi mwezi huu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Serikali imesema kuwa itatangaza rasmi kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi mwezi huu wa Novemba 2022.

Hayo yamesemwa Bungeni leo Novemba 11, 2022, ikiwa ni baada ya Bodi ya Kima cha Chini cha Mshahara sekta binafsi kukamilisha kazi ya kupanga kima cha chini cha mshahara.
 
Serikali imesema kuwa itatangaza rasmi kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi mwezi huu wa Novemba 2022.

Hayo yamesemwa Bungeni leo Novemba 11, 2022, ikiwa ni baada ya Bodi ya Kima cha Chini cha Mshahara sekta binafsi kukamilisha kazi ya kupanga kima cha chini cha mshahara.
Sekta binafsi zenyewe ndio hizi za kina kanjibhai na wenzao mbona itakuwa aibu. Bora wasitangaze tu.
 
Back
Top Bottom