Kwa namna yoyote ile hakuna muumini wa kweli wa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar atakwa ameipokea vyema kauli ya serikali ya kuamua kuzima na kuyafutilia mbali maadhimisho ya sherehe za muungano mwaka huu tena bila ya sababu angalau za "kudaganyia" kama tulivyozoea.
Na pengine hii imezidi kuifunulia dunia na kuweza kutambua kuwa viongozi wa sasa wa nchi yetu hawakuwahi kumuelewa Marehemu Mwalimu juu ya nia yake kuuenzi Muungano au hawaoni umuhimu wa kuwepo kwa muungano wa hizi nchi mbili zaidi ya kuona aibu ya kwamba wasijeonekana kuwa wao ndiyo walikuwa chanzo cha kuumalzia muungano. Watani zangu wahaya wanao msemo usemao "kitandugao".
Na pengine hii imezidi kuifunulia dunia na kuweza kutambua kuwa viongozi wa sasa wa nchi yetu hawakuwahi kumuelewa Marehemu Mwalimu juu ya nia yake kuuenzi Muungano au hawaoni umuhimu wa kuwepo kwa muungano wa hizi nchi mbili zaidi ya kuona aibu ya kwamba wasijeonekana kuwa wao ndiyo walikuwa chanzo cha kuumalzia muungano. Watani zangu wahaya wanao msemo usemao "kitandugao".