barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
NB:Nafikiri hii ni kampuni ya mmoja wa wadau wenzetu wa JF anaitwa Chris Lukosi ,kada kindakindaki wa CCM mitandaoni anayeishi UK.
Naona Serikali imeondoa hili "deal" kwa hii kampuni....
Huyu Mhehe alirudi ccm baada ya kuanzisha hiyo kampuni ili 'wamlinde' sasa ataiona ng'ondo.safi sana...yule mwenye hiyo kampuni alikuwa mtu wa viherehere sana hapa jf miaka ya 2012 - 2014.
alikuwa "anajifanya" kuipenda ccm kuliko hata wenye ccm yao.
asante sana serikali ya JPM.
View attachment 589945
NB:Nafikiri hii ni kampuni ya mmoja wa wadau wenzetu wa JF anaitwa Chris Lukosi ,kada kindakindaki wa CCM mitandaoni anayeishi UK.
Naona Serikali imeondoa hili "deal" kwa hii kampuni....
Naomba kuwauliza TBSView attachment 589945
NB:Nafikiri hii ni kampuni ya mmoja wa wadau wenzetu wa JF anaitwa Chris Lukosi ,kada kindakindaki wa CCM mitandaoni anayeishi UK.
Naona Serikali imeondoa hili "deal" kwa hii kampuni....
Wakunyumba! Mwalukosi acha uisome Namba
Aliachana na hio kampuni.safi sana...yule bwege mwenye hiyo kampuni alikuwa mtu wa viherehere sana hapa jf miaka ya 2012 - 2014.
alikuwa "anajifanya" kuipenda ccm kuliko hata wenye ccm yao.
asante sana serikali ya JPM.
Boss kabla huja import gari soma conditions za magari nchini mwako mfano kuna size ya upana na urefu gari haitakiwi kuzidi na gari za abiria lazima ziwe na usukani right hand side na uelekeo wa taa ni lazima zipige kulia ndo vitu wanavyo kaguahapa kutakuwa na shida maana ukaguzi unafanyika pale gari inapotoka ili kama ikibainika kuna tatizo basi huwezi kupewa vibali vya kusafirisha ,lakini unasafirisha mpaka Tanzania kutoka Uingereza then endapo gari litagundulika kuwa na shida katika matumizi ya hapa Tanzania itakuaje?
Hapa tunaomba TBS muweze kufafanua vizuri ili wanajamii ya watanzania waweze kuelewa ili kuondokana na matatizo ambayo yanaweza kujitokeza siku za usoni
Je,pia ufafanuzi kuhusu hapo chuo cha NIT, tayari wana kitengo maalumu kwa ajili ya hiyo kazi maana ile ni taasisi ya elimu na inashughulika na elimu kwa sasa
Kumbe alikua mwajiriwa tu haikua ya kwake??Aliachana na hio kampuni.
Shared.Kumbe alikua mwajiriwa tu haikua ya kwake??
Na alivyokua akijipia ujiko
Lukosi kaachana nayo kitambo. Ana shughuli nyingine mjanja anajua kusoma wakatiPole sana Chris Lukosi.
Lukosi ana akili kuwazidi ninyi wa mtandao. Hiyo kampuni aliiacha kitambo na ana nyingine inaitwa KC anafanya mnada wa magari na kila takataka ktk Facebook live. Tafuteni jinsi ya kujikwamua na maisha ya JPM kabla hamjaanza kuwakejeli wajanja.Huyu Mhehe alirudi ccm baada ya kuanzisha hiyo kampuni ili 'wamlinde' sasa ataiona ng'ondo.
Lukosi ana akili kuwazidi ninyi wa mtandao. Hiyo kampuni aliiacha kitambo na ana nyingine inaitwa KC anafanya mnada wa magari na kila takataka ktk Facebook live. Tafuteni jinsi ya kujikwamua na maisha ya JPM kabla hamjaanza kuwakejeli wajanja.Kumbe alikua mwajiriwa tu haikua ya kwake??
Na alivyokua akijipia ujiko
Lukosi ana akili kuwazidi ninyi wa mtandao. Hiyo kampuni aliiacha kitambo na ana nyingine inaitwa KC anafanya mnada wa magari na kila takataka ktk Facebook live. Tafuteni jinsi ya kujikwamua na maisha ya JPM kabla hamjaanza kuwakejeli wajanja.Huyu Mhehe alirudi ccm baada ya kuanzisha hiyo kampuni ili 'wamlinde' sasa ataiona ng'ondo.