Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,987
- 144,318
- Thread starter
- #21
Inategemea umekopa kufanya nini.Kama umrkopa kwenda kulipia ada ya mtoto kwanini usiumie?Sasa ukikopa ndio hiyo pesa itaongezeka ???
Sana sana ukikopa maana yake umeongeza matumizi ya hiyo pesa wakati bado ni ndogo.
Na kama umekopa ukamalizia fremu za biashara au nyumba za kupangisha, unadhani hata hayo maumivu ya makato utasikia?