Serikali kupeleka muswada wa sheria bungeni kuongeza faini ya makosa ya barabarani ili kupunguza ajali

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,735
141,598
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Masauni amesema serikali iko katika hatua za mwisho za kurekebisha sheria ya usalama barabarani.

Marekebisho hayo ni pamoja na kuongeza kiwango cha faini kwa kila kosa la uvunjifu wa sheria. Kwa sasa kosa moja faini ni sh 30,000

Mh Masauni amesema hayo wakati akijibu swali la nyongeza kutoka kwa mh Husna Mwilima.

Source star tv
 
Naibu waziri wa mambo ya ndani mh Masauni amesema serikali iko katika hatua za mwisho za kurekebisha sheria ya usalama barabarani.

Marekebisho hayo ni pamoja na kuongeza kiwango cha faini kwa kila kosa la uvunjifu wa sheria. Kwa sasa kosa moja faini ni sh 30,000

Mh Masauni amesema hayo wakati akijibu swali la nyongeza kutoka kwa mh Husna Mwilima.

Source star tv
Waongeze tu ........


Ova
 
Ila watuwekee uwezo wa kukata rufaa na ukishapigwa faini moja usipigwe tena
Daladala zilindwe maana kuna nyingine hadi vyeti 6 kwa siku
Hpo kweli kusiwepo kukomoana
Alafu wanaposema watu wanavunja sheria
Wangelezea ni uvunjaji wa aina gani

Ova
 
Lazima 20000 iongezeke
Kwa hyo sahv kumhonga traffic itakuwa 15000 au 20000

Ova
Wabainishe makosa na faini na si kila kosa faini ile ile

Speeding ndio iwe na faini kubwa ila sijui mkanda
Vibali
Rangi
Taa
Wipers

Haya yanarekebishika hivyo onyo ni sahihi na ukipewa onyo liandikwe kwenye mashine ukikutwa umerudia ndio upewe faini
 
Ila watuwekee uwezo wa kukata rufaa na ukishapigwa faini moja usipigwe tena
Daladala zilindwe maana kuna nyingine hadi vyeti 6 kwa siku
Noma sana, vyeti 6 kwa siku watu wataanza kujiondoa kwenye biashara ya daladala, itaonekana biashara kichaa
 
Wabainishe makosa na faini na si kila kosa faini ile ile

Speeding ndio iwe na faini kubwa ila sijui mkanda
Vibali
Rangi
Taa
Wipers

Haya yanarekebishika hivyo onyo ni sahihi na ukipewa onyo liandikwe kwenye mashine ukikutwa umerudia ndio upewe faini
Good idea Bob
Salute

Ova
 
Back
Top Bottom